Unafahamu madhara ya kufanya kazi usiku?
Wanasayansi wanasema Ubongo huchoka mapema kabla ya wakati wake iwapo watu watafanya kazi nyakati za usiku kwa muda mrefu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Hatari ya kufanya kazi nyakati za usiku
11 years ago
MichuziMAGUFULI AMTAKA MKANDARASI KUFANYA KAZI USIKU NA MCHANA
“Najua bado mnaidai serikali zaidi ya shilingi bilioni tatu lakini hii isiwe sababu ya kushindwa kuendelea na kazi japo mlishaonyesha mfano mzuri wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-I1aELXhP2nM/XpCp9kYcdmI/AAAAAAALmuQ/5bth1L9eL3M0HGFSjpjeoEp0saz4Kq0qQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-20.jpg)
ZUNGU AMEWATAKA WATAALAMU KUFANYA TATHMINI YA MAZINGIRA KUJUA MADHARA YATOKANAYO NA MABADILIKO YA TABIANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-I1aELXhP2nM/XpCp9kYcdmI/AAAAAAALmuQ/5bth1L9eL3M0HGFSjpjeoEp0saz4Kq0qQCLcBGAsYHQ/s640/1-20.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akitoa maelekezo alipotembelea eneo la bahari kusikiliza na kutatua mgogoro uliotokana na changamoto za kimazingira kati ya wamiliki wa hoteli ya Wellworth na White Sands jijini Dar es Salaam wakituhimiana kujenga ukuta unasababisha mmonyoko wa udongo na...
10 years ago
Bongo Movies09 Dec
KAZI MPYA:Wema Atua Nchini Ghana Kufanya Kazi na Van Vicker
Aliekuwa Miss Tanzania (2006), Mwigizaji na mkurugenzi wa kampuni ya Endless Fame, inayojishughurisha na mambo ya filamu hapa nchini, Wema Sepetu aka Madame hivi sasa yupo nchini Ghana kwaajili ya kufanya kazi na msanii maarufu nchini humo na Afrika kwa ujumla aitwaye van vicker.
Leo hii kwenye mtandao wa kijamii Wema aliweka picha hiyo akiwa na msanii huyo na kuandika “In the Making” na kumtag Van.
Jina la project (MOVIE) hiyo mpya hadi sasa bado halijajulikana. Endelea kutufuatilia hapa...
10 years ago
Bongo Movies26 Jan
JB:Baada kufanya kazi na Thea, Wastara na Wellu, pendekeza nani tufanyenae kazi tena?..soma vigezo
Muigizaji na muongozaji wa filamu, Jacob Stephen “JB”aliweka bandiko hili mtandaoni, tumeona sio mbaya kulukuletea hapa na wewe uchangie. Nakuu;
“Wakati naanda mzee wa swaga niliomba mapendekezo mkachagua wengi hatimaye tukawapata Thea,Wastara na Wellu nakubali mapendekezo yenu sana.
Lakini sera ya kampuni ni kujaribu kuwapa nafasi wasanii ambao wana majina lakini sio makubwa ila wana vipaji ili tutengeneze mastaa wengi.
Swali safari hii tumpe nani nafasi ambae unaona anakipaji lakini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1lp73GxRT8YVkpMdcA2xv*V0t6RBEPkYPu39tplDdZRIoiiuU9IrIPchjKPaB3Ve5KbLJaCIsCNs2lV2VKvvqO*U3ZzFj0R8/1.jpg?width=650)
CHRISTIAN BELLA KUFANYA USIKU WA MASAUTI
11 years ago
Michuzi26 Jul
YEMI, SHILOLE KUFANYA MAAJABU TAIFA USIKU WA MATUMAINI
![](http://api.ning.com/files/mrjGDDFzeeE*0il56qQaZ*jPW9nay11rMI0ogUxDBMG7ZyT4SXoozpOYL8WJeX8XeEyLeHZtfqxk*L5NuYa3Ddh9kfmMpN1V/tamasha.jpg)
![](http://api.ning.com/files/mrjGDDFzeeEfi*GtZE0505mBZ8STR-ENuwO-wTL4TDsjG0Mwvf8k0-2VPDXUd79MTEFOwTZPmCTMzKxhl9ZZPuotamgDq2*s/YemiAlade_FashionPlus.jpg?width=650)
Good newz ni kwamba Zuwena Mohamed ‘Shilole’ atapanda jukwaa moja na diva wa muziki kutoka Nigeria anayetamba na wimbo wa Johnny, Yemi Alade kudondosha shoo ya...
10 years ago
CloudsFM02 Apr
Christian Bella kufanya usiku wa masauti,Escape One, Aprili 18
MWANAMUZIKI Christian Bella anatarajia kufanya shoo kubwa aliyoipa jina la Usiku wa Masauti, Aprili 18 Mwaka huu ndani ya Ukumbi wa Escape One, uliopo Mikocheni jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Bella alisema katika usiku huo, pia atatambulisha video na audio ya wimbo wake mpya uitwao Nashindwa ambao tayari upo hewani.
“Natarajia kufanya shoo kubwa ambayo itanipa fursa ya kuwakutanisha wasanii wenzangu ambao wana nia safi ya kufanya...