DIAMOND PLATNUMZ ALEWA SIFA NA KUTUKANA HADHARANI
Baada tu ya Kuchukia Tuzo ya MTV Mama Katika Kipengele cha Mtumbuizaji Bora Africa Diamond Platnumz Alipiga Picha hiyo hapo juu akiwa na Uongozi wake, Pichi hii imeleta Hisia Tofauti kwa Mashabiki wake Huku Wengine Wakisema Hiyo ni Ishara ya kutukana.......
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo530 Nov
Zari akiri hadharani jinsi anavyompenda ‘mume’ wake Diamond
Mapenzi ya Diamond Platnumz na Zari The Boss Lady yanaonekana kuwa imara kadri siku zinavyokwenda, kutokana na jinsi mastaa hao wanavyozidi kuudhihirishia ulimwengu jinsi wanavyopendana.
Baada ya kumpata mtoto wao wa kwanza pamoja Princess Tiffah, couple hiyo imeendelea kushare na ulimwengu kupitia mitandao ya kijamii jinsi wanavyojiandaa kuja kuungana kuwa kitu kimoja hapo baadaye.
Licha ya kupost picha nyingi zinazodhihirisha upendo wao, Zari ambaye ni mama wa watato wanne hakusita...
10 years ago
Vijimambo10 years ago
Mwananchi02 Feb
Rais Kikwete ammwagia sifa kibao Diamond Platinumz
10 years ago
Bongo524 Nov
Diamond awapoteza P-Square, Waje ammwagia sifa kibao!
10 years ago
GPLDIAMOND PLATNUMZ KAZINI
10 years ago
Africanjam.ComDIAMOND PLATNUMZ PROFILE
Nasibu Abdul Juma (born 2 October 1989), popularly known by his stage name Diamond Platnumz (or simply Diamond), is a Bongo Flava recording artist and singer from Tanzania. He is best known for his hit song "Number One". Diamond has won numerous awards at Channel O and the Prestigious HiPipo Music Awards. He performed at
the Big Brother Africa 7 eviction show in May 2012. Diamond is considered influential among his fans, and is said to be the most loved and decorated Tanzanian artist at the...