Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Christian Bella kufanya usiku wa masauti,Escape One, Aprili 18

MWANAMUZIKI Christian Bella anatarajia kufanya shoo kubwa aliyoipa jina la Usiku wa Masauti, Aprili 18 Mwaka huu ndani ya Ukumbi wa Escape One, uliopo Mikocheni jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Bella alisema katika usiku huo, pia atatambulisha video na audio ya wimbo wake mpya uitwao Nashindwa ambao tayari upo hewani.

“Natarajia kufanya shoo kubwa ambayo itanipa fursa ya kuwakutanisha wasanii wenzangu ambao wana nia safi ya kufanya...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

CHRISTIAN BELLA KUFANYA USIKU WA MASAUTI

Mwanamuziki Christian Bella (katikati), akiwa akieleza jambo juu ya shoo yake inayotarajiwa kufanyika Aprili 18 mwaka huu ndani ya Ukumbi wa Escape One Mikocheni jijini Dar es Salaam. Kushoto ni meneja wake John Mchaima ‘Simple’,  na kulia ni mmoja waratibu wa shoo hiyo, Rehema Jones. Mwanamuziki Christian Bella, akitoa kionjo cha wimbo wake kwenye kikao cha waandishi wa habari.…
...

 

9 years ago

Bongo5

Ruby ajipanga kufanya kolabo na Christian Bella

Muimbaji wa ‘Na Yule’, Ruby amesema anatarajia kumshirikisha Christian Bella. Akizungumza kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM, Ruby alisema muda wowote wataingia studio na kuandaa kazi hiyo. “Tunataka kufanya kolabo kwa sababu wasanii kwa wasanii kufanya kolabo sio kitu kibaya. Halafu Bella anafanya vizuri na pia anani- appreciate na mimi nam-appreciate. He is […]

 

5 years ago

Bongo5

Christian Bella kufanya show 4 mfululizo Australia

Mkali wa masauti Christian Bella weekend hii anatarajia kufanya show 4 mfululizo katika miji tofauti nchini Australia.

Akiongea na Bongo5 wiki hii, Bella amesema show hizo zitamfungulia milango mipya ya soko la muziki wake nchini Australia.

“Kwa sasa nipo Australia kwajili ya maandalizi ya tour yangu kwa sababu nitakuwa na show nne mfululizo kwa hiyo maandalizi yalikuwa yanahitajika,” alisema Bella. “Unajua tunafanya show nje siyo tu kwajili ya kupata pesa peke yake, sisi ni wasanii lazima...

 

9 years ago

Bongo5

Hii ndio sababu ya Christian Bella kusita kufanya wimbo na Diamond

Christian Bella amesema anashindwa kumwambia Diamond waingie studio na kufanya kolabo kutokana na hofu kuwa huenda muimbaji huyo asipokee vizuri ombi hilo. Bella ambaye alikuwa nyumbani kwa Diamond weekend iliyopita wakati wa 40 ya Tiffah, ameiambia Bongo5 kuwa yeye pamoja na mashabiki wake wanatamani kuona kazi yao ya pamoja. “Wasanii sisi labda nataka niimbe na […]

 

9 years ago

Bongo5

Alikiba na Christian Bella watangaza ‘dili’ kwa anayetaka kufanya filamu ya ‘Nagharamia’

Bella na Ali Kiba

Mashabiki wa Alikiba na Christian Bella muda si mrefu watapata kusikia na kuona collabo ya wakali hao waliyokuwa wakiisubiri kwa hamu kwa muda mrefu.

Bella na Ali Kiba

Kiba na Bella ambao wameshoot video ya wimbo wao mpya ‘Nagharamia’ nchini Afrika Kusini, wamesema kuwa wimbo huo una story nzuri ambayo inaweza hata kutengenezewa filamu.

“Nyimbo tuliyoimba inaweza ikawa hata sound track ya movie kwasababu ni story ambayo inavutia, inapendeza…” Alikiba alifunguka kupitia 255 ya XXL. “Ni idea nzuri ambayo...

 

9 years ago

Bongo5

Bella kuja na ‘Christian Bella House of Talents’

12301240_431794427022691_698500110_n

Staa wa muziki, Christian Bella ameweka wazi mpango wake wa kuanzisha lebo yake ya muziki ‘Christian Bella House of Talents’ itakayosaidia vijana wenye vipaji vya kuimba.

12301240_431794427022691_698500110_n

Muimbaji huyo aliyeachia wimbo ‘Acha Kabisa’ akiwa na Koffi Olomide hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa anafanya hivyo ili kuwasaidia vijana wanaotaka msaada wake.

“Mpango wangu mkubwa kwa mwaka 2016 ni kuanzisha record label yangu ambayo itaitwa Christian Bella House of Talents,” amesema.

“Itakuwa inasaidia vijana wenye...

 

10 years ago

GPL

HAKUNA KAMA CHRISTIAN BELLA

Na Waandishi Wetu/Ijumaa Wikienda
Wikiendi iliyopita, dunia nzima ilikuwa ikiadhimisha siku ya Valentine’s Day au kwa Kiswahili Siku ya Wapendanao! Mambo yalinoga ndani ya Ukumbi wa Dar Live ambapo wakali wa mapenzi, Christian Bella ‘Obama’ na Mzee Yusuf walifanya yao na kuzikonga vilivyo nyoyo za maelfu ya mashabiki waliofurika, Ijumaa Wikienda lilikuwepo kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Mkali wa mapenzi,...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Christian Bella — Umefulia

Wimbo mpya wa Christian Bella na Band yake ya Malaika Band unaitwa “Umefulia” Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani