Tuliangalie kundi hili kiafya
BAADHI ya watu wenye ulemavu wamekuwa wakikabiliwa na changamoto nyingi katika maisha yao. Hivi karibuni Mtandao wa Jinsia Tanzania(TGNP), uliandaa warsha iliyoshirikisha asasi zaidi ya 70 na kujadiliana uboreshaji wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo523 Nov
Navy Kenzo wafanya collabo na kundi hili la Ghana
![Navy Kenzo na R2bees](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Navy-Kenzo-na-R2bees-300x194.jpg)
Kundi la Navy Kenzo linaloundwa na producer na muimbaji Nahreel pamoja na girlfriend wake Aika wako nchini Afrika Kusini, walikoenda kutumbuiza kwenye tamasha la African Music Concert (AMC 2015).
Baada ya tamasha hilo lililofanyika Jumamosi Nov. 21 jijini Johannesburg, na kuwakutanisha wasanii mbalimbali wa Afrika kwenye jukwaa moja kama Davido, Wizkid, Vanessa Mdee, Victoria Kimani na wengine, hit makers wa ‘Game’, Navy Kenzo walipata fursa ya kuingia studio kurekodi collabo na kundi la...
10 years ago
Dewji Blog04 Sep
Wajumbe Kundi la 201 watoa tamko dhidi ya wanaolichafua Bunge Maalum la Katiba na Wajumbe wa kundi hilo
Askofu Amos Muhagachi akitoa tamko juu ya tuhuma mbalimbali dhidi ya kundi la 201 la wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba jana 03 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa Spika, Mjini Dodoma.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.
WAWAKILISHI wa Taasisi za dini wa Bunge Maalum la Katiba toka wajumbe 201 wametoa tamko lao dhidi ya tuhuma mbalimbali zinazoendelea katika kulichafua Bunge hilo ikiwemo baadhi ya wajumbe wa kundi hilo wakituhumiwa kudaiwa kupewa rushwa.
Tamko hilo limetolewa jana 03 Septemba,...
10 years ago
Vijimambo21 Jan
MADHARA YA POMBE KIAFYA.
1.Vidonda vya tumbo.
2.Kansa ya utumbo.
3.Kusinyaa kwa Ini.
4.Kansa ya Ini.
5.Kansa ya umio(oesophagus)
6.Vindonda kwenye mapafu.
7.Utapiamlo hasa wale wanaokunywa huku lishe duni.
8.Matatizo ya ganzi miguuni na...
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Faida nyingi za uyoga kiafya
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Athari za kiafya migodini Tanzania
10 years ago
Mwananchi10 Oct
Faida za kiafya za kula ndizi
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Siri za kiafya za kuishi maisha marefu
9 years ago
Mwananchi13 Nov
Utoaji mimba na athari zake kiafya
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Kunenepa ni tishio la kiafya kwa wanawake UK