Vijana waanzisha klabu kusaidia kukabili uhalifu
VIJANA zaidi ya 100 kutoka shule za sekondari za mjini Dodoma kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi wamepaza sauti zao kupinga vitendo vya kiuhalifu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo29 Nov
UNESCO waanzisha programu ya utamaduni kukabili Ukimwi
MKURUGENZI Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues ametaka jamii kujumuisha suala la utamaduni katika kupambana na maambukizi mapya ya Ukimwi.
10 years ago
Dewji Blog01 Dec
UNESCO waanzisha program ya utamaduni kukabili UKIMWI
Afisa Ardhi na Mazingira wa Halmashauri ya wilaya ya Msalala (Kahama), Zablon Donge, akifungua rasmi warsha ya siku tatu ya wadau wa mapambano dhidi ya UKIMWI kwa niaba ya Mkurugenzi wa wilaya hiyo, iliyofanyika Kata ya Segese wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Kushoto kwake ni Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues pamoja na Afisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/UKIMWI kutoka UNESCO, Bw. Herman...
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Wizara kukabili uhalifu mitandaoni
WIZARA ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia imeandaa miswada ya sheria za matumizi salama ya mtandao ili kukabiliana na uhalifu kwa njia ya mtandao. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar...
9 years ago
Habarileo01 Jan
Polisi kukabili uhalifu mwaka mpya
JESHI la Polisi limesema katika siku ya Sikukuu ya Mwaka mpya imejipanga katika mikoa yote nchini kuhakikisha vitendo vyote vya uhalifu vinadhibitiwa.
10 years ago
Habarileo03 Apr
Jeshi la Polisi lajipanga kukabili uhalifu Pasaka
JESHI la Polisi nchini limewataka wananchi kujiepusha na vitendo vya uhalifu na kuwa makini na mali zao wakati huu wa sikukuu ya Pasaka.
10 years ago
Habarileo31 Dec
Polisi waomba CCTV Mji Mkongwe kukabili uhalifu
JESHI la Polisi Zanzibar limeitaka Serikali pamoja na taasisi binafsi sekta ya utalii kuangalia uwezekano wa kupatikana kwa huduma za kamera (CCTV) za kuchunguza matukio ya uhalifu katika maeneo ya Mji Mkongwe ili kupambana na vitendo hivyo ambavyo vinalipaka matope jina zuri la Zanzibar.
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Dodoma waanzisha jukwaa la vijana wasomi, wajasiriamali
9 years ago
Dewji Blog29 Sep
Vijana waanzisha Club kumuunga mkono Dkt. Magufuli
Mratibu wa Kampeni upande wa Vijana CCM kwa Mkoa wa Dar es Salaam na Vyuo Vikuu Bw. Daniel Zenda akizungumza na Zaidi ya Vijana 500 kutoka Jimbo la Mbagala wakati wa uzinduzi wa MAGUFULI Club jijini Dar es Salaam jana. MAGUFULI Club imeanzishwa kama jukwaa la kuwakutanisha vijana nchini kote wanaomuunga mkono mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Dkt. John Pombe Magufuli.
Mratibu wa MAGUFULI Club wilaya ya Temeke Bw. Peter Dafi akizungumza na vijana kutoka Jimbo la Mbagala...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XNAUpoqpZ5c/VgoMNmyqFtI/AAAAAAAH7p4/vP_BqjvfdMs/s72-c/PIX1a.jpg)
VIJANA WAANZISHA CLUB KUMUUNGA MKONO DKT. MAGUFULU
![](http://1.bp.blogspot.com/-XNAUpoqpZ5c/VgoMNmyqFtI/AAAAAAAH7p4/vP_BqjvfdMs/s640/PIX1a.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HV5YpfKyULQ/VgoMNhZVR-I/AAAAAAAH7qA/vBm3X7A4u_w/s640/PIX2.jpg)