TRA wateketeza shehena ya sigara
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) kitengo cha ushuru wa bidhaa na forodha Mkoa wa Mbeya, imeteketeza shehena ya sigara aina ya SM mali ya Kampuni ya TCC zenye thamani ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo521 Jul
Kampuni ya sigara yaamriwa kumlipa mjane wa mvuta sigara aliyekufa kwa kansa ya mapafu dola bil.26.6!
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Shehena ya magogo yanaswa
10 years ago
Habarileo06 Mar
Shehena za magendo zakamatwa Sirari
MAOFISA wa Kituo cha Forodha cha Sirari na wenzao wa kodi za ndani wamekamata magari matatu yenye shehena ya mali za magendo, zinazodaiwa kuingizwa nchini kwa njia za panya kutoka Kenya bila kulipiwa ushuru.
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
Uingizaji shehena waongezeka bandarini
UINGIZAJI wa shehena katika bandari za mamlaka umeongezeka kutoka tani 1.185 wakati wa uhuru mwaka 1961 hadi kufikia tani 13,500 mwaka jana. Hayo yalibainishwa jijini Dar es Salaam jana na...
9 years ago
Mwananchi15 Dec
TFDA yateketeza shehena ya vipodozi
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Shehena ya karafuu yakamatwa Pemba
10 years ago
Uhuru Newspaper25 Mar
Gari la kitalii lanaswa na shehena ya bangi
NA LILIAN JOEL, ARUSHAGARI la Kampuni ya Kitalii ya Wengert Windrose, linashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa likiwa limepakiza shehena ya magunia 11 ya bangi. Gari hilo namba T 695 ARR aina ya Toyota Land Cruiser, likiendeshwa na Frank Faustine, lilikamatwa eneo la Ranch wilayani Longido. Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, alisema gari hilo lilikamatwa saa 5:00 usiku na kwamba, bangi hiyo ilikuwa ikisafirishwa kwenda Kenya. Juzi, wabunge waliibana serikali wakitaka...
10 years ago
StarTV01 Apr
Shehena ya mizigo zakamatwa kwenye makontena.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar es Salaam.
Shehena ya mizigo mbalimbali zimekamatwa kwenye makontena yenye thamani ya shilingi milioni 300 katika ukaguzi wa kushtukiza uliofanyika kwenye Bandari Kavu ya jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akiongozana na Maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wamefanya ukaguzi huo baada ya Serikali kubaini ongezeko la wafanyabishara wanaokwepa kodi kupitia udanganyifu wa bidhaa zinazoingizwa nchini.
Akizungumza mara baada ya...
11 years ago
Mwananchi24 Jun
TBS yakamata shehena ya nguo za ndani