Push mobile, UN , Wizara kukabili ebola
Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (katikati) na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Push Mobile, Freddie Manento (kushoto) wakitiliana saini makubaliano ya ushirikiano wa kukabiliana na ugonjwa wa ebola kwa kutoa elimu kwa jamii kupitia ujumbe mfupi maneno katika hafla fupi iliyofanyika kwenye ofisi za Mratibu mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa jijini Dar. Anayeshuhudia tukio hilo ni Mwakilishi wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/FullSizeRender.jpg)
PUSH MOBILE, UN , WIZARA KUKABILI EBOLA
9 years ago
Dewji Blog10 Dec
UNICEF, Government and Push Mobile Use Technology to Contain Cholera
UNICEF Tanzania’s Representative a.i., Paul Edwards and Freddie Manento, CEO of Push Mobile, sign a partnership to send life-saving information on cholera by SMS to over 10 million Tanzanian mobile users. (Credits: UNICEF Tanzania/2015/Bisin).
Today, Tanzania’s Government, UNICEF and Push Mobile, a mobile communication company providing SMS aggregation services across all the available mobile networks in Tanzania, have signed a partnership to reach over 10 million Tanzanian mobile users...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cQ-S0H1YAx0/VTTsxN7qkiI/AAAAAAAHSHM/QVNz9UbQijc/s72-c/DSCF9756.jpg)
MMG yapata ugeni toka Push Mobile leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-cQ-S0H1YAx0/VTTsxN7qkiI/AAAAAAAHSHM/QVNz9UbQijc/s1600/DSCF9756.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aUUEBmVkGEY/VQGAhLk0AVI/AAAAAAAHJ3Y/KHbvwBECPEs/s72-c/unnamed.jpg)
Kampuni ya Push Mobile Media yazindua huduma ya kurahisha mawasiliano
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Push Mobile Media, Freddie Manento alisema kuwa huduma hiyo itamwezesha mtumiaji kufikisha ujumbe muhimu kwa gharama nafuu ikiwa katika sekta mbalimbali...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FewHl6uLwhg/VEe9kKSH4RI/AAAAAAAGsrg/xxO18Gw8QDA/s72-c/unnamed.jpg)
PUSH MOBILE MEDIA LTD, PARTNERS WITH APALYA TECHNOLOGIES FOR OTT VIDEO STREAMING TECHNOLOGY
![](http://3.bp.blogspot.com/-FewHl6uLwhg/VEe9kKSH4RI/AAAAAAAGsrg/xxO18Gw8QDA/s1600/unnamed.jpg)
Dar es Salaam. Tanzania’s leading interactive mobile communications technology provider, Push Mobile has partnered with Apalya Technologies, South Asia’s leading technology platform provider to enhance mobile video and live TV streaming experience in Tanzania and...
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Wizara kukabili uhalifu mitandaoni
WIZARA ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia imeandaa miswada ya sheria za matumizi salama ya mtandao ili kukabiliana na uhalifu kwa njia ya mtandao. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/75164000/jpg/_75164762_75107417.jpg)
Medics in Sierra Leone Ebola push
10 years ago
Habarileo05 Sep
Tanzania imejipanga kukabili ebola
RAIS Jakaya Kikwete, amesema Tanzania imejipanga vyema kukabiliana na kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa ebola, huku akisisitiza kuwa hadi sasa hakuna mgonjwa aliyebainika kuwa na ugonjwa huo nchini. Akizungumza na wazee wa Dodoma mkoani hapo jana, Rais Kikwete alisema kwa sasa ugonjwa huo umekuwa tishio hasa kwa nchi za Afrika Magharibi, ikiwemo Guinea, Sierra Leone na Liberia na tayari wataalamu wametangaza usipodhibitiwa, huenda ukawashinda na kuwa ugonjwa hatari kama ilivyo kwa ugonjwa...
10 years ago
BBCSwahili23 Aug
WHO:Itachukua mda kukabili Ebola