Ukumbi wa Waislamu wavamiwa Corsica
Kundi la watu limevamia na kuharibu ukumbi wa maombi wa Waislamu katika kisiwa cha Ufaransa cha Corsica, shambulio linaoonekana kuwa la kulipiza kisasi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-_gqDqwPKVu4/XtUTe1LnU8I/AAAAAAACL4c/_DtXIsDGByUsxbqxJVC256pr4ZJ-Oo-AwCLcBGAsYHQ/s72-c/7.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AKAGUA UKARABATI WA UKUMBI WA MKUTANO WA JAKAYA KIKWETE NA UKUMBI WA NEC
![](https://1.bp.blogspot.com/-_gqDqwPKVu4/XtUTe1LnU8I/AAAAAAACL4c/_DtXIsDGByUsxbqxJVC256pr4ZJ-Oo-AwCLcBGAsYHQ/s400/7.jpg)
Dodoma, Tanzania
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndg. John Pombe Joseph Magufuli leo tarehe 01 Juni, 2020 amekagua maandalizi ya kumbi za mikutano na vikao vya chama vinavyotarajiwa kufanyika hivi karibuni.
Ndg....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6_uR53-JI8o/XtVAjA-uanI/AAAAAAALsQE/cc8xa-kU4SU2WV-Z-ZKlRDD0YftCNjaoQCLcBGAsYHQ/s72-c/6%2B%25281%2529.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI ATEMBELEA NA KUKAGUA UKARABATI UKUMBI WA MKUTANO WA JAKAYA KIKWETE NA UKUMBI WA NEC
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndg. John Pombe Joseph Magufuli leo tarehe 01 Juni, 2020 amekagua maandalizi ya kumbi za mikutano na vikao vya chama vinavyotarajiwa kufanyika hivi karibuni.
Ndg. Magufuli akiwa ameongozana na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Bashiru Ally Kakurwa amekagua kumbi za Kituo cha Mikutano Dodoma (Jakaya Kikwete Hall) ambako utafanyika Mkutano Mkuu wa CCM na pia amekagua...
Ndg. Magufuli akiwa ameongozana na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Bashiru Ally Kakurwa amekagua kumbi za Kituo cha Mikutano Dodoma (Jakaya Kikwete Hall) ambako utafanyika Mkutano Mkuu wa CCM na pia amekagua...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Watalii 17 wavamiwa hotelini
KUNDI la watu wanaoaminika kuwa ni majambazi wakiwa na silaha za moto na mapanga, wamevamia watalii 17 kutoka mataifa mbalimbali na kuwapora kiasi kikubwa cha fedha, kamera na kompyuta mpakato...
11 years ago
BBCSwahili27 May
Mtandao wa eBay wavamiwa
Majina, tarehe ya kuzaliwa na anwani za watu zimefichuliwa baada ya mtandao wa eBay kuvamiwa.
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Uwanja wa Simba wavamiwa
Uwanja wa Simba uliopo Bunju B kitalu namba 226, umevamiwa na baadhi ya watu walioanza kugawana maeneo tayari kwa ujenzi wa makazi.
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Apple wavamiwa kimitandao
Kampuni ya Apple ya Marekani imesema kuwa ipo katika hatua za kukabiliana na shambulio la kimitandao kwa bidhaa zake nchini China.
10 years ago
Mwananchi24 Sep
UBABE: Polisi wavamiwa Lindi, mtuhumiwa auawa
>Kundi la vijana wasiofahamika kutoka mjini Liwale, mkoani Lindi, wamevamia Kituo cha Polisi Lionja na kuwazidi nguvu askari, kabla ya kumtorosha mtuhumiwa wa mauaji na kisha kumuua na mwili wake kuuchoma moto.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-J7TyexRp0RY/UviSjsMHrHI/AAAAAAAFMDE/xs4iWf62rJE/s72-c/1.jpg)
UKUMBI WA BUNGE LA KATIBA: Sekretarieti ya Bunge la Katiba kukabidhiwa Ukumbi Jumatano
![](http://2.bp.blogspot.com/-J7TyexRp0RY/UviSjsMHrHI/AAAAAAAFMDE/xs4iWf62rJE/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-o5sZn-mfKy8/UviSkzUUgII/AAAAAAAFMDY/kBeYxCxYVLA/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AV9UXPlH8_A/UviSl8oAIjI/AAAAAAAFMDk/Zlh5ap4Atqo/s1600/3.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania