Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WHO:Itachukua mda kukabili Ebola

Shirika la afya duniani limeonya kuwa ueneeaji wa ugonjwa wa Ebola Magharibi mwa Afrika utachukua miezi kadhaa kuudhibiti

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

UN:Itachukua mda mrefu kuangamiza Ebola

Kiongozi wa ujumbe wa ebola katika shirika la Umoja wa Mataifa amesema kuwa harakati za kukabiliana na ebola hazijafanikiwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Itachukua miezi sita kudhibiti Ebola

Mkuu wa shirika la Medicins Sans Frontieres, amesema kuwa itachukua miezi sita kuweza kudhibiti janga la Ebola Afrika Magharibi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yajipanga kukabili Ebola

SERIKALI imesema itahakikisha hakuna mwananchi atakayefariki kutokana na kukosa huduma katika vituo vya afya pindi atakapobanika kuwa na ugonjwa wa Ebola labda achelewe kufika katika vituo hivyo. Kauli hiyo ilitolewa na Naibu...

 

10 years ago

Habarileo

Tanzania imejipanga kukabili ebola

RAIS Jakaya Kikwete, amesema Tanzania imejipanga vyema kukabiliana na kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa ebola, huku akisisitiza kuwa hadi sasa hakuna mgonjwa aliyebainika kuwa na ugonjwa huo nchini. Akizungumza na wazee wa Dodoma mkoani hapo jana, Rais Kikwete alisema kwa sasa ugonjwa huo umekuwa tishio hasa kwa nchi za Afrika Magharibi, ikiwemo Guinea, Sierra Leone na Liberia na tayari wataalamu wametangaza usipodhibitiwa, huenda ukawashinda na kuwa ugonjwa hatari kama ilivyo kwa ugonjwa...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yaongeza nguvu kukabili ebola

SERIKALI imeongeza nguvu ya kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa ebola iwapo utatokea, kwa kuwapima wasafiri na wageni wanaoingia nchini kupitia viwanja vikubwa vitano vya ndege. Vipimo hivyo vitafanywa ili kubaini iwapo wana vimelea vya ugonjwa huo, kwa kutumia mashine za thermoscan zinazotarajiwa kuingia nchini wiki mbili zijazo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Nigeria yatenga fedha kukabili Ebola

Nigeria imetangaza mlipuko wa ugonjwa wa Ebola kama janga la kitaifa na kutenga dola millioni 11 kukabiliana na ugonjwa huo

 

10 years ago

Dewji Blog

Push mobile, UN , Wizara kukabili ebola

FullSizeRender

Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (katikati) na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Push Mobile, Freddie Manento (kushoto) wakitiliana saini makubaliano ya ushirikiano wa kukabiliana na ugonjwa wa ebola kwa kutoa elimu kwa jamii kupitia ujumbe mfupi maneno katika hafla fupi iliyofanyika kwenye ofisi za Mratibu mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa jijini Dar. Anayeshuhudia tukio hilo ni Mwakilishi wa...

 

10 years ago

StarTV

Obama aomba fedha kukabili Ebola.

Rais wa Marekani Barack Obama ametoa wito kwa chama cha Congress kupitisha kiasi cha dola bilion 6 kwa lengo la kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa hatari wa Ebola katika nchi za Afrika Magharibi.

Obama amesema hayo muda mfupi baada ya kutembelea taasisi ya taifa afya nchini humo,ambapo aliwapongeza madaktari na wanasayanzi kwa kazi nzuri wanayoifanya kukabiliana na ugonjwa huo.

Mazishi wagonjwa wa Ebola

Inakadiriwa kuwa takriban watu 7,000 wamekufa kutokana na ugonjwa wa Ebola katika nchi za...

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama aomba fedha kukabili Ebola

Rais wa Marekani Barack Obama ametoa wito kwa chama cha Congress kupitisha kiasi cha dola bilion 6 ili kuikabili Ebola.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani