Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Moto wateketeza ghala Vingunguti

GHALA la RK Complex la jijini Dar es Salaam limeungua moto na kuteketea mali zote zilizokuwamo ndani. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Marietha Minangi, alisema moto huo ulizuka juzi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Moto wateketeza ghala la Polisi Moshi

MOTO uliozuka jana katika ghala la Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi (MPA), umeteketeza vitu mbali mbali vilivyokuwa katika jengo hilo ambalo limekuwa likitumika kama stoo ya kuhifadhi majora ya...

 

10 years ago

GPL

MOTO WATEKETEZA GHALA LA KUHIDHIA RANGI, KIJITONYAMA JIJINI DAR

Askari wa Kikosi cha zima moto wakiendelea na zoezi la uzimaji moto katika ghala la kuhifadhi rangi za kampuni ya Colar Paint lililopo katika Mtaa wa Kenya, Kijitonyama usiku wa kuamkia leo. Chanzo cha moto huo hakijafahamika mpaka sasa na eneo kubwa la ghala hilo limeteketea kabisa kwa moto huo hakuna mtu yeyote alieripotiwa kupoteza maisha au kujeruhiwa katika moto huo.…
...

 

10 years ago

Michuzi

MOTO WATEKETEZA GHALA LA KUHIDHIA RANGI,KIJITONYAMA JIJINI DAR

 Askari wa Kikosi cha zima moto wakiendelea na zoezi la uzimaji moto katika ghala la kuhifadhi rangi za kampuni ya Colar Paint lililopo katika Mtaa wa Kenya,Kijitonyama usiku huu.Chanzo cha moto huo hakijafahamika mpaka sasa na eneo kubwa la ghala hilo limeteketea kabisa kwa moto huo.hakuna mtu yeyote alieripotiwa kupoteza maisha au kujeruhiwa katika moto huo.Mpaka Globu ya Jamii inaondoka eneo la tukio,eneo kuwa la moyo huo lililiwa limeshazimwa.
Sehemu ya Maduka yaliyokuwa yamezunguka nje...

 

10 years ago

Vijimambo

MOTO ULIOZUKA KATIKA GHALA LA KUHIFADHIA BIDHAA DAR

MOTO huu umezuka leo asubuhi katika ghala la kuhifadhia bidhaa mbalimbali maeneo ya barabara ya Pugu jijini Dar es Salaam. (Picha kwa hisani ya Times FM)

 

11 years ago

Mwananchi

Ghala la viinilishe vya binadamu laungua moto Dar es Salaam

>Moto umezuka kwenye ghala la kuhifadhia dawa za binadamu ambalo pia ni Hifadhi ya Taifa ya Viinilishe ambalo linamilikiwa na Philips Pharmaceuticals, lililopo eneo la Vingunguti na kuteketeza mali zilizokuwemo humo.

 

10 years ago

GPL

TASWIRA ZA MOTO ULIOZUKA KATIKA GHALA LA KUHIFADHIA BIDHAA DAR

MOTO huu umezuka leo asubuhi katika ghala la kuhifadhia bidhaa mbalimbali maeneo ya barabara ya Pugu jijini Dar es Salaam. (Picha kwa hisani ya Times…

 

10 years ago

Mtanzania

Moto wateketeza hosteli UDSM

NA MICHAEL SARUNGI, Dar es Salaam
WANAFUNZI wawili wanaosoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, wameumia baada ya moto kuteketeza hosteli za Mabibo Dar es Salaam, walikokuwa wakiishi.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya tukio hilo, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, Profesa Rwekaza Mukandala, alisema moto huo uliteketeza ghorofa ya tatu ya jengo A linalotumiwa na wanafunzi wa kike.
“Tunamshukuru Mungu hakuna maafa yaliyotokea ingawa kuna wanafunzi wawili wamepata matatizo na...

 

10 years ago

Habarileo

Moto wateketeza familia Dar

Wananchi wakiangalia nyumba iliyoteketea na kuangamiza familia nzima.WATU sita wa familia moja akiwamo Kapteni mstaafu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi (JWTZ), wamekufa papo hapo baada ya kuteketezwa kwa moto jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

Moto wateketeza mabanda Njombe

Moto ambao chanzo chake hakijajulikana hadi sasa umeteketeza baadhi ya mabanda ya mama lishe na mitumba karibu na kituo cha mabasi mkoani Njombe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani