Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA yazidi kuvuna CCM

WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi, (CCM), 54 akiwemo Mwenyekiti wa kijiji cha Pemba wilayani Tarime Mkoa wa Mara, Augustino Wantora, wamejiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA). Wanachama hao...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

ACT-Wazalendo Kuvuna Wabunge Kutoka CCM na CHADEMA

Baada ya vumbi la uchaguzi mkuu kuanza kumtika tumeona kura za maoni zinazoendelea kupigwa kutoka Chadema na CCM kwenye kila jimbo.

Chadema wanachagua wagombea ili baadae watakapokubaliana na wenzao CUF, NCCR Mageuzi, NLD, itabidi baadhi ya Majimbo wapewe vyama hivyo ambavyo vipo kwenye umoja huo UKAWA.

Na hapo ndiyo utazuka mgogoro mkubwa wa baadhi ya wagombea ambao majimbo yao watapewa UKAWA, hapo ndipo ACT-Wazalendo watakapojipatia wagombea wanaokubalika na kuwasimamisha kama wagombea wa...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPENI UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA,CCM YAZIDI KUIVURUGA CHADEMA,YAMNG`OA MWENYEKITI WAKE.

 Wananchi wa Kijiji cha Kikombwe wakiwa wamekusanyika kwenye mkutano wa kampeni ya uchaguzi mdogo wa CCM,jimbo la Kalenga ,wakimsikiliza mgombea Ubunge wa jimbo hilo kupitia chama cha CCM,Ndugu Godfrey Mgimwa akijinadi na kuwaomba kura kwa ridhaa yao awaongoze kama Mbunge MWENYEKITI wa Kitongoji cha Lupembelwasenga, Jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini, kwa tiketi ya Chadema, Ezekiel Kibiki akikabidhi kadi ya chama hicho kwa Mwenyekiti wa CCM Iringa Vijijini Delfina Mtavilalo, baada ya...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPENI ZA CCM KALENGA ZATINGA KIJIJI ALICHOZALIWA MGOMBEA WA CHADEMA, MWENYEKITI WA CHADEMA NA WANACHAMA 50 WATIMKIA CCM

 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kijiji cha Wangama, Fred Mgata (kulia) akikabidhi kadi za chyama hicho kwa Katibu wa CCM Mkoa wa Iringa, Hassan Mtenga baada ya yeye na wanachama wengine 50 wa Chadema kuamua kukihama na kujiunga CCM katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika  katika Kijiji hicho kilichopo Kata ya Luhota, Iringa Vijijini leo. Mgombea ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chadema ambaye ni mzaliwa wa kijiji hicho,  Grace Tendega alikuwa chini ya...

 

9 years ago

Habarileo

Chadema Bunda yazidi kumeguka

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wilaya ya Bunda, mkoani Mara, kinazidi kubomoka, baada ya aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Bunda Mjini, Pius Masuruli, kukihama na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM), huku akitangaza wazi kumuunga mkono Stephen Wasira.

 

5 years ago

CCM Blog

CHADEMA YAZIDI KUMEGUKA VIPANDE


  Aliyewahi kuwa Katibu Mwenezi/ Uhamasishaji  wa Baraza la Vijana la Chama Cha demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), Edward Simbeye Leo  February 26, 2020 ametangaza kujivua uanachama wa CHADEMA, kwa kile alichokisema kutokuunga mkono baadhi ya mambo yanayoendelea ndani ya chama hicho cha Chadema na kwamba kwa sasa anatafakari chama gani cha kujiunga.
Sembeye amesema moja ya vitu vinavyokiumiza chama hicho, ni chama  kuendeshwa kwa amri na matakwa ya  Freeman Mbowe ambaye ni  mwenyekiti wa...

 

11 years ago

GPL

CHADEMA YAZIDI KUCHANJA MBUGA CHALINZE

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Issa Said Mohamed akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Miono, katika mkutano wa kampeni, uliofanyika kijijini hapo.
Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Miono wakiitikia kauli mbiu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ya "Peoples Power" wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika kijiji cha Miono.… ...

 

9 years ago

Mwananchi

Chadema yazidi kuikalia kooni NEC

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema Chadema inawasumbua kutokana na madai yao ya mara kwa mara, lakini chama hicho kikuu cha upinzani hakijakoma; kimeitaka Tume kujibu mambo matano kuhusu Uchaguzi Mkuu.

 

10 years ago

GPL

CHADEMA YAZIDI KUWAHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KUPIGA KURA

Mgombea Udiwani Kata ya Mombasa, Dar kwa tiketi ya Chadema, Oswald Mbogolo akiwahasa wananchi wa Ukonga kujitokeza na kujiandikisha kwa ajili ya kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa mwezi Oktoba mwaka huu.…

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM yazidi kumeguka

WAKATI joto uchaguzi wa Serikari za Mitaaa unaotarajiwa kufanyika Desemba 14,mwaka huu, likipamba moto, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimezidi kumeguka baada ya Mwenyekiti wa mtaa wa Matela kata ya Nyanguge,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani