Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maelfu ya watalii waondoka Tunisia

Maelfu ya watalii wameondoka nchini Tunisia kufuatia shambulizi la siku ya Ijumaa ambapo watu 38 waliuawa wengi kutoka ulaya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Watalii wauawa Tunisia

Takriban watalii saba wa kigeni na raia mmoja wa Tunisia wameuawa baada ya wapiganaji kulenga jengo la kumbukumbu Tunisia

 

10 years ago

BBCSwahili

Watalii wa Uingereza kuondoka Tunisia

Maelfu ya watalii wanajiandaa kuondoka nchini Tunisia kufuatia onyo kutoka kwa serikali ya Uingereza kwamba huenda kukatokea shambulio jingine la kigaidi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabab waondoka Barawe

Majeshi ya Somalia na Umoja wa Afrika AU yamesema yamefanikiwa kuwatimua wapiganaji wa Al Shabab.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Israel waondoka Gaza

Serikali ya Israel imetangaza kuondoa wanajeshi wake wote katika maeneo wanakotekelezea mashambulizi nje ya ukanda wa Gaza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Chad waondoka CAR

Chad imeamua kuondoa wanajeshi wake kutoka katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati ikisema kuwa wanatuhumiwa kwa kuchochea hali nchini humo

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram waondoka Gombe

Wapiganaji wa Boko Haram wa Nigeria waondoka mji waliouteka Jumamosi asubuhi - serikali yasema imewatimua

 

11 years ago

GPL

Tambwe,Kavumbagu waondoka Dar kimya

Mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe, Na Mwandishi Wetu
MSHAMBULIAJI wa Simba, Amissi Tambwe, ambaye ni mfungaji bora wa msimu uliopita wa Ligi Kuu Bara, amepanga kuondoka nchini leo Jumatatu kimyakimya kwenda jijini Nairobi nchini Kenya. Tambwe anakwenda katika kikosi cha timu yake ya taifa ya Burundi akiongozana na mshambuliaji wa Azam FC, Didier Kavumbagu.Burundi imealikwa kuivaa Kenya katika mechi ya kirafiki jijini...

 

10 years ago

GPL

UKAWA WAJITOA RASMI BUNGENI, WAONDOKA MJINI DODOMA

UMOJA wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya wananchi UKAWA leo umetangaza rasmi kususia vikao vya bunge vilivyobaki kwa madai ya kukiukwa kwa kanuni za bunge. Akitangaza msimamo huo mjini Dodoma katika mkutano na waandishi wa habari, kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni Mh. Freeman Mbowe amesema wabunge wote kutoka katika vyama vinavyounda umoja huo hawataingia tena bungeni licha ya baadhi yao kuwa hawajaadhibiwa. Umoja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani