Tujihadhari na wizi mitandaoni’
Na Jamila Shemni, Dar es Salaam
SERIKALI na kampuni mbalimbali, zimeombwa kuhamasishwa ili kuwekeza zaidi katika ulinzi wa masuala ya usalama wa mitandao kama nyenzo kuu ya kuepukana na athari za uhalifu wa mitandao, kwani inarudisha nyuma mendeleo ya nchi na mataifa mengine.
Akizungumza na MTANZANIA mwishoni mwa wiki, mtaalamu wa masuala ya usalama mitandaoni, Yusuph Kileo, alisema mataifa mbalimbali duniani yameanza kujipanga kikamilifu kukabiliana na tatizo la uhalifu mitandaoni kwani...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Microsoft yaja na jibu la tatizo la wizi mitandaoni
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-rtK5LcxQR00/Xoz6bj0eKII/AAAAAAAAnSo/geK4ZiYWD1wT_nG5u_JKKKCYCpvF92ECACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WATANZANIA TUJIHADHARI: 'CORONA NI HATARI'
![](https://1.bp.blogspot.com/-rtK5LcxQR00/Xoz6bj0eKII/AAAAAAAAnSo/geK4ZiYWD1wT_nG5u_JKKKCYCpvF92ECACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-vhhxq4Hup_g/Xoz6bl-HG7I/AAAAAAAAnSg/T41Yxs0Enx8lzKLkc2g1mcIG7MXaAlFXQCLcBGAsYHQ/s640/1a0d931f-d70e-4207-82b1-2de835a0aedb.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ndpYgKr1Lf4/Xoz6cgi_LZI/AAAAAAAAnSs/9u4dotS-cQgAmXXwhJZfmI1i24EJOcrPQCLcBGAsYHQ/s640/4a37cbba-5717-4056-992d-bc0405978160.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-r1LNQoH4jFI/Xoz6cxmhmkI/AAAAAAAAnS0/CDqXNWz-Owkxc15_JYYFv05gXH-i8CVFgCLcBGAsYHQ/s640/9de0d88f-f06a-4341-ae62-3d92ac57cc31.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-SX1AnCpSA0U/Xoz6cy5DAHI/AAAAAAAAnSw/eeBRb2yyKd4YgtAPq5oZXwHu6XzomuNyACLcBGAsYHQ/s640/73ded59c-7755-4f25-8991-5d4ab52c2038.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Fj4SPfNNjeU/Xoz6bpuK-pI/AAAAAAAAnSk/M5dK5s0brPwgSkqGppSeVjcgjPItPgFIACLcBGAsYHQ/s640/248c9ec1-1976-415c-8a3b-c373bad85e9d.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-sQa2bMyfjt4/Xoz6dA2-3vI/AAAAAAAAnS4/dxIolC1XbFY0qTj08Wn87MDQ4wtJmSbkwCLcBGAsYHQ/s640/af9090ed-0c97-40d8-9bb9-e5a204bbce7e.jpg)
NA MWANDISHI WETU
MSANII wa muziki na ngoma za asili, Coca Satra ameamua kuingia mtaani kuhabarisha Umma kuchukua hatua na tahadhari dhidi ya janga la ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Corona (COVID19).
Satra ambaye anazunguka mtaani na ujumbe maalumu kwenye bango usomekao:
"CORONA NI HATARI
Watanzania tujihadhari" ambapo...
10 years ago
BBCSwahili01 Oct
TZ:Vijana wanavyokomoana mitandaoni
10 years ago
Mwananchi15 Jan
‘Wachafuzi mitandaoni wabanwe’
10 years ago
Habarileo02 Apr
Wahuni mitandaoni kubanwa
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imependekeza kwa Serikali iongeze adhabu ya faini kutoka Sh milioni tatu na kifungo kisichopungua miezi sita na kuwa faini ya Sh milioni tano na kifungo kisichopungua miezi sita kwa wale wote watakaotuma katika mtandao taarifa za uongo.
10 years ago
BBCSwahili29 Dec
Filamu ya Interview yatikisa mitandaoni
11 years ago
BBCSwahili08 Aug
Mitindo yashindana ukumbini na mitandaoni
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Tuachane na upuuzi wa picha za mitandaoni
NIMESHANGAZWA na kusikitishwa sana na habari iliyotanda kwa sasa nchini kuhusu picha za kipuuzi zinazotolewa kwenye mitandao ya kijamii. Picha hizo zimefikia hata kuliteka Bunge letu, wabunge wameharibu muda wa...
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Wizara kukabili uhalifu mitandaoni
WIZARA ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia imeandaa miswada ya sheria za matumizi salama ya mtandao ili kukabiliana na uhalifu kwa njia ya mtandao. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar...