Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK aagiza madereva wabanwe

RAIS Jakaya Kikwete ametaka vyombo vya ulinzi na usalama kutolegeza kamba katika kuchukua hatua dhidi ya madereva wasio makini na wazembe.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kikwete aagiza madereva wachunguzwe

RAIS Jakaya Kikwete ameendelea kusisitiza zifanyike jitihada zaidi kusimamia kikamilifu Sheria ya Usalama Barabarani na kufuatiliwa kwa karibu kwa mienendo ya wanaoendesha vyombo vya moto.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Wachafuzi mitandaoni wabanwe’

Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) kutoka vyuo vikuu, wamekitaka chama hicho kuchukua hatua za makusudi kutokana na kuanza kushamiri kwa taarifa za watu kuchafuana kupitia mitandao ya kijamii.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wabunge wabinafsi wabanwe’

WANANCHI wamelitaka Bunge kuunda sheria zitakazowafanya wabunge kuwajibika ipasavyo katika shughuli za Bunge na umma kwa ujumla kwa kuweka pembeni  maslahi binafsi. Wakizungumza na Tanzania Daima jana kuhusu tuhuma za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wanaokiuka haki za binadamu wabanwe’

SERIKALI imetakiwa kutoona haya kuwachukulia hatua watu wanaobainika kukiuka haki za binadamu kwa wananchi kwa kujichukulia sheria mkononi. Askofu mstaafu wa Kanisa la Evanjilist Assemblies of God of Tanzania (EAGT),...

 

9 years ago

Habarileo

DC ataka maofisa wezi wabanwe

MKUU wa Wilaya ya Sumbawanga, Mathew Sedoyeka amesema ubadhirifu, wizi na ufujaji wa fedha za umma unaofanywa na baadhi ya maofisa wa Serikali wasio waaminifu ni kosa la jinai na kutaka wachukuliwe hatua kali za kisheria.

 

10 years ago

Habarileo

‘Wanaojihusisha kimapenzi na wanafunzi wao wabanwe’

BAADHI ya wajumbe wa Baraza la Watoto wametaka ziwekwe sheria kali kuwawajibisha walimu ambao wanajihusisha kimapenzi na wanafunzi wao.

 

10 years ago

Mwananchi

Makamba: Waliochota Escrow wabanwe zaidi

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba amesema watu wote waliohusika katika sakata la kuchukua Sh306 bilioni katika Akaunti ya Tegeta Escrow wachukuliwe hatua kali za kinidhamu na kisheria ili iwe fundisho kwa viongozi wengine wenye kutumia madaraka yao vibaya.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msigwa ataka wabunge, mawaziri wabanwe

MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA) ameitaka Serikali kupeleka muswada bungeni kwa ajili kutungwa sheria ya kuwabana wabunge na mawaziri ambao hawasomeshi watoto wao wala kutibiwa ndani ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Tanroads, Polisi nao wabanwe katika matukio ya ajali

Jana katika ukurasa wa kwanza wa gazeti hili kulikuwa na habari iliyosomeka ‘Uchunguzi wabaini sababu za kutokoma kwa ajali za barabarani’. 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani