DC ataka maofisa wezi wabanwe
MKUU wa Wilaya ya Sumbawanga, Mathew Sedoyeka amesema ubadhirifu, wizi na ufujaji wa fedha za umma unaofanywa na baadhi ya maofisa wa Serikali wasio waaminifu ni kosa la jinai na kutaka wachukuliwe hatua kali za kisheria.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
Msigwa ataka wabunge, mawaziri wabanwe
MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA) ameitaka Serikali kupeleka muswada bungeni kwa ajili kutungwa sheria ya kuwabana wabunge na mawaziri ambao hawasomeshi watoto wao wala kutibiwa ndani ya...
9 years ago
Habarileo22 Dec
Ataka kasi ya mabadiliko kwa maofisa wa jeshi TMA
MKUU wa vikosi vilivyo chini ya Makao Makuu ya Jeshi la Ulinzi wa Taifa (JWTZ), Meja Jenerali, Issa Nassoro amewataka maofisa wa jeshi katika Chuo cha Kijeshi Monduli (TMA) kuendana na kasi ya mabadiliko ya teknolojia na mawasiliano duniani kuboresha utendaji kazi wao wa kila siku.
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Unyanyasaji wa kijinsia “Tuwatume wezi wawakamate wezi wenzao”
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
WAZIRI Muhongo amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo kulipwa fidia ni wezi sawa na wezi wa maofisini wa mali za Umma
Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi na Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Mwingulu Nchemba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.Wa kwanza kulia ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Iramba Yahaya Nawanda.
Na.Nathaniel Limu-Singida
WAZIRI wa NIishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (MB), amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo ili waweze kulipwa fidia wakati hawastahili, ni wezi sawa na...
11 years ago
Habarileo01 Aug
JK aagiza madereva wabanwe
RAIS Jakaya Kikwete ametaka vyombo vya ulinzi na usalama kutolegeza kamba katika kuchukua hatua dhidi ya madereva wasio makini na wazembe.
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
‘Wabunge wabinafsi wabanwe’
WANANCHI wamelitaka Bunge kuunda sheria zitakazowafanya wabunge kuwajibika ipasavyo katika shughuli za Bunge na umma kwa ujumla kwa kuweka pembeni maslahi binafsi. Wakizungumza na Tanzania Daima jana kuhusu tuhuma za...
10 years ago
Mwananchi15 Jan
‘Wachafuzi mitandaoni wabanwe’
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
‘Wanaokiuka haki za binadamu wabanwe’
SERIKALI imetakiwa kutoona haya kuwachukulia hatua watu wanaobainika kukiuka haki za binadamu kwa wananchi kwa kujichukulia sheria mkononi. Askofu mstaafu wa Kanisa la Evanjilist Assemblies of God of Tanzania (EAGT),...
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Makamba: Waliochota Escrow wabanwe zaidi