CHADEMA YAZIDI KUMEGUKA VIPANDE
![](https://1.bp.blogspot.com/-3xum_TtkBzQ/XlZA1DJLWdI/AAAAAAACzgE/iMcqZRN0GJkRTAQin7S4yqh4ZUn4aJPywCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
Aliyewahi kuwa Katibu Mwenezi/ Uhamasishaji wa Baraza la Vijana la Chama Cha demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), Edward Simbeye Leo February 26, 2020 ametangaza kujivua uanachama wa CHADEMA, kwa kile alichokisema kutokuunga mkono baadhi ya mambo yanayoendelea ndani ya chama hicho cha Chadema na kwamba kwa sasa anatafakari chama gani cha kujiunga.
Sembeye amesema moja ya vitu vinavyokiumiza chama hicho, ni chama kuendeshwa kwa amri na matakwa ya Freeman Mbowe ambaye ni mwenyekiti wa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo30 Aug
Chadema Bunda yazidi kumeguka
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wilaya ya Bunda, mkoani Mara, kinazidi kubomoka, baada ya aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Bunda Mjini, Pius Masuruli, kukihama na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM), huku akitangaza wazi kumuunga mkono Stephen Wasira.
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
CCM yazidi kumeguka
WAKATI joto uchaguzi wa Serikari za Mitaaa unaotarajiwa kufanyika Desemba 14,mwaka huu, likipamba moto, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimezidi kumeguka baada ya Mwenyekiti wa mtaa wa Matela kata ya Nyanguge,...
11 years ago
Mwananchi18 Feb
Bunge la Katiba vipande vipande
10 years ago
Mtanzania07 Jan
ACT-Tanzania vipande vipande
SHABANI MATUTU NA JUMA HEZRON, DAR ES SALAAM
NI wazi sasa hali ya mambo ndani ya Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania) si shwari kutokana na chama hicho kuwa vipande vipande.
Hali hiyo imetokana na wajumbe wa Kamati Kuu kupiga kura ya kutokuwa na imani na Mwenyekiti wa muda wa chama hicho, Kadawi Limbu ambaye Desemba 30, mwaka jana, alitangaza kuwafukuza uanachama Katibu Mkuu wa muda, Samson Mwigamba, mshauri wa chama hicho, Profesa Kitila Mkumbo na wajumbe wengine...
9 years ago
Mwananchi10 Oct
Ukawa vipande vipande Handeni
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
Tanzania vipande vipande
WAKATI serikali ikidai kuwa hati halali za Muungano zipo Umoja wa Mataifa (UN), umoja huo umeikana kwa kuweka wazi kuwa hakuna ushahidi wa jambo hilo. Taarifa zilizoifikia Tanzania Daima Jumapili...
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
CHADEMA yazidi kuvuna CCM
WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi, (CCM), 54 akiwemo Mwenyekiti wa kijiji cha Pemba wilayani Tarime Mkoa wa Mara, Augustino Wantora, wamejiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA). Wanachama hao...
9 years ago
Mwananchi04 Oct
Chadema yazidi kuikalia kooni NEC
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9OHZWcwyRAT4DAiPkgp1*sAFEJEzgrED1HSpcFIsmEHrHbi-ZscyJl9NRnTL-ZoPXHfX83hcq2hx7rKCJ6J-kc3U1iCy-1cH/MakamukuhutubiaMiono.jpg?width=650)
CHADEMA YAZIDI KUCHANJA MBUGA CHALINZE