Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WHO: uvumi wa maambukizi ya Ebola ukome

Shirika la Afya Duniani, WHO, limesema kukabiliana na Homa ya Ebola Magharibi mwa Afrika ni changamoto kubwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Hofu ya maambukizi zaidi

Shirika la afya duniani limetahadharisha kutokea maambukizi zaidi ya Ebola licha ya juhudi za pamoja kupambana na janga hilo

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Maambukizi yaongezeka S Leone

Shirika moja la hisani limeonya kuwa kuna kiwango cha visa vitano vya maambukizi ya ugonjwa wa Ebola kila saa nchini Sierra Leone

 

11 years ago

BBCSwahili

Maambukizi mapya ya Ebola Nigeria

Waziri wa afya nchini Nigeria amethibitisha visa kumi vya ugonjwa wa Ebola katika mji mkuu Lagos.

 

11 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kujikinga na maambukizi ya ebola

Ebola ni ugonjwa hatari unaosababishwa na kirusi kiitwacho ebola. Kirusi hicho ni moja kati ya familia ya virusi watatu toka katika familia ya filoviridiae.

 

10 years ago

Vijimambo

Klabu yahofia kumwachia Traore kuogopa kupata maambukizi ya Ebola

Mchezaji soka, Ibrahima Traore (pichani) ameiomba klabu yake ya Ujerumani Borussia Monchengladbach kumruhusu kuichezea timu yake ya taifa ya Guinea katika fainali ya kufuzu kwa michuano ya kombe la mataifa ya Afrika 2015.

Madaktari wa klabu hiyo wameelezea wasiwasi kuwa huenda akaambukizwa Ebola ikiwa ataenda kuichezea klabu yake nchini Guinea.

Timu ya taifa ya Guinea ,Syli Nationale itacheza katika mechi ambayo lazima washinde dhidi ya Uganda nchini Morocco ambako mechi hiyo ilihamishiwa kwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Zaidi ya maambukizi 10,000 kwa siku moja Marekani wakati Uhispania ikiongoza kwa maambukizi ya corona

Takwimu za sasa za ugonjwa wa Covid-19 zaonyesha Uhispania kuongoza huku Marekani maambukizi yaongezeka kwa kasi ndani ya siku moja tu.

 

10 years ago

Mwananchi

Uvumi wa Noah wazua tafrani Dar

Gari aina ya Toyota Noah linalomilikiwa na Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Kituo cha Polisi, Tabata Shule Dar es Salaam, limezua tafrani kwa wakazi wa eneo hilo baada ya kuwapo na uvumi kuwa kuna gari la aina hiyo linatumika kuteka watoto.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Ndugai akanusha uvumi wa yeye kuugua



NA MOHAMMED ISSABAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu na kutoonekana kwenye shughuli mbalimbali, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai ameibuka na kusema yupo hai na ni mzima wa afya. JOB NdugaiNdugai ambaye tokea kuanza kwa mkutano wa 18 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano la Tanzania alikuwa hajaongoza kikao chochote. Muda mwingi katika kikao hicho, kilikuwa kikitumia wenyeviti wakati Spika, Anne Makinda, anapokuwa hayupo bungeni. Akizungumza na Uhuru kwa njia ya simu jana, Ndugai (Kongwa-CCM),...

 

10 years ago

Habarileo

Bilal apuuza uvumi wa kuihama CCM

MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amekanusha taarifa za uzushi ziliposambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa anakihama Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani