Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tujihadhari na wizi mitandaoni’

kileoNa Jamila Shemni, Dar es Salaam
SERIKALI na kampuni mbalimbali, zimeombwa kuhamasishwa ili kuwekeza zaidi katika ulinzi wa masuala ya usalama wa mitandao kama nyenzo kuu ya kuepukana na athari za uhalifu wa mitandao, kwani inarudisha nyuma mendeleo ya nchi na mataifa mengine.
Akizungumza na MTANZANIA mwishoni mwa wiki, mtaalamu wa masuala ya usalama mitandaoni, Yusuph Kileo, alisema mataifa mbalimbali duniani yameanza kujipanga kikamilifu kukabiliana na tatizo la uhalifu mitandaoni kwani...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Microsoft yaja na jibu la tatizo la wizi mitandaoni

Kampuni ya Microsoft, inayojishughulisha na utengenezaji wa kompyuta pamoja na programu, imebuni mbinu mpya ya kukabiliana na wizi wa mitandaoni ambao umezisababishia hasara benki, kampuni na watu binafsi katika maeneo mengi duniani

 

5 years ago

CCM Blog

WATANZANIA TUJIHADHARI: 'CORONA NI HATARI'

 Msanii wa muziki na ngoma za Asili nchini, Coca Satra akiwa katika maeneo tofauti ya Jiji la Dar es Salaam akihamasisha jamii kuchukua hatua zaidi ya Virusi vya Corona.






NA MWANDISHI WETU

MSANII wa muziki na ngoma za asili, Coca Satra  ameamua kuingia mtaani kuhabarisha Umma kuchukua hatua na tahadhari dhidi ya janga la ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Corona (COVID19).

Satra ambaye anazunguka mtaani na ujumbe maalumu kwenye bango usomekao:

"CORONA NI HATARI
Watanzania tujihadhari" ambapo...

 

10 years ago

BBCSwahili

TZ:Vijana wanavyokomoana mitandaoni

Nchini Tanzania baadhi ya vijana wamekuta picha zao wakiwa uchi zikienezwa katika mitandao ya kijamii

 

10 years ago

Mwananchi

‘Wachafuzi mitandaoni wabanwe’

Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) kutoka vyuo vikuu, wamekitaka chama hicho kuchukua hatua za makusudi kutokana na kuanza kushamiri kwa taarifa za watu kuchafuana kupitia mitandao ya kijamii.

 

10 years ago

Habarileo

Wahuni mitandaoni kubanwa

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Peter Serukamba KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imependekeza kwa Serikali iongeze adhabu ya faini kutoka Sh milioni tatu na kifungo kisichopungua miezi sita na kuwa faini ya Sh milioni tano na kifungo kisichopungua miezi sita kwa wale wote watakaotuma katika mtandao taarifa za uongo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Filamu ya Interview yatikisa mitandaoni

Kampuni ya Sony Picutues inasema kuwa - the interview imekuwa yenye mafanikio zaidi mitandaoni.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mitindo yashindana ukumbini na mitandaoni

Wanablogu wa mitindo watumia video kuonyesha mitindo yao, je darubini imehama kutoka kumbi za maonyesho hadi mitandao ya kijamii?

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuachane na upuuzi wa picha za mitandaoni

NIMESHANGAZWA na kusikitishwa sana na habari iliyotanda kwa sasa nchini kuhusu picha za kipuuzi zinazotolewa kwenye mitandao ya kijamii. Picha hizo zimefikia hata kuliteka Bunge letu, wabunge wameharibu muda wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wizara kukabili uhalifu mitandaoni

WIZARA ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia imeandaa miswada ya sheria za matumizi salama ya mtandao ili kukabiliana na uhalifu kwa njia ya mtandao. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani