CCM yaendelea kufanya vizuri mkoa wa Lindi
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Lindi mpaka sasa kinashikilia majimbo manne kati ya manane ya uchaguzi kwa kushinda viti vya ubunge katika uchaguzi uliofanyika juzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dljNYLdFxj4/UuzgBaR2dYI/AAAAAAAALnk/pIFqfbOdACc/s72-c/1.jpg)
maandalizi ya maadhimisho ya miaka 37 CCM yaendelea vizuri jijini Mbeya
![](http://3.bp.blogspot.com/-dljNYLdFxj4/UuzgBaR2dYI/AAAAAAAALnk/pIFqfbOdACc/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4EApdtwPP5s/UuzgE0x2A-I/AAAAAAAALns/d9dEkJGhOhI/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-76BEjwELge4/UuzgN2rlowI/AAAAAAAALn0/UsS-NCZw5IA/s1600/26.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-E3obQaKXWmY/VG4k3twIM7I/AAAAAAAATk0/D0HiYCHyjGk/s72-c/012.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE YAENDELEA MKOANI LINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-E3obQaKXWmY/VG4k3twIM7I/AAAAAAAATk0/D0HiYCHyjGk/s1600/012.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akifungua maji kama ishara ya kuzindua huduma za maji kwa wakazi wa kijiji cha Mpigamiti, mradi huo utahudumia vijiji vingine viwili vya Namakololo na Mitawa ambapo wakazi zaidi ya 6000 watafaidika na mradi huo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-uuO0o9f7lIs/VG4eK22IL3I/AAAAAAAATjY/Bx6D1DLhyE8/s1600/013.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-g-D3X9whrkY/VG4fUfK4JHI/AAAAAAAATjw/mhrN0cfcY-c/s1600/016.jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Dec
Wakazi wa mkoa wa Lindi watakiwa kushikamana na kufanya kazi kwa bidii ili kujiletea maendeleo — Mama Salma Kikwete
Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi
Wakazi wa mkoa wa Lindi wametakiwa kushikamana kwa pamoja, kufanya kazi kwa bidii na kuzitumia rasilimali zilizopo ili kujiletea maendeleo.
Rai hiyo imetolewa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EpX3FsPLOIg/VJ_hFA02RrI/AAAAAAAG6G8/i9C8MLmHXpY/s72-c/salma-pps.jpg)
WAKAZI WA MKOA WA LINDI WATAKIWA KUSHIKAMANA NA KUFANYA KAZI KWA BIDII ILI KUJILETEA MAENDELEO - MAMA SALMA KIKWETE
![](http://2.bp.blogspot.com/-EpX3FsPLOIg/VJ_hFA02RrI/AAAAAAAG6G8/i9C8MLmHXpY/s1600/salma-pps.jpg)
Wakazi wa mkoa wa Lindi wametakiwa kushikamana kwa pamoja, kufanya kazi kwa bidii na kuzitumia rasilimali zilizopo ili kujiletea maendeleo.
Rai hiyo imetolewa jana Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Mitwero Stendi Kata ya Rasibura wilayani humo.
Mama Kikwete ambaye ni Mke wa Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete alisema mkoa wa...
11 years ago
MichuziNHIF LINDI WAWAPA SOMO VIONGOZI WA TALGWU MKOA WA LINDI
10 years ago
Mwananchi28 Feb
Mkoa wa Lindi (i): Majimbo ya Lindi Mjini na Ruangwa — 50 kwa 50
UTANGULIZI
Leo tunaianza rasmi safari ya Mkoa wa Lindi baada ya kumaliza uchambuzi wa majimbo 41 yaliyo katika mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma, Mara, Kigoma na Kilimanjaro.
11 years ago
MichuziNHIF NA CHF LINDI ZATOA ELIMU KWA WANAHABARI NA WARATIBU WA MIFUKO HIYO MKOA WA LINDI
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania