Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tuliangalie kundi hili kiafya

BAADHI ya watu wenye ulemavu wamekuwa wakikabiliwa na changamoto nyingi katika maisha yao. Hivi karibuni  Mtandao wa Jinsia Tanzania(TGNP), uliandaa warsha iliyoshirikisha asasi zaidi ya 70 na kujadiliana uboreshaji wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Navy Kenzo wafanya collabo na kundi hili la Ghana

Navy Kenzo na R2bees

Kundi la Navy Kenzo linaloundwa na producer na muimbaji Nahreel pamoja na girlfriend wake Aika wako nchini Afrika Kusini, walikoenda kutumbuiza kwenye tamasha la African Music Concert (AMC 2015).

Navy Kenzo na R2bees

Baada ya tamasha hilo lililofanyika Jumamosi Nov. 21 jijini Johannesburg, na kuwakutanisha wasanii mbalimbali wa Afrika kwenye jukwaa moja kama Davido, Wizkid, Vanessa Mdee, Victoria Kimani na wengine, hit makers wa ‘Game’, Navy Kenzo walipata fursa ya kuingia studio kurekodi collabo na kundi la...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wajumbe Kundi la 201 watoa tamko dhidi ya wanaolichafua Bunge Maalum la Katiba na Wajumbe wa kundi hilo

PIX 1

Askofu Amos Muhagachi akitoa tamko juu ya tuhuma mbalimbali dhidi ya kundi la 201 la wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba jana 03 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa Spika, Mjini Dodoma.

Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.

WAWAKILISHI wa Taasisi za dini wa Bunge Maalum la Katiba toka wajumbe 201 wametoa tamko lao dhidi ya tuhuma mbalimbali zinazoendelea katika kulichafua Bunge hilo ikiwemo baadhi ya wajumbe wa kundi hilo wakituhumiwa kudaiwa kupewa rushwa.

Tamko hilo limetolewa jana 03 Septemba,...

 

10 years ago

Vijimambo

MADHARA YA POMBE KIAFYA.

HAYA NI BAADHI TU YA MADHARA YA POMBE KIFYA.ACHA KUNYWA POMBE UIMARISHE AFYA YAKO.Pombe za aina zote zina kemikali ambazo baadhi ya hizo kemikali huwa ni sumu mwilini,hivyo kuacha athari ya kiafya kwa mtumiaji.Pombe inaweza ikamdhuru mtumiaji kwa kumsababishia madhara yafuatayo:
1.Vidonda vya tumbo.
2.Kansa ya utumbo.
3.Kusinyaa kwa Ini.
4.Kansa ya Ini.
5.Kansa ya umio(oesophagus)
6.Vindonda kwenye mapafu.
7.Utapiamlo hasa wale wanaokunywa huku lishe duni.
8.Matatizo ya ganzi miguuni na...

 

11 years ago

Mwananchi

Faida nyingi za uyoga kiafya

Uyoga ni miongoni mwa vyakula adimu sana duniani. Lakini ni miongoni mwa vyakula vyanye virutubisho muhimu sana kiafya tofauti na watu wengi wanavyodani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Athari za kiafya migodini Tanzania

Wiki Hii katika Haba na Haba tunaangalia athari za kiafya zinazowakuta wananchi kutokana na shughuli za uchimbaji wa madini.

 

10 years ago

Mwananchi

Faida za kiafya za kula ndizi

Utafiti uliofanywa umeonyesha kuwa kula ndizi mbili zilizoiva kwa siku utaweza kufanya kazi za nguvu kwa dakika 90 mfululizo au kuwawezesha wanariadha kukimbia mbio fupi na ndefu.

 

11 years ago

Mwananchi

Siri za kiafya za kuishi maisha marefu

Aghalabu maisha ya mwanadamu yeyote yule yapo mikononi mwa muumba wake, ambaye hujua lini muda wa kuishi wa kiumbe wake utakwisha. Lakini mtindo wa maisha yetu usiojali kanuni za afya, umeonyesha kuwa ndicho chanzo cha watu wengi kuishi maisha mafupi.

 

9 years ago

Mwananchi

Utoaji mimba na athari zake kiafya

Utoaji wa mimba kwa njia isiyo salama umechangia kuongezeka kwa tatizo la ugumba na vifo vya watoto chini ya miaka mitano nchini Tanzania.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kunenepa ni tishio la kiafya kwa wanawake UK

Kunenepa ni tishio kubwa kwa afya ya wanawake pamoja na ile ya vizazi vijavyo, ameonya Afisa mkuu wa matibabu nchini Uingereza Dame Sally Davies.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani