Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MADHARA YA POMBE KIAFYA.

HAYA NI BAADHI TU YA MADHARA YA POMBE KIFYA.ACHA KUNYWA POMBE UIMARISHE AFYA YAKO.Pombe za aina zote zina kemikali ambazo baadhi ya hizo kemikali huwa ni sumu mwilini,hivyo kuacha athari ya kiafya kwa mtumiaji.Pombe inaweza ikamdhuru mtumiaji kwa kumsababishia madhara yafuatayo:
1.Vidonda vya tumbo.
2.Kansa ya utumbo.
3.Kusinyaa kwa Ini.
4.Kansa ya Ini.
5.Kansa ya umio(oesophagus)
6.Vindonda kwenye mapafu.
7.Utapiamlo hasa wale wanaokunywa huku lishe duni.
8.Matatizo ya ganzi miguuni na...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

PIRAMIDI YA AFYA: Kurefusha uume na madhara yake kiafya

Leo tutaona njia maarufu ambazo zipo katika matangazo mbalimbali ikiwamo magazeti, mabango ya matabibu wa kienyeji, mitandaoni pamoja na zile zilizoshindwa kukidhi vigezo vya kutumika na kuingizwa katika miongozo ya matibabu ya Shirika la Afya Duniani (WHO).

 

10 years ago

GPL

MADHARA YA POMBE ZA OFA! ALEWA AZIMIA WAHUNI WAMUUZA!

HII kali! Jamaa mmoja ambaye jina lake halikutambulika mara moja, alikutwa amelazwa chini akiwa amelewa chapachapa, maeneo ya Mtaa wa Kongo, Kariakoo jijini Dar, huku kawekewa karatasi kifuani na wahuni ikisomeka; “for sale” (anauzwa). Kijana akiwa katika hali ya kutojitambua baada ya kupata ulabu wa Kutosha. Kwa mujibu wa chanzo makini, jamaa huyo alikuwa na mwenzie ambaye inadaiwa kuwa ni kabila moja kwenye gari...

 

10 years ago

Dewji Blog

NIMR Mwanza wafanya mkutano wa wadau kuhusiana na madhara ya Pombe kwa vijana

tafiti

 

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Taasisi ya  Taifa ya Utafiti ya Magonjwa ya Binadamu (NIMR)  tawi la Mwanza mapema  Machi 25 mwaka huu imeendesha warsha ya wadau mbalimbali kuhusiana na Madhara ya Pombe kwa vijana kufuatia utafiti uliofanywa katika maeneo kadhaa ya Tanzania, ikiwemo Mkoa wa Kilimanjaro.

Warsha hiyo iliwakutanisha wadau mbalimbali wakiwemo Madaktari,  wakuu wa idara za Polisi barabarani, wakuu wa Taasisi za Afya na mashirika ya kupiga vita matumizi ya vileo na...

 

10 years ago

Raia Mwema

11 years ago

Mwananchi

Faida nyingi za uyoga kiafya

Uyoga ni miongoni mwa vyakula adimu sana duniani. Lakini ni miongoni mwa vyakula vyanye virutubisho muhimu sana kiafya tofauti na watu wengi wanavyodani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Athari za kiafya migodini Tanzania

Wiki Hii katika Haba na Haba tunaangalia athari za kiafya zinazowakuta wananchi kutokana na shughuli za uchimbaji wa madini.

 

10 years ago

Mwananchi

Faida za kiafya za kula ndizi

Utafiti uliofanywa umeonyesha kuwa kula ndizi mbili zilizoiva kwa siku utaweza kufanya kazi za nguvu kwa dakika 90 mfululizo au kuwawezesha wanariadha kukimbia mbio fupi na ndefu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuliangalie kundi hili kiafya

BAADHI ya watu wenye ulemavu wamekuwa wakikabiliwa na changamoto nyingi katika maisha yao. Hivi karibuni  Mtandao wa Jinsia Tanzania(TGNP), uliandaa warsha iliyoshirikisha asasi zaidi ya 70 na kujadiliana uboreshaji wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani