Maelfu ya watalii waondoka Tunisia
Maelfu ya watalii wameondoka nchini Tunisia kufuatia shambulizi la siku ya Ijumaa ambapo watu 38 waliuawa wengi kutoka ulaya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Watalii wauawa Tunisia
Takriban watalii saba wa kigeni na raia mmoja wa Tunisia wameuawa baada ya wapiganaji kulenga jengo la kumbukumbu Tunisia
10 years ago
BBCSwahili10 Jul
Watalii wa Uingereza kuondoka Tunisia
Maelfu ya watalii wanajiandaa kuondoka nchini Tunisia kufuatia onyo kutoka kwa serikali ya Uingereza kwamba huenda kukatokea shambulio jingine la kigaidi.
10 years ago
BBCSwahili07 Oct
Al Shabab waondoka Barawe
Majeshi ya Somalia na Umoja wa Afrika AU yamesema yamefanikiwa kuwatimua wapiganaji wa Al Shabab.
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Wanajeshi wa Israel waondoka Gaza
Serikali ya Israel imetangaza kuondoa wanajeshi wake wote katika maeneo wanakotekelezea mashambulizi nje ya ukanda wa Gaza.
11 years ago
BBCSwahili03 Apr
Wanajeshi wa Chad waondoka CAR
Chad imeamua kuondoa wanajeshi wake kutoka katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati ikisema kuwa wanatuhumiwa kwa kuchochea hali nchini humo
10 years ago
BBCSwahili14 Feb
Boko Haram waondoka Gombe
Wapiganaji wa Boko Haram wa Nigeria waondoka mji waliouteka Jumamosi asubuhi - serikali yasema imewatimua
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CpZYIG6XjRtynEMjmfWKJondLWjTv3cTHow3cMVP6WoSgmBV7pAD5qk6OIOX5rD0rQ-n1veDzkwStodDfkyy6qM/tambwe.jpg)
Tambwe,Kavumbagu waondoka Dar kimya
Mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe, Na Mwandishi Wetu
MSHAMBULIAJI wa Simba, Amissi Tambwe, ambaye ni mfungaji bora wa msimu uliopita wa Ligi Kuu Bara, amepanga kuondoka nchini leo Jumatatu kimyakimya kwenda jijini Nairobi nchini Kenya. Tambwe anakwenda katika kikosi cha timu yake ya taifa ya Burundi akiongozana na mshambuliaji wa Azam FC, Didier Kavumbagu.Burundi imealikwa kuivaa Kenya katika mechi ya kirafiki jijini...
10 years ago
GPLUKAWA WAJITOA RASMI BUNGENI, WAONDOKA MJINI DODOMA
UMOJA wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya wananchi UKAWA leo umetangaza rasmi kususia vikao vya bunge vilivyobaki kwa madai ya kukiukwa kwa kanuni za bunge. Akitangaza msimamo huo mjini Dodoma katika mkutano na waandishi wa habari, kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni Mh. Freeman Mbowe amesema wabunge wote kutoka katika vyama vinavyounda umoja huo hawataingia tena bungeni licha ya baadhi yao kuwa hawajaadhibiwa. Umoja...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania