Makamba: Waliochota Escrow wabanwe zaidi
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba amesema watu wote waliohusika katika sakata la kuchukua Sh306 bilioni katika Akaunti ya Tegeta Escrow wachukuliwe hatua kali za kinidhamu na kisheria ili iwe fundisho kwa viongozi wengine wenye kutumia madaraka yao vibaya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania24 Nov
Saa za waliochota Sh bil 321 IPTL zahesabika
![Abdulrahman Kinana](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Abdulrahman-Kinana.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema kila aliyehusika katika kashfa ya uchotwaji wa Sh bilioni 321 katika akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa imefunguliwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), abebe msalaba wake bila kujali cheo chake na kwamba muda wa kulindana umekwisha.
Hayo yalisemwa jana na Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye walipokuwa wakihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Ilulu...
10 years ago
Mtanzania26 Jan
Zitto: Escrow ni zaidi ya Muhongo
Fredy Azzah na Nora Damian, Dar es Salaam
SIKU moja baada ya aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, kutangaza kujiuzulu kutokana na kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 katika Akaunti ya Tegeta Escrow, Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imesema suala hilo bado ni bichi.
Pamoja na hali hiyo, PAC imesema hadi sasa Serikali imetekeleza maazimio manane ya Bunge kwa asilimia 35.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za...
10 years ago
Habarileo19 Nov
Ataka siku zaidi mjadala wa Escrow
MBUNGE wa Mtera, Livingston Lusinde (CCM), ametaka kutengwa siku zaidi ya moja za kujadili ripoti ya sakata la akaunti ya Tegeta Escrow bungeni.
10 years ago
Mwananchi04 Dec
Zitto: Yanayoendelea biashara ya sukari ni zaidi ya escrow
10 years ago
StarTV31 Dec
Hatua zaidi zatakiwa kuchukuliwa wahusika wa ESCROW.
Na Blaya Moses,
Dodoma.
Wakati baadhi ya wananchi na taasisi mbalimbali nchini zikiendelea kushinikiza uwajibishwaji wa baadhi ya viongozi waliohusika na wizi kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, umoja wa shirikisho la chuo kikuu cha Dodoma umeshauri hatua zaidi zichukuliwe dhidi ya wahusika wote kwani kuvuliwa nyadhifa zao pekee haitoshi.
Aidha shirikisho hilo limempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kuanza kuwawajibisha baadhi yao likimshauri kuendelea pia kuwashughulikia wale wote...
10 years ago
Mwananchi22 Nov
Ni gharika kwa watu zaidi ya 50 sakata la Escrow
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
‘Wabunge wabinafsi wabanwe’
WANANCHI wamelitaka Bunge kuunda sheria zitakazowafanya wabunge kuwajibika ipasavyo katika shughuli za Bunge na umma kwa ujumla kwa kuweka pembeni maslahi binafsi. Wakizungumza na Tanzania Daima jana kuhusu tuhuma za...
10 years ago
Mwananchi15 Jan
‘Wachafuzi mitandaoni wabanwe’
11 years ago
Habarileo01 Aug
JK aagiza madereva wabanwe
RAIS Jakaya Kikwete ametaka vyombo vya ulinzi na usalama kutolegeza kamba katika kuchukua hatua dhidi ya madereva wasio makini na wazembe.