Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Microsoft yaja na jibu la tatizo la wizi mitandaoni

Kampuni ya Microsoft, inayojishughulisha na utengenezaji wa kompyuta pamoja na programu, imebuni mbinu mpya ya kukabiliana na wizi wa mitandaoni ambao umezisababishia hasara benki, kampuni na watu binafsi katika maeneo mengi duniani

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Tujihadhari na wizi mitandaoni’

kileoNa Jamila Shemni, Dar es Salaam
SERIKALI na kampuni mbalimbali, zimeombwa kuhamasishwa ili kuwekeza zaidi katika ulinzi wa masuala ya usalama wa mitandao kama nyenzo kuu ya kuepukana na athari za uhalifu wa mitandao, kwani inarudisha nyuma mendeleo ya nchi na mataifa mengine.
Akizungumza na MTANZANIA mwishoni mwa wiki, mtaalamu wa masuala ya usalama mitandaoni, Yusuph Kileo, alisema mataifa mbalimbali duniani yameanza kujipanga kikamilifu kukabiliana na tatizo la uhalifu mitandaoni kwani...

 

10 years ago

GPL

MATUSI YA MITANDAONI BADO NI TATIZO NCHINI

Salma Omar Yusuf anayedaiwa kumtusi Nadya. SUALA la matumizi ya mitandao ya kijamii katika kujielimisha, kuhabarika na kuburudika kwa sasa limegeuka na kuwa uwanja wa kutupiana matusi. Nadya Masoud Mohammed mlalamikaji. Kwa sasa watumiaji wamebadilika na kutumia mitandao ya kijamii katika kuharibu maadili ya jamii hasa ya Waafrika na kusahau malengo makuu ya kuanzishwa kwa mitandao hiyo. Mbali na taasisi mbalimbali… ...

 

10 years ago

Bongo5

Ray C: Pole kaka yangu Chidi Benz, naumia kuona tatizo ulilokuwa nalo bado haujalitafutia jibu

Baada ya Chidi Benz kukamatwa na dawa za kulevya kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini dar es salaam October 24 akielekea Mbeya (Ingia hapa), Rehema Chalamila wa taasisi ya Ray C Foundation amempa pole na kumwandikia ujumbe rapper huyo wa kutaka kumsaidia aachane na matumizi ya dawa hizo. Kupitia Instagram leo […]

 

11 years ago

GPL

SINA TATIZO NA MAWAZIRI MZIGO NINA TATIZO NA CCM

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana. MFUMO wa uongozi serikalini unanitatiza. Kama Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye na Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana wanaweza kuwaona mawaziri kadhaa kuwa ni mizigo kabla kiongozi mkuu wa nchi Rais Jakaya Kikwete ambaye ni mwenyekiti wa chama wanachokitumikia Nape na Kinana hajachukua hatua, nahisi kuna tatizo kubwa! Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama...

 

9 years ago

Mwananchi

Jibu la Waziri Mkuu

Wakati jina la Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Tano litajulikana leo baada ya Rais John Magufuli kuliwasilisha bungeni, wananchi wametoa maoni tofauti kuhusu mtu anayetakiwa kupewa nafasi hiyo ya mtendaji mkuu wa Serikali.

 

10 years ago

Michuzi

TATIZO LA RUSHWA YA NGONO BADO NI TATIZO TANZANIA.

Jaji mstaafu wa mahakama ya rufaa nchini tanzania mama EUSEBIA MUNUO  ambaye alikuwa ndiye mkufunzi katika mafunzo hayo yaliyoendeshwa leo jijini Dar es salaam  Rushwa ya ngono pamoja na matumizi mabaya ya madaraka yametajwa kuwa ni moja kati ya matatizo makubwa ambayo yamezidi kuweka mizizi nchini tanzania na kuwaadhiri wasichana wengi huku sheria ikishindwa kuweka wazi adhabu mahususi ili kuwabana wanaohusika katika swala hilo. Hayo yamesemwa leo jijini dare s salaam na Jaji...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Tatizo la kutonufaika na madini, tatizo ni viongozi si wawekezaji’

Serikali imetakiwa kusimamia rasilimali za taifa katika hali ambayo itawanufaisha wananchi wote kwani mali hizo ni za wote.

 

10 years ago

GPL

LULU ATOA JIBU KWA MKONGO

Na waandishi wetu SiKU chache baada pedeshee Mkongo, Mwami Rajabu kutangaza kuwa anamtaka staa wa sinema Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwa gharama yoyote, mwigizaji huyo ametoa jibu linaloonesha dhahiri kwamba alikuwa radhi kumkubalia. Staa wa sinema Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ Akizungumza na waandishi wetu mara baada ya habari ya Mkongo huyo kuandikwa gazetini hivi karibuni, Lulu alisema...

 

10 years ago

Tanzania Daima

UVCCM: Sekta binafsi jibu la ajira

JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) imesema  tatizo la ajira duniani linayumbisha na kuishauri serikali kuitumia sekta. binafsi kwa kufufua karakana, uanzishwaji vyuo vya ufundi na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani