Wahuni mitandaoni kubanwa
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imependekeza kwa Serikali iongeze adhabu ya faini kutoka Sh milioni tatu na kifungo kisichopungua miezi sita na kuwa faini ya Sh milioni tano na kifungo kisichopungua miezi sita kwa wale wote watakaotuma katika mtandao taarifa za uongo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili16 Feb
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Genge la wahuni linaloogopwa Nigeria
10 years ago
Mtanzania17 Feb
Polisi: Waliovamia Amboni, Tanga ni wahuni
Na Amina Omari na Oscar Assenga, TANGA
KAIMU Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Juma Ndaki, amesema watu waliopambana na askari polisi na wale wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) ni kikundi cha wahuni.
Harakati za mapambano baina ya polisi na wahalifu hao zilidumu kwa takribani saa 48, huku Mkuu wa Mkoa huo, Said Magalula akikiri kwamba wameshindwa kuwakamata watu hao.
Jana Ndaki aliwaambia waandishi wa habari kuwa, jeshi hilo linawashikilia watu kadhaa kutokana na tukio la majambazi kushambiliana na...
9 years ago
Raia Mwema21 Oct
Ni uchaguzi wa waadilifu dhidi ya genge la wahuni
KWA muda mrefu kikundi cha wahuni kilijaribu na kufanikiwa kupoka madaraka ndani ya Chama Cha Map
Mwandishi Wetu
9 years ago
Mtanzania19 Dec
Wahuni wampiga chenga Rais Magufuli
*Wamkimbia Dar kukwepa kodi , watimkia bandari za Tanga na Mtwara
NA MWANDISHI WETU
MTANDAO wa wafanyabiashara wasio waaminifu unaojihusisha na ukwepaji kodi wa bidhaa mbalimbali zinazoingizwa nchini kupitia bandari, umekimbia Dar es Salaam na kuhamishia shughuli zake kwenye mikoa ya Tanga na Mtwara.
Taarifa za uhakika zilizolifikia MTANZANIA Jumamosi zimeeleza kuwa wafanyabiashara hao na mawakala wao wameondoa maskani yao kwenye Bandari ya Dar es Salaam na kuyapeleka bandari za Tanga na...
10 years ago
Mtanzania03 Nov
Wahuni wampiga Jaji Warioba Dar
Fredy Azzah na Shabani Matutu, Dar es Salaam
MDAHALO wa kujadili Katiba inayopendekezwa ulioandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere, jana ulivunjika baada ya kutokea vurugu ambako Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, alipigwa vibao shingoni na watu wanaodaiwa kuwa wanachama wa CCM.
Hali hiyo ilijitokeza kwenye Hoteli ya Blue Pearl iliyopo Ubungo Dar es Salaam, baada ya kuvunjika mdahalo huo uliokuwa umehudhuriwa na mamia ya watu, wengi wao wakiwa ...
10 years ago
GPLMADHARA YA POMBE ZA OFA! ALEWA AZIMIA WAHUNI WAMUUZA!
10 years ago
Mwananchi25 Jan
TANZANIA NI MFANO WA JESHI LISILO LA WAUAJI, MAFISI NA WAHUNI
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Hili la migomo, wanafunzi wahuni au Serikali ina walakini?