Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIAMOND PLATNUMZ ALEWA SIFA NA KUTUKANA HADHARANI


Baada tu ya Kuchukia Tuzo ya MTV Mama Katika Kipengele cha Mtumbuizaji Bora Africa Diamond Platnumz Alipiga Picha hiyo hapo juu akiwa na Uongozi wake, Pichi hii imeleta Hisia Tofauti kwa Mashabiki wake Huku Wengine Wakisema Hiyo ni Ishara ya kutukana....... 

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Zari akiri hadharani jinsi anavyompenda ‘mume’ wake Diamond

zarimond-1

Mapenzi ya Diamond Platnumz na Zari The Boss Lady yanaonekana kuwa imara kadri siku zinavyokwenda, kutokana na jinsi mastaa hao wanavyozidi kuudhihirishia ulimwengu jinsi wanavyopendana.

zarimond-1

Baada ya kumpata mtoto wao wa kwanza pamoja Princess Tiffah, couple hiyo imeendelea kushare na ulimwengu kupitia mitandao ya kijamii jinsi wanavyojiandaa kuja kuungana kuwa kitu kimoja hapo baadaye.

zarimond-2

Licha ya kupost picha nyingi zinazodhihirisha upendo wao, Zari ambaye ni mama wa watato wanne hakusita...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete ammwagia sifa kibao Diamond Platinumz

Mwanamuziki, Nassib Abdul ‘Diamond Platinumz’ jana aliziteka nyoyo za wanachama na wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika maadhimisho ya miaka 38 ya kuanzishwa kwa chama hicho yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Majimaji, Songea.

 

10 years ago

Bongo5

Diamond awapoteza P-Square, Waje ammwagia sifa kibao!

Diamond Platnumz yupo kwenye ligi nyingine kabisa sasa hivi. Staa huyo amewapiku mapacha wanaopendwa zaidi barani Afrika kwa views za video yao mpya ‘Shekini’. Video ya mapacha hao iliyowekwa November 17, hadi sasa ina views 326,669 (zinazoongezeka) na wakati video ya ‘Ntampata Wapi’ ya Diamond iliyowekwa November 20 ikiwa na views 419,935 (zinaongezeka). Shekini hadi […]

 

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATNUMZ KAZINI

MWANAMUZIKI Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' na vijana wake wakifanya maandalizi kwa ajili ya shoo yao ya kesho Januari 8, 2015 jijini Lagos, Nigeria kwenye hafla ya utoaji Tuzo za Mwanasoka Bora wa Afrika 2014.

 

10 years ago

Africanjam.Com

DIAMOND PLATNUMZ PROFILE


Nasibu Abdul Juma (born 2 October 1989), popularly known by his stage name Diamond Platnumz (or simply Diamond), is a Bongo Flava recording artist and singer from Tanzania. He is best known for his hit song "Number One". Diamond has won numerous awards at Channel O and the Prestigious HiPipo Music Awards. He performed at
the Big Brother Africa 7 eviction show in May 2012. Diamond is considered influential among his fans, and is said to be the most loved and decorated Tanzanian artist at the...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani