Watalii 17 wavamiwa hotelini
KUNDI la watu wanaoaminika kuwa ni majambazi wakiwa na silaha za moto na mapanga, wamevamia watalii 17 kutoka mataifa mbalimbali na kuwapora kiasi kikubwa cha fedha, kamera na kompyuta mpakato...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Uwanja wa Simba wavamiwa
Uwanja wa Simba uliopo Bunju B kitalu namba 226, umevamiwa na baadhi ya watu walioanza kugawana maeneo tayari kwa ujenzi wa makazi.
11 years ago
BBCSwahili27 May
Mtandao wa eBay wavamiwa
Majina, tarehe ya kuzaliwa na anwani za watu zimefichuliwa baada ya mtandao wa eBay kuvamiwa.
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Apple wavamiwa kimitandao
Kampuni ya Apple ya Marekani imesema kuwa ipo katika hatua za kukabiliana na shambulio la kimitandao kwa bidhaa zake nchini China.
9 years ago
BBCSwahili26 Dec
Ukumbi wa Waislamu wavamiwa Corsica
Kundi la watu limevamia na kuharibu ukumbi wa maombi wa Waislamu katika kisiwa cha Ufaransa cha Corsica, shambulio linaoonekana kuwa la kulipiza kisasi.
10 years ago
Mwananchi24 Sep
UBABE: Polisi wavamiwa Lindi, mtuhumiwa auawa
>Kundi la vijana wasiofahamika kutoka mjini Liwale, mkoani Lindi, wamevamia Kituo cha Polisi Lionja na kuwazidi nguvu askari, kabla ya kumtorosha mtuhumiwa wa mauaji na kisha kumuua na mwili wake kuuchoma moto.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cGEsfZahF3unH8KTqUeGKQy18HimTVqJMrGBbzItuTBKoymy47KDE0qDjL51n8hY0yYhsqosX4VB5JP-*nRBpQLf-7fmfEGq/4.jpg?width=650)
Wezi wamliza Kopunovic hotelini
Kocha Mkuu wa Simba, Goran Kopunovic. Daudi Julian, Morogoro na Hans Mloli, Dar
KOCHA Mkuu wa Simba, Goran Kopunovic, ameingizwa mjini baada ya kuibiwa kiasi cha dola 300 (Sh 510,000) pamoja na fedha za Kitanzania ambazo hazikufahamika ni kiasi gani akiwa katika hoteli yenye hadhi kubwa mkoani Morogoro. Kocha huyo amekumbwa na tukio hilo alipokuwa mkoani humo wakati timu yake ilipokuwa mkoani humo maalum kwa ajili ya mechi...
10 years ago
BBCSwahili28 Mar
Makabiliano Hotelini Somalia yamalizika
Serikali ya Somalia imesema mapigano yaliokuwa kwenye hoteli moja mjini Mogadishu kufuatia uvamizi wa Al shabaab yamemalizika.
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Zanzibar wazuiliwa hotelini Nairobi
p>KIKOSI cha timu ya taifa ya Zanzibar ‘Zanzibar Heroes’, kimeshindwa kuondoka jijini Nairobi juzi kama ilivyopangwa baada ya kuzuiliwa hotelini walipofikia kwa madai ya kudaiwa fedha kutokana na waandaaji wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania