Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkoa wa Lindi (i): Majimbo ya Lindi Mjini na Ruangwa — 50 kwa 50

UTANGULIZI Leo tunaianza rasmi safari ya Mkoa wa Lindi baada ya kumaliza uchambuzi wa majimbo 41 yaliyo katika mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma, Mara, Kigoma na Kilimanjaro.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

NHIF NA CHF LINDI ZATOA ELIMU KWA WANAHABARI NA WARATIBU WA MIFUKO HIYO MKOA WA LINDI

Mkuu wa wilaya ya Lindi,Dr Nassor Ally Hamid akifungua mafunzo kwa wanahabari na waratibu wa NHIF/CHF wa mkoa wa Lindi,Kushoto ni Meneja Nhif Lindi,Bi Fortunata Kullaya na kutoka kulia ni Bw Faustine Nzota,Mshauri wa Mfuko wa Afya na anaefuata ni Mwenyekiti wa Bodi ya Afya Wilaya ya Nachingwea,Christopher Lilai. Meneja wa NHIF Mkoa wa Lindi akitoa taarifa fupi kuhusiana na mfuko huo katika mafunzo ya wanahabari na waratibu wa Mifuko ya CHF na NHIF Lindi. Mratibu wa CHF wilaya ya Liwale...

 

10 years ago

Michuzi

MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA KATA ZA MIKUMBI,NDARO NA MBANJA HUKO LINDI MJINI KWA AJILI YA KAMPENI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MKOANI LINDI

 Mjumbe wa NEC Taifa ya CCM na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akishirikiana na viongozi wa CCM wa Kata ya Ndaro kuunga mkono muundo wa serikali mbili unaopendekezwa na Rasimu ya Katiba. Mjumbe wa NEC Taifa ya CCM na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akishirikiana na viongozi wa CCM wa Kata ya Ndaro kuunga mkono muundo wa serikali mbili unaopendekezwa na Rasimu ya Katiba. Mjumbe wa NEC Taifa ya Chama Cha Mapinduzi na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akizungumza na uongozi wa Kata ya Ndaro katika...

 

10 years ago

GPL

MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA KATA ZA MIKUMBI, NDARO NA MBANJA HUKO LINDI MJINI KWA AJILI YA KAMPENI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MKOANI LINDI

Mjumbe wa NEC Taifa ya CCM na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akishirikiana na viongozi wa CCM wa Kata ya Ndaro kuunga mkono muundo wa serikali mbili unaopendekezwa na Rasimu ya Katiba. Mjumbe wa NEC Taifa ya CCM na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akishirikiana na viongozi wa CCM wa Kata ya Ndaro kuunga mkono muundo wa serikali mbili unaopendekezwa na Rasimu ya… ...

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AFANYA KAMPENI ZAKE WILAYA YA NACHINGWEA,RUANGWA,MTAMA NA LINDI MJINI,AMFAGILIA DIAMOND

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi CCM Dkt John Pombe Magufuli akihutubia umati wa watu kweny mkutano wa kampeni uliofanyika jioni ya leo kwenye uwanja wa shule ya msingi Mpili pili mkoani Lindi,
Katika mkutano huo wa hadhara Dkt.John Pombe Magufuli amesema kuwa Serikali atakayounda baada ya kuchaguliwa na Watanzania Oktoba 25 mwaka huu, itahakikisha inawatumikia huku akiweka wazi kuwa yeye  hakuwa na mchezo kwani dhamira yake ni kutatua shida...

 

11 years ago

Michuzi

NHIF LINDI WAWAPA SOMO VIONGOZI WA TALGWU MKOA WA LINDI

Mgeni rasmi kwenye kikao kilichoambatana na mafunzo ya mfuko wa taifa wa bima ya afya mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Lindi Vijijini bi Oliver Vavunge,ambapo aliwataka wawakilishi wafanyakazi kuwakumbusha kutimiza wajibu ili maslai yaweze kuboreka sanjari na kusisitiza kuwa watambue NHIF ina msaada mkubwa kwao na kwetu kama waajiriwa hivyo watumishi wa sekta ya afya wana jukumu kubwa la kusimamia huduma ili ziboreke zaidi kupitia fedha zinazolipwa kupitia bima ya afya,kushoto ni...

 

10 years ago

GPL

LAPF WATOA MKOPO WA SHILINGI MILIONI 100 KWA SACCOS YA WALIMU WILAYANI RUANGWA, LINDI

Meneja wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF Kanda ya Mashariki, Yessaya Mwakifulefule akimkabidhi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, Nicholous Kombe,  mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi millioni 100 ikiwa ni mkopo uliotolewa na mfuko huo kwa wanachama wa SACCOS ya waalimu wilayani Ruangwa..Hafla hiyo ilifanyika Wiyani Ruangwa hivi karibuni. Wanachama wa  Walimu Saccos wa Wilaya  ya Ruangwa mkoani...

 

10 years ago

Michuzi

WANAWAKE MKOANI LINDI WATAKIWA KUKAMATIA FURSA KWA KUJIUNGA NA CHF-RC LINDI

MKUU WA MKOA WA LINDI MWANTUMU MAHIZA AKIWASISITIZA WASHIRIKI WA KONGAMANO LA WANAWAKE LILILOWAKUTANISHA TAKRIBANI WASHIRIKI WANAWAKE 360 KUTOKA WILAYA 6 ZA ,KUTUMIA MAFUNZO HAYO KUJIKWAMUA KIUCHUMI KWANI MIONGONI MWA WALIYOFUNDISHWA,UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI,KILIMO CHA MWANI NA MENGINEYO AMBAPO PIA KWA KUONYESHA DHAMIRA YA DHATI YA KUMKOMBOA MWANAMKE KIFIKRA NA KIUCHUMI ALIWATAKA KUHAKIKISHA WANAJIUNGA CHF ILI WAWEZE KUPATA HUDUMA ZA MATIBABU KWA GHARAMA NAFUU,KAULI MBIU YA MAFUNZO HAYO...

 

10 years ago

Michuzi

NHIF LINDI WATOA ELIMU KATA KWA KATA KWA WANACHAMA WAKE,SANJARI NA UPIMAJI WA AFYA BURE KWA WANANCHI WILAYANI RUANGWA

Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Ofisi ya Mkoa wa Lindi,Fortunata Raymond akitoa Mada ya Maboresho yanayotekelezwa na Mfuko hususani kitita cha Mafao kwa Wanachama katika Kata namichiga Wilayani Ruangwa ambapo pia aliwataka kutumia Mkutano huo kubainisha Changamoto hasi na Chanya zitakazowezesha Maboresho Ya Huduma Za Matibabu Sambamba Na Sekta Ya Afya Kwa Ujumla,Kushoto Katikati Ni Mtendaji Kata Ya Namichiga Richard Nnonjela Na Kushoto Kabisa Ni Mwalimu Mkuu Wa Shule...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani