UKAWA WAJITOA RASMI BUNGENI, WAONDOKA MJINI DODOMA
UMOJA wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya wananchi UKAWA leo umetangaza rasmi kususia vikao vya bunge vilivyobaki kwa madai ya kukiukwa kwa kanuni za bunge. Akitangaza msimamo huo mjini Dodoma katika mkutano na waandishi wa habari, kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni Mh. Freeman Mbowe amesema wabunge wote kutoka katika vyama vinavyounda umoja huo hawataingia tena bungeni licha ya baadhi yao kuwa hawajaadhibiwa. Umoja...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzihati ya Makubaliano ya Muungano ilivyowasilishwa Bungeni Mjini Dodoma, "UKAWA" wasusia kikao
Juu na chini ni Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba ambao wanaounga mkono mfumo wa Serikali za tatu wakitoka katika Ukumbi wa Bunge leo mjini Dodoma baada ya kususia kikao.Picha na Idara ya Habari-MAELEZO
11 years ago
Dewji Blog06 May
Ridhiwani Kikwete na Godfrey Mgimwa waapishwa rasmi Bungeni mjini Dodoma leo
Mbunge wa Kalenga, Godfrey mgimwa akisindikizwa na wabunge wa CCM kuingia Bungeni mjini Dodoma Mei 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akisindikizwa na wabunge wa CCM kuingia Bungeni Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge,Anne Makinda na watendaji wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wakiimba wimbo waTaifa kabla ya shughuli za Bunge kuanza.
Mke Rais,Mama Salma Kikwete akiwa Bungeni Mjini Dodoma May 6,2014 wakati mwanae,Ridhiwani Kikwete...
10 years ago
VijimamboYALIYOJIRI BUNGENI MJINI DODOMA
10 years ago
MichuziKUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA
5 years ago
Global Publishers21 Feb
Matukio Ya Bungeni Mjini Dodoma Leo
11 years ago
MichuziKUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO
10 years ago
Vijimambo24 Jun
YALIYIJIRI BUNGENI MJINI DODOMA LEO
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Asiye na Wizara Maalum, Profesa Mark Mwandosya na Mbunge wa kigoma Mjini Peter Serukamba kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na wabunge wa Viti Maalum, Anna...
10 years ago
GPLTASWIRA KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA
10 years ago
VijimamboHABARI KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO