Wafugaji wateketeza kambi ya watalii
Wafugaji wa Kabila la Wamasai, wameteketeza kwa moto kambi ya kifahari ya watalii ya Ndarakwai iliyopo wilayani Siha yenye vibanda 16 vyenye hadhi sawa na vyumba vya hoteli ya nyota nne.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Majaji waendesha mahakama ya wazi kusikiliza na kupokea malalamiko ya wakulima walionyang’anywa Ardhi,Wafugaji na Migogoro ya wakulima na wafugaji
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
TRA wateketeza shehena ya sigara
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) kitengo cha ushuru wa bidhaa na forodha Mkoa wa Mbeya, imeteketeza shehena ya sigara aina ya SM mali ya Kampuni ya TCC zenye thamani ya...
10 years ago
Mwananchi09 Oct
Wanafunzi Njombe wateketeza bweni
11 years ago
Tanzania Daima12 Jan
Moto wateketeza ghala Vingunguti
GHALA la RK Complex la jijini Dar es Salaam limeungua moto na kuteketea mali zote zilizokuwamo ndani. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Marietha Minangi, alisema moto huo ulizuka juzi...
10 years ago
Habarileo08 Feb
Moto wateketeza familia Dar
WATU sita wa familia moja akiwamo Kapteni mstaafu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi (JWTZ), wamekufa papo hapo baada ya kuteketezwa kwa moto jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Moto wateketeza msikiti wa Hindu
MOTO umezuka juzi maeneo ya Olimpio kata ya Upanga na kuteketeza jengo la msikiti wa dhahabu la hindu ulioko katika mtaa huo na kuunguza vitu mbalimbali vilivyomo ndani yake. Akizungumza...
10 years ago
Tanzania Daima12 Sep
Moto wateketeza maduka Tanga
MADUKA manne yameteketea kwa moto kutokana na hitilafu ya umeme barabara ya 14 jirani na stendi ya mabasi yaendayo mikoani jijini Tanga, usiku wa kuamkia jana. Moto huo uliozuka majira...
9 years ago
Mwananchi26 Oct
Moto wateketeza mabanda Njombe
10 years ago
Mtanzania17 Mar
Moto wateketeza hosteli UDSM
NA MICHAEL SARUNGI, Dar es Salaam
WANAFUNZI wawili wanaosoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, wameumia baada ya moto kuteketeza hosteli za Mabibo Dar es Salaam, walikokuwa wakiishi.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya tukio hilo, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, Profesa Rwekaza Mukandala, alisema moto huo uliteketeza ghorofa ya tatu ya jengo A linalotumiwa na wanafunzi wa kike.
“Tunamshukuru Mungu hakuna maafa yaliyotokea ingawa kuna wanafunzi wawili wamepata matatizo na...