UKAWA WAJITOA RASMI BUNGENI, WAONDOKA MJINI DODOMA
UMOJA wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya wananchi UKAWA leo umetangaza rasmi kususia vikao vya bunge vilivyobaki kwa madai ya kukiukwa kwa kanuni za bunge. Akitangaza msimamo huo mjini Dodoma katika mkutano na waandishi wa habari, kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni Mh. Freeman Mbowe amesema wabunge wote kutoka katika vyama vinavyounda umoja huo hawataingia tena bungeni licha ya baadhi yao kuwa hawajaadhibiwa. Umoja...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzihati ya Makubaliano ya Muungano ilivyowasilishwa Bungeni Mjini Dodoma, "UKAWA" wasusia kikao

11 years ago
Dewji Blog06 May
Ridhiwani Kikwete na Godfrey Mgimwa waapishwa rasmi Bungeni mjini Dodoma leo
Mbunge wa Kalenga, Godfrey mgimwa akisindikizwa na wabunge wa CCM kuingia Bungeni mjini Dodoma Mei 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akisindikizwa na wabunge wa CCM kuingia Bungeni Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge,Anne Makinda na watendaji wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wakiimba wimbo waTaifa kabla ya shughuli za Bunge kuanza.
Mke Rais,Mama Salma Kikwete akiwa Bungeni Mjini Dodoma May 6,2014 wakati mwanae,Ridhiwani Kikwete...
10 years ago
Vijimambo
YALIYOJIRI BUNGENI MJINI DODOMA



10 years ago
Michuzi
KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA



5 years ago
Global Publishers21 Feb
Matukio Ya Bungeni Mjini Dodoma Leo


11 years ago
Michuzi.jpg)
KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO
.jpg)
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Vijimambo24 Jun
YALIYIJIRI BUNGENI MJINI DODOMA LEO




10 years ago
GPLTASWIRA KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA
10 years ago
Vijimambo
HABARI KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO



