Watakaokamata wachafuzi mazingira kulipwa
HALMASHAURI ya Manispaa ya Moshi inafanyia marekebisho sheria yake ya mazingira kwa kuhakikisha inatoa adhabu ya faini ya wastani wa Sh 10,000 na 50,000 kwa wakazi wanaochafua mazingira hususani kwa kata za pembezoni mwa mji.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-e_bMpOMDcPk/U9CvPhxLdoI/AAAAAAAF5cE/62x8wPYJXV8/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Sitowachekea wachafuzi wa Mazingira - Dkt. Mahenge
9 years ago
Habarileo05 Dec
Wachafuzi mazingira Ilala kukamatwa Desemba 9
HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilala imesema operesheni ya kuwakamata watu wanaoharibu na kuchafua mazingira, itaanza rasmi Desemba 9, mwaka huu ili kuhakikisha manispaa hiyo inabaki salama.
10 years ago
Mwananchi15 Jan
‘Wachafuzi mitandaoni wabanwe’
11 years ago
Habarileo03 Feb
Mama Salma: Lindi msidanganyike na wachafuzi wa amani
WAKAZI wa mkoa wa Lindi wametakiwa kutodanganyika na kundi la watu wachache, wanaotaka kuvuruga amani iliyopo, bali waitunze na kuhakikisha haipotei, kwani amani ikitoweka hao wanaowadanyanga, watakimbia na kuwaacha wakiteseka.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-l4urS6eddfw/U5DYZg317hI/AAAAAAAFn8c/crLGulvrkZE/s72-c/mazingira+-7.jpg)
MAADHIMISHO YA WIKI YA MAZINGIRA YATOA MSISITIZO WA USIMAMIZI WA SHERIA ZA UHIFADHI WA MAZINGIRA
![](http://2.bp.blogspot.com/-l4urS6eddfw/U5DYZg317hI/AAAAAAAFn8c/crLGulvrkZE/s1600/mazingira+-7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ldUbXye-oxQ/U5DX_2YuZhI/AAAAAAAFn7s/N7ic53UXQ10/s1600/Mazingira+-+2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YUGzmP-Rs7o/U5DYF_vOQvI/AAAAAAAFn70/kg1SCRf0e68/s1600/Mazingira+-+3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/ouOQcQcfbx8/default.jpg)
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA ILALA,RAYMOND MUSHI AWAAGIZA WATAALAMU WA MAZINGIRA KUTOA ELIMU UTUNZAJI WA MAZINGIRA KWA WANANCHI
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amewaagiza watendaji na wataalamu na wenye elimu ya utunzaji wa Mazingira kutoa elimu kuhusu utunzanzaji wa mazingira na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi kwa wananchi wote.
Akizungumza leo na Waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo,Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amesema kuwa katika maadhimisho hayo, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiki ndiye Mgeni rasmi katika maadhimisho ya Wiki ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3ScLgsDncAA/XrEeRI85lHI/AAAAAAALpL8/P39JDIUVhmE3l7c8edJwOinq7mDFmd57ACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-NA-1AA-1-1024x682.jpg)
JUNI 15, 2020 MWISHO USAJILI MIRADI YA UCHENJUAJI DHAHABU KWA AJILI YA TATHMINI YA ATHARI KWA MAZINGIRA NA UKAGUZI WA MAZINGIRA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3ScLgsDncAA/XrEeRI85lHI/AAAAAAALpL8/P39JDIUVhmE3l7c8edJwOinq7mDFmd57ACLcBGAsYHQ/s640/PICHA-NA-1AA-1-1024x682.jpg)
JUNI 15, 2020 MWISHO USAJILI WA MIRADI YA UCHENJUAJI DHAHABU (LEACHING AND ELUTION PLANTS) KWA AJILI YA TATHMINI YA ATHARI KWA MAZINGIRA (ENVIRONMENTAL IMPACT ASSESSMENT) NA UKAGUZI WA MAZINGIRA (ENVIRONMENTAL AUDIT)
Dar es Salaam, May 5, 2020.
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) linawatangazia wawekezaji wote wanaojihusisha na shughuli za uchenjuaji wa madini ya dhahabu (“vat leaching na elusion plants”) kuwa, kwa mujibu wa Sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya Mwaka...
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Waombolezaji wa Kulipwa Kenya