Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BINTI WA KIARABU ALEWA, AFANYA VIOJA

Pombe si chai! Binti mrembo mwenye asili ya Kiarabu ambaye jina halikupatikana mara moja, amejikuta akifanya vioja baada ya kulewa chakari na kusababisha midume kumtolea udenda, Ijumaa Wikienda lilimpiga chabo. Binti huyo ambaye hakufahamika jina lake mara moja akifanya yake. Tukio hilo la aibu lilijiri kwenye onesho la Kundi la Mashauzi Classic ndani ya Ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni jijini Dar ambapo lilikuwa… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Vioja na Viroja vya Unguja

Tulikuwa tukiambiwa Unguja ni njema, atakae naaje. Kwa wale wanaoifahamu wakifika sasa hivi watakwambia ‘Unguja ni mbovu haifai hata kuikaribia’ Ule ujanja ujanja uliokuwapo kule Bara sasa umehamia Unguja. Watu wanatengeneza kila ujanja ilhali wajipatie fedha. […]

The post Vioja na Viroja vya Unguja appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wapo wanaofurahia vioja vya Maswi

ZAIDI ya mwezi sasa vyombo mbali mbali ya habari nchini vimetawaliwa na habari juu ya kuchotwa kwa fedha za Tegeta Escrow, kiasi cha sh. bilioni 200. Umekuwa ni mpambano baina...

 

11 years ago

GPL

ALEWA CHAKARI, ALALA STENDI

Vitabu vya Mungu vinataja kila kitu ni lazima kiwe na kiasi, ukizidisha basi kinachoweza kutokea ni aibu.
Jamaa mmoja ambaye jina halikupatikana mara moja, alijikuta akipata aibu ya mwaka baada ya kunywa pombe na kulewa chakari na Katika hali ya sintofahamu kijana mmoja amekutwa akiwa amelewa chakali na kulala kwenye stendi ya mwenge. kukata ‘netiweki’ jambo lililosababisha ‘aangushe gari’ pembeni...

 

9 years ago

GPL

MSANII ALEWA ASHINDWA KUTEMBEA

MAYASA MARIWATANA SHANI RAMADHANI MSANII wa filamu aliyefahamika kwa jina la Glasnost Kalinga hivi karibuni alipata aibu ya aina yake baada ya kulewa na kushindwa kutembea. Msanii huyo akisaidiwa na rafiki zake kuinuka. Msanii huyo alinaswa na kamera yetu maeneo ya Afrikasana, Sinza saa 6 usiku ambapo alionekana akiwa amelala chini huku marafiki zake wakijaribu kumkokota bila mafanikio. Akizungumnza na Ijumaa katika eneo la...

 

9 years ago

Raia Mwema

Vioja kampeni za urais kuhusu ajenda ya ufisadi

HAPO kale na kabla ya mfumo wa vyama vingi nchini, neno “ufisadi” lilikuwa halijulikani kwenye ms

Joseph Mihangwa

 

10 years ago

Mwananchi

TFF na vioja vya mikataba iliyojifunga yenyewe!

Ni kitambo kidogo tangu aliyekuwa Kocha wa Timu ya Taifa, Kim Poulsen asitishiwe mkataba wa kuifundisha timu hiyo katika mazingira yasiyoeleweka.

 

11 years ago

GPL

KAJALA ALEWA TILALILA, AGEUKA KITUKO

Stori:  IMELDA MTEMA
STAA wa sinema za nyumbani (Swahili Hood), Kajala Masanja amegeuka kituko nyumbani kwa Wema Isaac Sepetu, Kijitonyama, Dar baada ya kulewa tilalila na kuwaacha midomo wazi wasanii wenzake, Ijumaa Wikienda lina kisa na mkasa. Kajala Masanja. Kwa mujibu wa shuhuda wetu, Kajala alifanya madudu hayo mwishoni mwa wiki iliyopita alipokuwa akirekodi filamu yake inayokwenda kwa jina la Laana ambapo waigizaji...

 

10 years ago

GPL

SHILOLE ALEWA CHAKARI ASHUSWA KWENYE BOTI

Musa Mateja
DIVA wa miondoko ya mduara Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, juzikati alijikuta akilewa chakali kiasi cha kushindwa kupanda boti iliyokuwa imeandaliwa maalum kwa ajili ya kwenda kusherehekea tukio la kukatwa keki katika kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa ya msanii mwenzake, Estelina Sanga ‘Linah’, iliyofanyika Slipway, Masaki jijini Dar. Staa wa miondoko ya mduara Bongo, Zuwena Mohamed...

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND PLATNUMZ ALEWA SIFA NA KUTUKANA HADHARANI


Baada tu ya Kuchukia Tuzo ya MTV Mama Katika Kipengele cha Mtumbuizaji Bora Africa Diamond Platnumz Alipiga Picha hiyo hapo juu akiwa na Uongozi wake, Pichi hii imeleta Hisia Tofauti kwa Mashabiki wake Huku Wengine Wakisema Hiyo ni Ishara ya kutukana....... 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani