Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wizara kukabili uhalifu mitandaoni

WIZARA ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia imeandaa miswada ya sheria za matumizi salama ya mtandao ili kukabiliana na uhalifu kwa njia ya mtandao. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Polisi kukabili uhalifu mwaka mpya

JESHI la Polisi limesema katika siku ya Sikukuu ya Mwaka mpya imejipanga katika mikoa yote nchini kuhakikisha vitendo vyote vya uhalifu vinadhibitiwa.

 

10 years ago

Habarileo

Vijana waanzisha klabu kusaidia kukabili uhalifu

VIJANA zaidi ya 100 kutoka shule za sekondari za mjini Dodoma kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi wamepaza sauti zao kupinga vitendo vya kiuhalifu.

 

10 years ago

Habarileo

Jeshi la Polisi lajipanga kukabili uhalifu Pasaka

Advera BulimbaJESHI la Polisi nchini limewataka wananchi kujiepusha na vitendo vya uhalifu na kuwa makini na mali zao wakati huu wa sikukuu ya Pasaka.

 

10 years ago

Habarileo

Polisi waomba CCTV Mji Mkongwe kukabili uhalifu

JESHI la Polisi Zanzibar limeitaka Serikali pamoja na taasisi binafsi sekta ya utalii kuangalia uwezekano wa kupatikana kwa huduma za kamera (CCTV) za kuchunguza matukio ya uhalifu katika maeneo ya Mji Mkongwe ili kupambana na vitendo hivyo ambavyo vinalipaka matope jina zuri la Zanzibar.

 

10 years ago

GPL

WIZARA YA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA KUTHIBITI UHARAMIA MITANDAONI

Katibu Mkuu Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia,  John Mngodo, akitoa ufafanuzi kwa wanahabari (hawapo pichani). Wadau na wanahabari mbalimbali wakisikiliza maelezo kutoka kwa wataalam wa wizara.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Push mobile, UN , Wizara kukabili ebola

FullSizeRender

Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (katikati) na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Push Mobile, Freddie Manento (kushoto) wakitiliana saini makubaliano ya ushirikiano wa kukabiliana na ugonjwa wa ebola kwa kutoa elimu kwa jamii kupitia ujumbe mfupi maneno katika hafla fupi iliyofanyika kwenye ofisi za Mratibu mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa jijini Dar. Anayeshuhudia tukio hilo ni Mwakilishi wa...

 

10 years ago

GPL

PUSH MOBILE, UN , WIZARA KUKABILI EBOLA‏

Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (katikati) na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Push Mobile, Freddie Manento (kushoto) wakitiliana saini makubaliano ya ushirikiano wa kukabiliana na ugonjwa wa ebola kwa kutoa elimu kwa jamii kupitia ujumbe mfupi maneno katika hafla fupi iliyofanyika kwenye ofisi za Mratibu mkazi wa mashirika ya Umoja wa...

 

10 years ago

Habarileo

Wahuni mitandaoni kubanwa

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Peter Serukamba KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imependekeza kwa Serikali iongeze adhabu ya faini kutoka Sh milioni tatu na kifungo kisichopungua miezi sita na kuwa faini ya Sh milioni tano na kifungo kisichopungua miezi sita kwa wale wote watakaotuma katika mtandao taarifa za uongo.

 

10 years ago

BBCSwahili

TZ:Vijana wanavyokomoana mitandaoni

Nchini Tanzania baadhi ya vijana wamekuta picha zao wakiwa uchi zikienezwa katika mitandao ya kijamii

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani