Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Harakati za kuupinga ugaidi mitandaoni

Mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani umebakisha miezi miwili kuwadia,lakini kuna harakati za kuupinga ugaidi .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Harakati kuelekea matumizi ya vitabu vya mitandaoni

Kadri matumizi ya sayansi na teknolojia yanavyoshika kasi nchini, ndivyo wadau wa teknolojia wanavyokuna vichwa kufikiria namna bora ya kurahisha maisha ya Watanzania.

 

10 years ago

GPL

MAUAJI YA POLISI 2 MKOA WA PWANI UGAIDI UGAIDI

Makongoro Oging’ na Issa Mnally
HUKU watu wakisherehekea Sikukuu ya Pasaka kwa vifijo, shangwe na nderemo, kwa familia za polisi waliouawa Vikindu wilayani Mkuranga, Pwani,  Sajenti Michael Aaron Tuheri (49) na Koplo Francis Mkinga (53) ilikuwa ni huzuni kutokana na vifo vya wapendwa wao hao. Mauaji ya polisi hayo yamewaacha ndugu na jeshi la polisi nchini katika hali ya huzuni huku yakifananishwa na yale yaliyotokea...

 

10 years ago

Mtanzania

Tujihadhari na wizi mitandaoni’

kileoNa Jamila Shemni, Dar es Salaam
SERIKALI na kampuni mbalimbali, zimeombwa kuhamasishwa ili kuwekeza zaidi katika ulinzi wa masuala ya usalama wa mitandao kama nyenzo kuu ya kuepukana na athari za uhalifu wa mitandao, kwani inarudisha nyuma mendeleo ya nchi na mataifa mengine.
Akizungumza na MTANZANIA mwishoni mwa wiki, mtaalamu wa masuala ya usalama mitandaoni, Yusuph Kileo, alisema mataifa mbalimbali duniani yameanza kujipanga kikamilifu kukabiliana na tatizo la uhalifu mitandaoni kwani...

 

10 years ago

Habarileo

Wahuni mitandaoni kubanwa

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Peter Serukamba KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imependekeza kwa Serikali iongeze adhabu ya faini kutoka Sh milioni tatu na kifungo kisichopungua miezi sita na kuwa faini ya Sh milioni tano na kifungo kisichopungua miezi sita kwa wale wote watakaotuma katika mtandao taarifa za uongo.

 

10 years ago

BBCSwahili

TZ:Vijana wanavyokomoana mitandaoni

Nchini Tanzania baadhi ya vijana wamekuta picha zao wakiwa uchi zikienezwa katika mitandao ya kijamii

 

10 years ago

Mwananchi

‘Wachafuzi mitandaoni wabanwe’

Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) kutoka vyuo vikuu, wamekitaka chama hicho kuchukua hatua za makusudi kutokana na kuanza kushamiri kwa taarifa za watu kuchafuana kupitia mitandao ya kijamii.

 

10 years ago

Mwananchi

Harakati za Kiswahili EAC

Hivi sasa katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kuna harakati za kuraghabisha maendeleo ya wananchi wa nchi za Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda na Burundi, lengo likiwa kuwashirikisha wananchi wa ngazi mbalimbali katika shughuli za uchumi, siasa, utamaduni, elimu, biashara na masuala ya kijamii.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TPSC na harakati ya kujipanua

UAMUZI wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) wa kuendelea kufungua matawi yake katika mikoa mbalimbali umepongezwa na serikali kwa kuwa utaongeza wigo na fursa kwa wananchi kujifunza taaluma...

 

10 years ago

BBCSwahili

Harakati za Man U zafifia

Harakati za Manchester United kujaribu kuwafikia Chelsea na mabingwa wa ligi hiyo Mancity zilipata pigo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani