Zitto: Escrow ni zaidi ya Muhongo
Fredy Azzah na Nora Damian, Dar es Salaam
SIKU moja baada ya aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, kutangaza kujiuzulu kutokana na kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 katika Akaunti ya Tegeta Escrow, Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imesema suala hilo bado ni bichi.
Pamoja na hali hiyo, PAC imesema hadi sasa Serikali imetekeleza maazimio manane ya Bunge kwa asilimia 35.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi04 Dec
Zitto: Yanayoendelea biashara ya sukari ni zaidi ya escrow
10 years ago
TheCitizen12 Jan
Escrow nightmare not over for PM, Muhongo
10 years ago
Habarileo28 Nov
Muhongo: Fedha za Escrow si za umma
SERIKALI imesema kuwa fedha zilizokuwamo katika akaunti ya Tegeta Escrow ya wanahisa wa Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), hazikuwa za umma, na ilichukua tahadhari ya kutosha dhidi ya madai mengine yanayoweza kujitokeza kabla ya kutolewa kwa fedha katika akaunti hiyo iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
10 years ago
Dewji Blog25 Jan
Sakata la ESCROW Muhongo akubali yaishe!
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo akizungumza na waandishi wa katika mkutano uliofanyika mchana huu kwenye ukumbi wa mikutano wa ofisi za Wizara hiyo, zilizopo kwenye Mtaa wa Samora, Jijini Dar es salaam.
Waziri Muhongo ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huo, kufuatia shinikizo la muda mrefu la kumtaka afanye hivyo au awajibishwe, kufuatia mapendekezo ya Bunge lililopita, lililoagiza serikali kuchukua hatua dhidi yake na wengine kadhaa kufuatia kashfa ya akaunti ya Tegeta...
10 years ago
Vijimambo25 Nov
Muhongo ahusishwa wizi nyaraka za Escrow bungeni
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Muhongo-November25-2014.jpg)
Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo, ametajwa kuwa na uhusiano wa karibu na mmoja kati ya vijana wawili wanaoshikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kuiba kutoka Ofisi ya Katibu wa Bunge ripoti ya ukaguzi wa hesabu za zaidi ya Sh. bilioni 300 zilizochotwa kifisadi kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, iliyoko Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Ukaguzi huo ulifanywa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...
10 years ago
Mwananchi27 Dec
ESCROW: Ikulu yazidi kumweka kiporo Muhongo
10 years ago
Vijimambo22 Nov
NINGEKUWA MIMI MUHONGO, KWA HILI LA ESCROW, NINGENG’ATUKA
![](http://api.ning.com/files/dM6a4AYRwJO0WWziC7ef9awx*iVnDebyc6V-WHXsUle7U6eqVNBgArksEKhGTCTKI65sut9gW87*TAKmYsr06C0EyQliCa6S/3001.KODI.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/dM6a4AYRwJOmZirhaAxIihVuqQojy*NAJRkn-zgieHx0b0Yn7BYFK0TA6jM0tqsZxb2fJiUfQOtEcpzNf1wsUdtOLkLuU9jq/5003.KODI.jpg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJO91KVwNcx-INT*-g*e87Ic*jgnnG8xy-W2kblNc3BtRmODLeBgMsKzqOnB3DhCe6WfJEorBRCUMcCxTSjisdyz/profmuhongo.jpg?width=650)
NINGEKUWA MIMI MUHONGO, KWA HILI LA ESCROW, NINGENG’ATUKA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VKfK12aD*TVx34PMBv9gHvuUHnxkqFsZwX3YfP4bHNYvvGLHy6DiP187hnF59cISX7fHdxfV6LdPodV4Dwqnz3BXYGm0mD9G/ZITOFB.jpg)
MARA BAADA YA MUHONGO KUJIUZULU NA JK KUTEUA WAPYA, ZITTO ATOA YA MAYONI!