Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Faida za kiafya za kula ndizi

Utafiti uliofanywa umeonyesha kuwa kula ndizi mbili zilizoiva kwa siku utaweza kufanya kazi za nguvu kwa dakika 90 mfululizo au kuwawezesha wanariadha kukimbia mbio fupi na ndefu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Faida nyingi za uyoga kiafya

Uyoga ni miongoni mwa vyakula adimu sana duniani. Lakini ni miongoni mwa vyakula vyanye virutubisho muhimu sana kiafya tofauti na watu wengi wanavyodani.

 

11 years ago

GPL

NI MSIMU WA PAPAI, ZIJUE FAIDA ZAKE KIAFYA

PAPAI, tunda lenye ladha nzuri kama sukari, siyo tu ni tamu kulila, lakini ni chanzo kikuu cha virutubisho vinavyotoa kinga ya mwili dhidi ya magonjwa mbalimbali ya mwili, yakiwemo yale hatari ambayo huchukua maisha ya watu kila kukicha. Huu ni msimu wake kwa ukanda wa Pwani, ni vizuri ukayala kwa wingi. Kinga dhidi ya magonjwa ya moyo
Utaona kwamba maradhi ya moyo yana kinga karibu katika kila tunda au chakula cha asili....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maajabu ya ndizi mbivu

INAVUTIA, baada ya kuisoma makala hii, hautaiangalia ndizi katika mtazamo wa awali. Ndizi mbivu zina aina tatu ya sukari ambazo ni sucrose, fructose na glucose pamoja Fibre (nyuzilishe). Ndizi zinakupa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kampuni kubwa ya Ndizi yazinduliwa

Kampuni hiyo mpya itajulikana kama ChiquitaFyffes na inatarajiwa kuuza kati ya maboxi milioni 160 ya Ndizi kila mwaka

 

11 years ago

BBCSwahili

Aliyemtupia Ndizi Alves akamatwa

Polisi nchini Uhispania, wamemkamata shabiki aliyemtupia Dani Alves Ndizi siku ya Jumapili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Alama ya ulaji ndizi yamponza Tavecchio

Shirikisho linalo simamia mpira wa soka ulaya,UEFA linania ya kumchunguza rais wa soka wa Italia Carlo Tavecchio

 

5 years ago

BBCSwahili

Ugonjwa hatari utakaomaliza mmea wa ndizi.

Wanasayansi kote duniani wanashughulikia mbinu za kuzuia ndizi kupotea dunianai kufwatia ugonjwa wa Panama.

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA 'YABEBESHWA MKUNGU WA NDIZI' KAITABA BUKOBA

 MASHABIKI WAINGILIA KATI CANAVARO KULIMWA RED, MWAMUZI AONDOKA CHINI YA ULINZIMSHAMBULIAJI Paul Ngway, leo ameiwezesha timu yake ya Kagera Sugar, kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu yaa Tanzania Bara, uliopigwa kwenye Uwanja wa kaitaba mjini Bukoba. Bao hilo pekee lilipatikana katika dakika ya 52.
Yanga SC ilimaliza mchezo huo huku wakiwa pungufu, baada ya Nahodha wake, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 80 na mwamuzi Abdallah...

 

9 years ago

BBCSwahili

Je,ulaji wa zaidi ya ndizi 6 kwa mpigo unauwa?

Mara nyingine husemekana kwamba ulaji wa ndizi nyingi kupita kiasi kwa mpigo unaweza kuhataraisha maisha yako.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani