Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Wachafuzi mitandaoni wabanwe’

Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) kutoka vyuo vikuu, wamekitaka chama hicho kuchukua hatua za makusudi kutokana na kuanza kushamiri kwa taarifa za watu kuchafuana kupitia mitandao ya kijamii.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Watakaokamata wachafuzi mazingira kulipwa

HALMASHAURI ya Manispaa ya Moshi inafanyia marekebisho sheria yake ya mazingira kwa kuhakikisha inatoa adhabu ya faini ya wastani wa Sh 10,000 na 50,000 kwa wakazi wanaochafua mazingira hususani kwa kata za pembezoni mwa mji.

 

11 years ago

Michuzi

Sitowachekea wachafuzi wa Mazingira - Dkt. Mahenge

 Na Rashda Swedi- VPOViwanda vitakavyokiuka masharti na kanuni za kulinda mazingira havina budi kufungiwa mpaka vitakapofuata taratibu na sheria za utunzaji wa Mazingira, ameseme jijini Dar es Salaam Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mzingira Mh. Dkt. Injinia Binilith Mahenge alipofanya ziara fupi ya kutembelea kiwanda cha kuzalisha mafuta (Murza Oil Mills Limited) kilichopo Vingunguti. Dkt Mahenge alisema hayo baada ya kutoridhishwa na mfumo wa maji taka ya kiwanda hicho na...

 

9 years ago

Habarileo

Wachafuzi mazingira Ilala kukamatwa Desemba 9

HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilala imesema operesheni ya kuwakamata watu wanaoharibu na kuchafua mazingira, itaanza rasmi Desemba 9, mwaka huu ili kuhakikisha manispaa hiyo inabaki salama.

 

11 years ago

Habarileo

Mama Salma: Lindi msidanganyike na wachafuzi wa amani

Mama Salma KikweteWAKAZI wa mkoa wa Lindi wametakiwa kutodanganyika na kundi la watu wachache, wanaotaka kuvuruga amani iliyopo, bali waitunze na kuhakikisha haipotei, kwani amani ikitoweka hao wanaowadanyanga, watakimbia na kuwaacha wakiteseka.

 

11 years ago

Habarileo

JK aagiza madereva wabanwe

RAIS Jakaya Kikwete ametaka vyombo vya ulinzi na usalama kutolegeza kamba katika kuchukua hatua dhidi ya madereva wasio makini na wazembe.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wabunge wabinafsi wabanwe’

WANANCHI wamelitaka Bunge kuunda sheria zitakazowafanya wabunge kuwajibika ipasavyo katika shughuli za Bunge na umma kwa ujumla kwa kuweka pembeni  maslahi binafsi. Wakizungumza na Tanzania Daima jana kuhusu tuhuma za...

 

9 years ago

Habarileo

DC ataka maofisa wezi wabanwe

MKUU wa Wilaya ya Sumbawanga, Mathew Sedoyeka amesema ubadhirifu, wizi na ufujaji wa fedha za umma unaofanywa na baadhi ya maofisa wa Serikali wasio waaminifu ni kosa la jinai na kutaka wachukuliwe hatua kali za kisheria.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wanaokiuka haki za binadamu wabanwe’

SERIKALI imetakiwa kutoona haya kuwachukulia hatua watu wanaobainika kukiuka haki za binadamu kwa wananchi kwa kujichukulia sheria mkononi. Askofu mstaafu wa Kanisa la Evanjilist Assemblies of God of Tanzania (EAGT),...

 

10 years ago

Habarileo

‘Wanaojihusisha kimapenzi na wanafunzi wao wabanwe’

BAADHI ya wajumbe wa Baraza la Watoto wametaka ziwekwe sheria kali kuwawajibisha walimu ambao wanajihusisha kimapenzi na wanafunzi wao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani