Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Usingizi wa Kutosha ni nguvu ya kufanya kazi vizuri mchana

Kila inapofika usiku, watu wengi huuchukulia ni wakati wa kupumzika. Siyo kupumzika tu kwa kukaa bali kulala usingizi hadi alfajiri ama asubuhi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MAGUFULI AMTAKA MKANDARASI KUFANYA KAZI USIKU NA MCHANA

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli (Mb) amemtaka Mkandarasi wa Kampuni ya J.V anayejenga barabara ya Makutano-Nyamuswa - Ikoma Gate, sehemu ya (Makutano-Natta km50) kufanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha mradi huo kwa wakati. Waziri Magufuli alitoa tamko hilo jana wakati akihutubia mamia ya wakazi wa mji Butiama mkoani Mara.
“Najua bado mnaidai serikali zaidi ya shilingi bilioni tatu lakini hii isiwe sababu ya kushindwa kuendelea na kazi japo mlishaonyesha mfano mzuri wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Hii Ndiyo Shughuli ya Lowassa Kesho.. Je! Hao Wana CCM Wengine Wanaotarajia Kutangaza nia Wana Nguvu ya Kutosha?


Hii ndiyo shughuli ya Lowassa kesho.. Uwanja wa Sheikh Amri Abeid utatapika kesho ...Je! Hao wana CCM wengine wanaotarajia kutangaza nia wana nguvu ya kutosha? Makongoro, Wasira, Membe, Mwigulu... Mkombozi wenu ni CHIMWAGA (NEC) tu..

 

10 years ago

Bongo5

Barakah Da Prince: Nimejipanga kuendelea kufanya vizuri

Muimbaji anayefanya vizuri kwenye muziki, Barakah Da Prince amesema yeye na menejimenti yake Tetemesha amejipanga vizuri kuhakikisha anaendelea kufanya vizuri. Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni katika show ya miaka 10 ya THT iliyofanyikia Escape 1, Barakah alisema yupo makini na atajitahidi kufanya kile kinachohitajika kwenye muziki wa sasa ili aendelee kufanya vyema zaidi. “Mimi najiitaga […]

 

9 years ago

Habarileo

CCM yaendelea kufanya vizuri mkoa wa Lindi

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Lindi mpaka sasa kinashikilia majimbo manne kati ya manane ya uchaguzi kwa kushinda viti vya ubunge katika uchaguzi uliofanyika juzi.

 

10 years ago

Bongo Movies

KAZI MPYA:Wema Atua Nchini Ghana Kufanya Kazi na Van Vicker

Aliekuwa Miss Tanzania (2006), Mwigizaji na mkurugenzi wa kampuni ya  Endless Fame, inayojishughurisha na mambo ya filamu hapa nchini, Wema Sepetu aka Madame hivi sasa yupo nchini Ghana kwaajili ya kufanya kazi na msanii maarufu nchini humo na Afrika kwa ujumla aitwaye van vicker.

Leo hii kwenye mtandao wa kijamii Wema aliweka picha hiyo akiwa na msanii huyo na kuandika “In the Making” na kumtag Van.

Jina la project (MOVIE) hiyo mpya hadi sasa bado halijajulikana. Endelea kutufuatilia hapa...

 

9 years ago

Mwananchi

Pongezi Kanda ya Ziwa kufanya vizuri darasa la saba

Jana Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), lilitangaza matokeo ya mtihani wa kumaliza darasa la saba mwaka 2015.

 

10 years ago

Bongo Movies

TETESI: Eti Shilole hakwenda ubelgiji kufanya shoo kama alivyodai. Adaiwa kupelekwa kula bata na mzee mmoja mwenye pesa ya kutosha

<span 1.6em;"="">Kweli mjini kuna mambo. Hivi majuzi mwanadada Shilole aliuga umma kuwa anaenda ubeligiji kupiga show ya muziki, lakini wachunguzi wa mambo wametutonya kuwa jambo hili si kweli bali mrembo huyu amepelekwa nchini ubeligiji kula bata tu na mzee mmoja hivi mwenye hela zake za kutosha, na show ilikuwa kama njia ya kuzuga wananchi tu ili mpango wake huo usijulikane kirahisi hasa na mpenzi wake Nuh mziwanda ambaye ameachwa nchini bila kujua nini kinaendelea.

WACHUNGUZI...

 

9 years ago

Bongo5

Linah anaamini ‘No Stress’ imeshindwa kufanya vizuri sababu ya uchaguzi

Hitmaker wa Ole Temba, Linah amesema wimbo wake wa No Stress umeshindwa kufanya vizuri kutokana na watu wengi kuwa busy kwenye masuala ya ya kampeni za uchaguzi. Linah ameiambia Bongo5 kuwa, baada ya hali hiyo amejipanga kuachia wimbo mpya hivi karibuni. “Yeah kweli ‘No Stress’ imeshindwa kufanya vizuri kuliko Ole Temba kama nilivyotarajia kutokana na […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani