Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge la Katiba vipande vipande

Bunge Maalumu la Katiba, linaanza leo mjini hapa, huku kukiwa na mpasuko mkubwa miongoni mwa wajumbe, unaotokana na misimamo tofauti.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Bunge la Katiba vipande

Bunge Maalumu la Katiba, linaanza leo mjini hapa, huku kukiwa na mpasuko mkubwa miongoni mwa wajumbe, unaotokana na misimamo tofauti.

 

9 years ago

Mwananchi

Ukawa vipande vipande Handeni

Wakati viongozi wa juu wa Ukawa wakizidi kuchanja mbuga katika majimbo mbalimbali nchini kusaka kura za urais kwa wananchi, CUF Wilaya ya Handeni mkoani Tanga imetangaza kuwaunga mkono wagombea udiwani wa ADC na ACT Wazalendo kwa madai kuwa Chadema imewasaliti kwa kukiuka makubaliano ya vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi.

 

10 years ago

Mtanzania

ACT-Tanzania vipande vipande

 

Pg 2

SHABANI MATUTU NA JUMA HEZRON, DAR ES SALAAM
NI wazi sasa hali ya mambo ndani ya Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania) si shwari kutokana na chama hicho kuwa vipande vipande.
Hali hiyo imetokana na wajumbe wa Kamati Kuu kupiga kura ya kutokuwa na imani na Mwenyekiti wa muda wa chama hicho, Kadawi Limbu ambaye Desemba 30, mwaka jana, alitangaza kuwafukuza uanachama Katibu Mkuu wa muda, Samson Mwigamba, mshauri wa chama hicho, Profesa Kitila Mkumbo na wajumbe wengine...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania vipande vipande

WAKATI serikali ikidai kuwa hati halali za Muungano zipo Umoja wa Mataifa (UN), umoja huo umeikana kwa kuweka wazi kuwa hakuna ushahidi wa jambo hilo. Taarifa zilizoifikia Tanzania Daima Jumapili...

 

10 years ago

GPL

URAIS 2015 WASANII VIPANDE

Mwandishi Wetu
MPASUKO! Zikiwa zimesalia takriban siku 31 kabla ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumpitisha mgombea mmoja wa urais atakayechuana na vyama vya upinzani, imebainika kuwa mastaa wa filamu na Bongo Fleva wamegawanyika vipande huku wakiwa kwenye msuguano mkali kufanikisha ushindi wa makada Bernard Membe na Edward Lowassa, Risasi Mchanganyiko linapa mchapo kamili. Waziri wa mambo ya nje Bernard Membe. WAJIPAMBANUA
...

 

5 years ago

CCM Blog

CHADEMA YAZIDI KUMEGUKA VIPANDE


  Aliyewahi kuwa Katibu Mwenezi/ Uhamasishaji  wa Baraza la Vijana la Chama Cha demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), Edward Simbeye Leo  February 26, 2020 ametangaza kujivua uanachama wa CHADEMA, kwa kile alichokisema kutokuunga mkono baadhi ya mambo yanayoendelea ndani ya chama hicho cha Chadema na kwamba kwa sasa anatafakari chama gani cha kujiunga.
Sembeye amesema moja ya vitu vinavyokiumiza chama hicho, ni chama  kuendeshwa kwa amri na matakwa ya  Freeman Mbowe ambaye ni  mwenyekiti wa...

 

11 years ago

Michuzi

ADAKWA NA VIPANDE 28 VYA MENO YA TEMBO


 Na John Gagarini, Kibaha

MKAZI wa Ruaha mkoani Morogoro Sibeteli (34) anashikiliwa na jeshi la Polisi mkoani Pwani kwa tuhuma za kukutwa na vipande 28 vya meno ya tembo ambavyo ni nyara za serikali.
Mtuhumiwa huyo alikamatwa akiwa ameyahifadhi meno hayo ndani ya gari aina ya Toyota Mark II yenye namba za usajili T 129 ARH.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kaimu kamanda wa polisi mkoani Pwani Kamishna Msaidizi (ACP) Steven Kiango alisema kuwa tukio hilo lilitokea Mei 22 mwaka huu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Akamatwa na vipande 21 vya meno ya tembo

JESHI la Polisi limemkamata mtu mmoja  mkazi wa Mwamagembe, Itigi wilayani Manyoni, Singida, George James (30)  na vipande 21 vya meno  ya tembo akiwa njiani kuvisafirisha. Kamanda wa Polisi mkoani humo (SACP)...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbaroni kwa vipande 6 vya meno ya tembo

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Tarime na Rorya, mkoani Mara, linamshikilia Bahati Hunga (39) mkazi wa Mtaa wa Msati kwa tuhuma za kukutwa na meno ya tembo vipande 6...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani