Usingizi wa Kutosha ni nguvu ya kufanya kazi vizuri mchana
Kila inapofika usiku, watu wengi huuchukulia ni wakati wa kupumzika. Siyo kupumzika tu kwa kukaa bali kulala usingizi hadi alfajiri ama asubuhi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMAGUFULI AMTAKA MKANDARASI KUFANYA KAZI USIKU NA MCHANA
“Najua bado mnaidai serikali zaidi ya shilingi bilioni tatu lakini hii isiwe sababu ya kushindwa kuendelea na kazi japo mlishaonyesha mfano mzuri wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-2JzLafmXRgA/VWidrCTCEAI/AAAAAAAAusc/S3yAUvzSz2w/s72-c/LOWASA%2BKESHO.jpg)
Hii Ndiyo Shughuli ya Lowassa Kesho.. Je! Hao Wana CCM Wengine Wanaotarajia Kutangaza nia Wana Nguvu ya Kutosha?
![](http://4.bp.blogspot.com/-2JzLafmXRgA/VWidrCTCEAI/AAAAAAAAusc/S3yAUvzSz2w/s640/LOWASA%2BKESHO.jpg)
Hii ndiyo shughuli ya Lowassa kesho.. Uwanja wa Sheikh Amri Abeid utatapika kesho ...Je! Hao wana CCM wengine wanaotarajia kutangaza nia wana nguvu ya kutosha? Makongoro, Wasira, Membe, Mwigulu... Mkombozi wenu ni CHIMWAGA (NEC) tu..
10 years ago
Bongo502 Feb
Barakah Da Prince: Nimejipanga kuendelea kufanya vizuri
9 years ago
Habarileo28 Oct
CCM yaendelea kufanya vizuri mkoa wa Lindi
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Lindi mpaka sasa kinashikilia majimbo manne kati ya manane ya uchaguzi kwa kushinda viti vya ubunge katika uchaguzi uliofanyika juzi.
10 years ago
Bongo Movies09 Dec
KAZI MPYA:Wema Atua Nchini Ghana Kufanya Kazi na Van Vicker
Aliekuwa Miss Tanzania (2006), Mwigizaji na mkurugenzi wa kampuni ya Endless Fame, inayojishughurisha na mambo ya filamu hapa nchini, Wema Sepetu aka Madame hivi sasa yupo nchini Ghana kwaajili ya kufanya kazi na msanii maarufu nchini humo na Afrika kwa ujumla aitwaye van vicker.
Leo hii kwenye mtandao wa kijamii Wema aliweka picha hiyo akiwa na msanii huyo na kuandika “In the Making” na kumtag Van.
Jina la project (MOVIE) hiyo mpya hadi sasa bado halijajulikana. Endelea kutufuatilia hapa...
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Pongezi Kanda ya Ziwa kufanya vizuri darasa la saba
10 years ago
Bongo Movies01 Dec
TETESI: Eti Shilole hakwenda ubelgiji kufanya shoo kama alivyodai. Adaiwa kupelekwa kula bata na mzee mmoja mwenye pesa ya kutosha
<span 1.6em;"="">Kweli mjini kuna mambo. Hivi majuzi mwanadada Shilole aliuga umma kuwa anaenda ubeligiji kupiga show ya muziki, lakini wachunguzi wa mambo wametutonya kuwa jambo hili si kweli bali mrembo huyu amepelekwa nchini ubeligiji kula bata tu na mzee mmoja hivi mwenye hela zake za kutosha, na show ilikuwa kama njia ya kuzuga wananchi tu ili mpango wake huo usijulikane kirahisi hasa na mpenzi wake Nuh mziwanda ambaye ameachwa nchini bila kujua nini kinaendelea.
WACHUNGUZI...
9 years ago
Bongo509 Oct
Linah anaamini ‘No Stress’ imeshindwa kufanya vizuri sababu ya uchaguzi