ILALA YAONGOZA SHUGHULI ZA WIKI YA MAZINGIRA
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi (katikati), akikabidhi kikombe kwa mfanyakazi wa kampuni ya Green WastePro Ltd kwa mchango wao mkubwa katika kutunza wa mazingira. Wawakilishi wa makampuni na taasisi wakipokea vyeti na medali kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi (kushoto),…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
DC Ilala, Orijino Komedi washiriki wiki ya Mazingira kata ya Kivukoni
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA ILALA,RAYMOND MUSHI AWAAGIZA WATAALAMU WA MAZINGIRA KUTOA ELIMU UTUNZAJI WA MAZINGIRA KWA WANANCHI
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amewaagiza watendaji na wataalamu na wenye elimu ya utunzaji wa Mazingira kutoa elimu kuhusu utunzanzaji wa mazingira na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi kwa wananchi wote.
Akizungumza leo na Waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo,Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amesema kuwa katika maadhimisho hayo, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiki ndiye Mgeni rasmi katika maadhimisho ya Wiki ya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-l4urS6eddfw/U5DYZg317hI/AAAAAAAFn8c/crLGulvrkZE/s72-c/mazingira+-7.jpg)
MAADHIMISHO YA WIKI YA MAZINGIRA YATOA MSISITIZO WA USIMAMIZI WA SHERIA ZA UHIFADHI WA MAZINGIRA
![](http://2.bp.blogspot.com/-l4urS6eddfw/U5DYZg317hI/AAAAAAAFn8c/crLGulvrkZE/s1600/mazingira+-7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ldUbXye-oxQ/U5DX_2YuZhI/AAAAAAAFn7s/N7ic53UXQ10/s1600/Mazingira+-+2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YUGzmP-Rs7o/U5DYF_vOQvI/AAAAAAAFn70/kg1SCRf0e68/s1600/Mazingira+-+3.jpg)
9 years ago
Habarileo05 Dec
Wachafuzi mazingira Ilala kukamatwa Desemba 9
HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilala imesema operesheni ya kuwakamata watu wanaoharibu na kuchafua mazingira, itaanza rasmi Desemba 9, mwaka huu ili kuhakikisha manispaa hiyo inabaki salama.
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Ok3BgOVm308/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog21 Aug
Serikali kuboresha zaidi mazingira ya kufanyia shughuli za wajasiriamali mkoani Singida
Meneja mradi wa kuwajengea uwezo wafanyabiashara wadogo,Florentina Sallah, akitoa nasaha zake kwenye ufunguzi wa mafunzo ya siku tano yanayohudhuriwa na wafanyabiashara wadogo 150 wa mkoa wa Singida.Wa kwanza kulia ni Mkuu wa mkoa wa Singida,D k.Parseko Kone na anayefuatia ni,Dk.Willhelm Ngasamiaku,mhadhiri wa uchumi idara ya uchumi chuo kikuu cha Dar-es-salaam.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GfRGzYtHJZU/VW_jb6lgQLI/AAAAAAAHb10/mQ8_IXRpPeY/s72-c/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
Mh. Samia Suluhu aendelea na ziara ya kukagua shughuli za utunzaji wa mazingira wilayani Muheza, Tanga
![](http://2.bp.blogspot.com/-GfRGzYtHJZU/VW_jb6lgQLI/AAAAAAAHb10/mQ8_IXRpPeY/s640/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-E-7OdjHoYD8/VW_jchgOdzI/AAAAAAAHb18/cbKfqTIilHU/s640/unnamed%2B%252863%2529.jpg)
9 years ago
MichuziMANISPAA YA ILALA WASHIRIKIANA NA FORUMCC KUANZISHA MFUKO WA MAZINGIRA NA MABADILIKO YA TABIANCHI.
Mkuu wa Idara ya Usafi na Mazingira Manispaa ya Ilala, Abdon Mapunda anasema baada ya kukamilisha zoezi la ukusanyaji wa maoni ya wadau wa mazingira, mfuko huo utaanza mara moja kabla ya mwaka 2015 kumalizika
Wakati Manispaa ya Ilala ikiwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WUWEN-RmHsU/U6BHkeHGkQI/AAAAAAAFrQE/uO-Mcco5l5A/s72-c/unnamed+(1).jpg)
Balozi Seif akagua shughuli za uwekezaji na hifadhi ya mazingira katika visiwa vya Bawe na Changuu
![](http://1.bp.blogspot.com/-WUWEN-RmHsU/U6BHkeHGkQI/AAAAAAAFrQE/uO-Mcco5l5A/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-We_Z_TB3gug/U6BHkVmxf0I/AAAAAAAFrQA/mEmYMktMZzk/s1600/unnamed+(2).jpg)