Wachafuzi mazingira Ilala kukamatwa Desemba 9
HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilala imesema operesheni ya kuwakamata watu wanaoharibu na kuchafua mazingira, itaanza rasmi Desemba 9, mwaka huu ili kuhakikisha manispaa hiyo inabaki salama.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo09 Dec
Watakaokamata wachafuzi mazingira kulipwa
HALMASHAURI ya Manispaa ya Moshi inafanyia marekebisho sheria yake ya mazingira kwa kuhakikisha inatoa adhabu ya faini ya wastani wa Sh 10,000 na 50,000 kwa wakazi wanaochafua mazingira hususani kwa kata za pembezoni mwa mji.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-e_bMpOMDcPk/U9CvPhxLdoI/AAAAAAAF5cE/62x8wPYJXV8/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Sitowachekea wachafuzi wa Mazingira - Dkt. Mahenge
Na Rashda Swedi- VPOViwanda vitakavyokiuka masharti na kanuni za kulinda mazingira havina budi kufungiwa mpaka vitakapofuata taratibu na sheria za utunzaji wa Mazingira, ameseme jijini Dar es Salaam Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mzingira Mh. Dkt. Injinia Binilith Mahenge alipofanya ziara fupi ya kutembelea kiwanda cha kuzalisha mafuta (Murza Oil Mills Limited) kilichopo Vingunguti. Dkt Mahenge alisema hayo baada ya kutoridhishwa na mfumo wa maji taka ya kiwanda hicho na...
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA ILALA,RAYMOND MUSHI AWAAGIZA WATAALAMU WA MAZINGIRA KUTOA ELIMU UTUNZAJI WA MAZINGIRA KWA WANANCHI
Na Avila kakingo,Globu ya Jamii.
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amewaagiza watendaji na wataalamu na wenye elimu ya utunzaji wa Mazingira kutoa elimu kuhusu utunzanzaji wa mazingira na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi kwa wananchi wote.
Akizungumza leo na Waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo,Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amesema kuwa katika maadhimisho hayo, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiki ndiye Mgeni rasmi katika maadhimisho ya Wiki ya...
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amewaagiza watendaji na wataalamu na wenye elimu ya utunzaji wa Mazingira kutoa elimu kuhusu utunzanzaji wa mazingira na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi kwa wananchi wote.
Akizungumza leo na Waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo,Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amesema kuwa katika maadhimisho hayo, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiki ndiye Mgeni rasmi katika maadhimisho ya Wiki ya...
10 years ago
GPLILALA YAONGOZA SHUGHULI ZA WIKI YA MAZINGIRA
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi (katikati), akikabidhi kikombe kwa mfanyakazi wa kampuni ya Green WastePro Ltd kwa mchango wao mkubwa katika kutunza wa mazingira. Wawakilishi wa makampuni na taasisi wakipokea vyeti na medali kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi (kushoto),…
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Ok3BgOVm308/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
DC Ilala, Orijino Komedi washiriki wiki ya Mazingira kata ya Kivukoni
9 years ago
MichuziMANISPAA YA ILALA WASHIRIKIANA NA FORUMCC KUANZISHA MFUKO WA MAZINGIRA NA MABADILIKO YA TABIANCHI.
MANISPAA ya Ilala kwa kushirikiana na ForumCC wako katika hatua za mwisho za uanzishaji wa Mfuko wa Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi ukiwa na lengo la kukusanya pesa za kukabiliana na changamoto za mazingira na mabadiliko ya tabianchi katika eneo hilo
Mkuu wa Idara ya Usafi na Mazingira Manispaa ya Ilala, Abdon Mapunda anasema baada ya kukamilisha zoezi la ukusanyaji wa maoni ya wadau wa mazingira, mfuko huo utaanza mara moja kabla ya mwaka 2015 kumalizika
Wakati Manispaa ya Ilala ikiwa...
Mkuu wa Idara ya Usafi na Mazingira Manispaa ya Ilala, Abdon Mapunda anasema baada ya kukamilisha zoezi la ukusanyaji wa maoni ya wadau wa mazingira, mfuko huo utaanza mara moja kabla ya mwaka 2015 kumalizika
Wakati Manispaa ya Ilala ikiwa...
11 years ago
GPLTBL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA USAFI WA MAZINGIRA VYA SH MIL 15 MANISPAA YA ILALA
 Meneja wa Uhusiano Mambo ya Nje wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Emma Oriyo (kushoto) akishiriki na viongozi mbalimbali kufanya usafi, Ilala, Dar es Salaam juzi, katika maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani Dar es Salaa
 Meneja wa Uhusiano Mambo ya Nje wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Emma Oriyo (kushoto) akishiriki na viongozi mbalimbali kufanya usafi, Ilala, Dar es Salaam juzi, katika ...
10 years ago
Mwananchi15 Jan
‘Wachafuzi mitandaoni wabanwe’
Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) kutoka vyuo vikuu, wamekitaka chama hicho kuchukua hatua za makusudi kutokana na kuanza kushamiri kwa taarifa za watu kuchafuana kupitia mitandao ya kijamii.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania