Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TZ:Vijana wanavyokomoana mitandaoni

Nchini Tanzania baadhi ya vijana wamekuta picha zao wakiwa uchi zikienezwa katika mitandao ya kijamii

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

‘Wachafuzi mitandaoni wabanwe’

Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) kutoka vyuo vikuu, wamekitaka chama hicho kuchukua hatua za makusudi kutokana na kuanza kushamiri kwa taarifa za watu kuchafuana kupitia mitandao ya kijamii.

 

10 years ago

Mtanzania

Tujihadhari na wizi mitandaoni’

kileoNa Jamila Shemni, Dar es Salaam
SERIKALI na kampuni mbalimbali, zimeombwa kuhamasishwa ili kuwekeza zaidi katika ulinzi wa masuala ya usalama wa mitandao kama nyenzo kuu ya kuepukana na athari za uhalifu wa mitandao, kwani inarudisha nyuma mendeleo ya nchi na mataifa mengine.
Akizungumza na MTANZANIA mwishoni mwa wiki, mtaalamu wa masuala ya usalama mitandaoni, Yusuph Kileo, alisema mataifa mbalimbali duniani yameanza kujipanga kikamilifu kukabiliana na tatizo la uhalifu mitandaoni kwani...

 

10 years ago

Habarileo

Wahuni mitandaoni kubanwa

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Peter Serukamba KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imependekeza kwa Serikali iongeze adhabu ya faini kutoka Sh milioni tatu na kifungo kisichopungua miezi sita na kuwa faini ya Sh milioni tano na kifungo kisichopungua miezi sita kwa wale wote watakaotuma katika mtandao taarifa za uongo.

 

10 years ago

Mwananchi

Tutachangamkie fursa za matangazo ya mitandaoni

Matangazo kwa njia ya mtandao ni matangazo yoyote yanayotangazwa kwa njia ya mtandao kwa ajili ya wateja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Filamu ya Interview yatikisa mitandaoni

Kampuni ya Sony Picutues inasema kuwa - the interview imekuwa yenye mafanikio zaidi mitandaoni.

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli gumzo mitandaoni Kenya.

MAGUFULI+PHOTO+KochiNAIROBI, KENYA

KATIKA siku chache zilizopita, Rais   Dk. John  Magufuli amekuwa akitamba kwenye mitandao ya jamii nchini Kenya.

Habari zinasema  wananchi wengi wazalendo wameonekana kuvutiwa na uchapakazi wake ndani ya wiki kadhaa tangu aliposhika madaraka.

Dk. Magufuli ameonyesha kutekeleza  kaulimbiu yake ya ‘Hapa Kazi Tu’ ambayo sasa  inafananishwa na ile ya ‘Kusema na Kutenda’ ya Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta.

Kauli hiyo ya Kenyatta,  Wakenya wameibadilisha kuwa ‘Kusema na Kutema’...

 

9 years ago

Mtanzania

Rayuu wa mitandaoni na nyumbani ni tofauti!

8977c613656d96073d7015b7676fe2b1NA CHRISTOPHER MSEKENA

MAKUBWA! Mrembo anayetikisa kiwanda cha filamu nchini, Rahma Rayuu ‘Rayuu’ amesema maisha yake halisi na maisha anayoonyesha kwenye mitandao ya kijamii ni tofauti hivyo watu wanaodhani ndivyo alivyo wanakosea.

Akichonga na Swaggaz, Rayuu alisema kuwa amezoea kuweka mitandaoni picha zinazoonyesha mwili wake lakini kiuhalisia ni mtu mwenye maadili ambaye akiwa nyumbani huvalia hadi ushungi kujisitiri.

“Kwetu ni familia ya dini na nimekuwa kwenye mazingira hayo, kule...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mitindo yashindana ukumbini na mitandaoni

Wanablogu wa mitindo watumia video kuonyesha mitindo yao, je darubini imehama kutoka kumbi za maonyesho hadi mitandao ya kijamii?

 

10 years ago

BBCSwahili

Harakati za kuupinga ugaidi mitandaoni

Mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani umebakisha miezi miwili kuwadia,lakini kuna harakati za kuupinga ugaidi .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani