Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ghala la viinilishe vya binadamu laungua moto Dar es Salaam

>Moto umezuka kwenye ghala la kuhifadhia dawa za binadamu ambalo pia ni Hifadhi ya Taifa ya Viinilishe ambalo linamilikiwa na Philips Pharmaceuticals, lililopo eneo la Vingunguti na kuteketeza mali zilizokuwemo humo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MOTO ULIOZUKA KATIKA GHALA LA KUHIFADHIA BIDHAA DAR

MOTO huu umezuka leo asubuhi katika ghala la kuhifadhia bidhaa mbalimbali maeneo ya barabara ya Pugu jijini Dar es Salaam. (Picha kwa hisani ya Times FM)

 

10 years ago

Michuzi

MOTO WATEKETEZA GHALA LA KUHIDHIA RANGI,KIJITONYAMA JIJINI DAR

 Askari wa Kikosi cha zima moto wakiendelea na zoezi la uzimaji moto katika ghala la kuhifadhi rangi za kampuni ya Colar Paint lililopo katika Mtaa wa Kenya,Kijitonyama usiku huu.Chanzo cha moto huo hakijafahamika mpaka sasa na eneo kubwa la ghala hilo limeteketea kabisa kwa moto huo.hakuna mtu yeyote alieripotiwa kupoteza maisha au kujeruhiwa katika moto huo.Mpaka Globu ya Jamii inaondoka eneo la tukio,eneo kuwa la moyo huo lililiwa limeshazimwa.
Sehemu ya Maduka yaliyokuwa yamezunguka nje...

 

10 years ago

GPL

MOTO WATEKETEZA GHALA LA KUHIDHIA RANGI, KIJITONYAMA JIJINI DAR

Askari wa Kikosi cha zima moto wakiendelea na zoezi la uzimaji moto katika ghala la kuhifadhi rangi za kampuni ya Colar Paint lililopo katika Mtaa wa Kenya, Kijitonyama usiku wa kuamkia leo. Chanzo cha moto huo hakijafahamika mpaka sasa na eneo kubwa la ghala hilo limeteketea kabisa kwa moto huo hakuna mtu yeyote alieripotiwa kupoteza maisha au kujeruhiwa katika moto huo.…
...

 

10 years ago

GPL

TASWIRA ZA MOTO ULIOZUKA KATIKA GHALA LA KUHIFADHIA BIDHAA DAR

MOTO huu umezuka leo asubuhi katika ghala la kuhifadhia bidhaa mbalimbali maeneo ya barabara ya Pugu jijini Dar es Salaam. (Picha kwa hisani ya Times…

 

11 years ago

Michuzi

Breaking newzzzz: viungo vya binadamu vyakamatwa dar es salaam leo (kunradhi kwa picha za kuogofya)

 Gari likiwa limebeba mifuko yenye viuongo hivyo, ambapo Jeshi la Polisi wilaya ya Kinondoni limesema kuwa limeanza uchunguzi wa kina baada ya kukakamata viungo mbalimbali vinavyodhaniwa kuwa ni vya binadamu katika  mifuko ya plastiki katika machimbo ya kokoto sehemu za Mbweni Mpiji, Magohe, nje kidogo ya jiji la Dar es salaam. Sehemu ya mifuko ya plastiki iliyokutwa na viungo hivyo ambavyo inasemekana ni pamoja na mikono, miguu, ngozi na sehemu nyingine za miili

 

10 years ago

Vijimambo

JENGO LA MACHINGA COMPLEX LAUNGUA KWA MOTO

Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa jengo la Machinga Complex la jijini Dar es Salaam limeungua kwa moto. Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana. Tunalifuatilia kwa karibu kuweza kujua chanzo cha moto na madhara yake na itakapofika muda muafaka tutawajulisha habari kamili kwa kina.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Moto wateketeza ghala Vingunguti

GHALA la RK Complex la jijini Dar es Salaam limeungua moto na kuteketea mali zote zilizokuwamo ndani. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Marietha Minangi, alisema moto huo ulizuka juzi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Moto wateketeza ghala la Polisi Moshi

MOTO uliozuka jana katika ghala la Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi (MPA), umeteketeza vitu mbali mbali vilivyokuwa katika jengo hilo ambalo limekuwa likitumika kama stoo ya kuhifadhi majora ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani