Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukumbi wa Waislamu wavamiwa Corsica

Kundi la watu limevamia na kuharibu ukumbi wa maombi wa Waislamu katika kisiwa cha Ufaransa cha Corsica, shambulio linaoonekana kuwa la kulipiza kisasi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

RAIS DK. MAGUFULI AKAGUA UKARABATI WA UKUMBI WA MKUTANO WA JAKAYA KIKWETE NA UKUMBI WA NEC

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Dk. John Magufuli akimsikiliza MakamuMwenyekiti wa CCM Bara Philip Mangula kuhusu Maendeleo ya ukarabati wa ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete Conventionjijini Dodoma leo tarehe 1 Juni 2020
Dodoma, Tanzania
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndg. John Pombe Joseph Magufuli leo tarehe 01 Juni, 2020 amekagua maandalizi ya kumbi za mikutano na vikao vya chama vinavyotarajiwa kufanyika hivi karibuni.
Ndg....

 

5 years ago

Michuzi

RAIS DKT. MAGUFULI ATEMBELEA NA KUKAGUA UKARABATI UKUMBI WA MKUTANO WA JAKAYA KIKWETE NA UKUMBI WA NEC

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndg. John Pombe Joseph Magufuli leo tarehe 01 Juni, 2020 amekagua maandalizi ya kumbi za mikutano na vikao vya chama vinavyotarajiwa kufanyika hivi karibuni.

Ndg. Magufuli akiwa ameongozana na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Bashiru Ally Kakurwa amekagua kumbi za Kituo cha Mikutano Dodoma (Jakaya Kikwete Hall) ambako utafanyika Mkutano Mkuu wa CCM na pia amekagua...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watalii 17 wavamiwa hotelini

KUNDI la watu wanaoaminika kuwa ni majambazi wakiwa na silaha za moto na mapanga, wamevamia watalii 17 kutoka mataifa mbalimbali na kuwapora kiasi kikubwa cha fedha, kamera na kompyuta mpakato...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mtandao wa eBay wavamiwa

Majina, tarehe ya kuzaliwa na anwani za watu zimefichuliwa baada ya mtandao wa eBay kuvamiwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Uwanja wa Simba wavamiwa

Uwanja wa Simba uliopo Bunju B kitalu namba 226, umevamiwa na baadhi ya watu walioanza kugawana maeneo tayari kwa ujenzi wa makazi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Apple wavamiwa kimitandao

Kampuni ya Apple ya Marekani imesema kuwa ipo katika hatua za kukabiliana na shambulio la kimitandao kwa bidhaa zake nchini China.

 

10 years ago

Mwananchi

UBABE: Polisi wavamiwa Lindi, mtuhumiwa auawa

>Kundi la vijana wasiofahamika kutoka mjini Liwale, mkoani Lindi, wamevamia Kituo cha Polisi Lionja na kuwazidi nguvu askari, kabla ya kumtorosha mtuhumiwa wa mauaji na kisha kumuua na mwili wake kuuchoma moto.

 

11 years ago

Michuzi

UKUMBI WA BUNGE LA KATIBA: Sekretarieti ya Bunge la Katiba kukabidhiwa Ukumbi Jumatano

Spika wa Bunge Mhe. Anna Makinda akijaribu mojawapo ya viti vipya vilivyofungwa katika ukumbi wa Bunge tayari kwa ajiri ya Matumizi wakati wa Bunge la Katiba. Mhe. Makinda aliongoza ujumbe wa Tume ya Utumishi wa Bnge kufanya ukaguzi wa mwisho kabla ukumbi huo haujakabidhiwa kwa Sekretariat ya Bunge la Katiba Jumatano wiki hii. Spika wa Bunge Mhe. Anna Makinda akiwa na wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Bunge kukagua ukumbi huo. Spika wa Bunge Mhe. Anna Makinda, (katikati) Naibu Spika Mhe....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani