MADHARA YA POMBE ZA OFA! ALEWA AZIMIA WAHUNI WAMUUZA!
![](http://api.ning.com:80/files/UxG8FbEp4zaNra-UMzL8Gfc9e*g5Uj2kF6XmOkuNV0D84KeRub1bWm3es8XVz-TWxksSgpgUSMGtONzUVafl3HvddIsm2gTe/BACKIJUMAA.gif?width=650)
HII kali! Jamaa mmoja ambaye jina lake halikutambulika mara moja, alikutwa amelazwa chini akiwa amelewa chapachapa, maeneo ya Mtaa wa Kongo, Kariakoo jijini Dar, huku kawekewa karatasi kifuani na wahuni ikisomeka; “for sale†(anauzwa). Kijana akiwa katika hali ya kutojitambua baada ya kupata ulabu wa Kutosha. Kwa mujibu wa chanzo makini, jamaa huyo alikuwa na mwenzie ambaye inadaiwa kuwa ni kabila moja kwenye gari...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo21 Jan
MADHARA YA POMBE KIAFYA.
1.Vidonda vya tumbo.
2.Kansa ya utumbo.
3.Kusinyaa kwa Ini.
4.Kansa ya Ini.
5.Kansa ya umio(oesophagus)
6.Vindonda kwenye mapafu.
7.Utapiamlo hasa wale wanaokunywa huku lishe duni.
8.Matatizo ya ganzi miguuni na...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/NuRISITRVTs/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Mar
NIMR Mwanza wafanya mkutano wa wadau kuhusiana na madhara ya Pombe kwa vijana
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Taasisi ya Taifa ya Utafiti ya Magonjwa ya Binadamu (NIMR) tawi la Mwanza mapema Machi 25 mwaka huu imeendesha warsha ya wadau mbalimbali kuhusiana na Madhara ya Pombe kwa vijana kufuatia utafiti uliofanywa katika maeneo kadhaa ya Tanzania, ikiwemo Mkoa wa Kilimanjaro.
Warsha hiyo iliwakutanisha wadau mbalimbali wakiwemo Madaktari, wakuu wa idara za Polisi barabarani, wakuu wa Taasisi za Afya na mashirika ya kupiga vita matumizi ya vileo na...
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/ARIANNAANGEL234Y.png)
Ofa! Ofa! Ofa! Pendeza na James Kosmetic
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QgTREgG9e-2Z7o*z5henT6YsapGXEfl2aG-r9QRYw4IViRh*KlDkCDisiEWAw5407YA4xk3WT0jzj5mDI91sS4jWTl9OEc3/ARIANNAANGEL2344.png?width=650)
OFA! OFA! OFA KUTOKA JAMES COSMETICS
10 years ago
Habarileo04 Aug
Yanga wamuuza Sherman
KLABU ya soka ya Yanga imefanikiwa kumuuza kwa mkataba wa miaka mitatu mshambuliaji wake raia wa Liberia, Kpah Sherman aliyejiunga na timu ya Mpumalanga Black Aces iliyopanda kucheza Ligi Kuu ya Afrika Kusini ya PSL msimu huu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX0H*gxuhBSqrvG10*bc17uT8E3ZSujNLtza76VN-ARSvQU*Ek0XM5Kk9FXFfDBWa-ClRQlxMV9IxMRcvm6aXcig/batuli2.jpg?width=650)
ALEWA CHAKARI, ALALA STENDI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyWG5yeFdaOt05mc8tXD45xIG3zL4e0DVcngHrHbjqdAxUG3H8Sl*vAg9DOTv-yxWQPQPsRHCMP1sM1meN3idFD8/Msaniii.jpg?width=650)
MSANII ALEWA ASHINDWA KUTEMBEA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DNRCvs-5-8H7kECU5Nzb5x6bdL87afJMfMA57Vwp9PBF83k9MPkWeA1wwNpUs2rDf7oQwlvY6mKbjBJxPA72Ht63TsVwBQmT/pombe.jpg?width=650)
BINTI WA KIARABU ALEWA, AFANYA VIOJA