Faida za kiafya za kula ndizi
Utafiti uliofanywa umeonyesha kuwa kula ndizi mbili zilizoiva kwa siku utaweza kufanya kazi za nguvu kwa dakika 90 mfululizo au kuwawezesha wanariadha kukimbia mbio fupi na ndefu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Faida nyingi za uyoga kiafya
Uyoga ni miongoni mwa vyakula adimu sana duniani. Lakini ni miongoni mwa vyakula vyanye virutubisho muhimu sana kiafya tofauti na watu wengi wanavyodani.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIkPT436*Rhv3eWzKxC5fdOICt141WthFgdLqvrFlKtfG*52cdPyPTCkwBk0jknDhKTAisJNsI1jurT*u1BymVlX/papai.jpg)
NI MSIMU WA PAPAI, ZIJUE FAIDA ZAKE KIAFYA
PAPAI, tunda lenye ladha nzuri kama sukari, siyo tu ni tamu kulila, lakini ni chanzo kikuu cha virutubisho vinavyotoa kinga ya mwili dhidi ya magonjwa mbalimbali ya mwili, yakiwemo yale hatari ambayo huchukua maisha ya watu kila kukicha. Huu ni msimu wake kwa ukanda wa Pwani, ni vizuri ukayala kwa wingi. Kinga dhidi ya magonjwa ya moyo
Utaona kwamba maradhi ya moyo yana kinga karibu katika kila tunda au chakula cha asili....
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Maajabu ya ndizi mbivu
INAVUTIA, baada ya kuisoma makala hii, hautaiangalia ndizi katika mtazamo wa awali. Ndizi mbivu zina aina tatu ya sukari ambazo ni sucrose, fructose na glucose pamoja Fibre (nyuzilishe). Ndizi zinakupa...
11 years ago
BBCSwahili10 Mar
Kampuni kubwa ya Ndizi yazinduliwa
Kampuni hiyo mpya itajulikana kama ChiquitaFyffes na inatarajiwa kuuza kati ya maboxi milioni 160 ya Ndizi kila mwaka
11 years ago
BBCSwahili01 May
Aliyemtupia Ndizi Alves akamatwa
Polisi nchini Uhispania, wamemkamata shabiki aliyemtupia Dani Alves Ndizi siku ya Jumapili.
10 years ago
BBCSwahili21 Aug
Alama ya ulaji ndizi yamponza Tavecchio
Shirikisho linalo simamia mpira wa soka ulaya,UEFA linania ya kumchunguza rais wa soka wa Italia Carlo Tavecchio
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Ugonjwa hatari utakaomaliza mmea wa ndizi.
Wanasayansi kote duniani wanashughulikia mbinu za kuzuia ndizi kupotea dunianai kufwatia ugonjwa wa Panama.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-6rrkNUm9klY/VFUnfAK5SCI/AAAAAAACSW4/zlCbv9IdWHg/s72-c/JUKWAA%2BLA%2BYANGA%2BPIX%2BNO%2B1.jpg)
YANGA 'YABEBESHWA MKUNGU WA NDIZI' KAITABA BUKOBA
MASHABIKI WAINGILIA KATI CANAVARO KULIMWA RED, MWAMUZI AONDOKA CHINI YA ULINZI
MSHAMBULIAJI Paul Ngway, leo ameiwezesha timu yake ya Kagera Sugar, kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu yaa Tanzania Bara, uliopigwa kwenye Uwanja wa kaitaba mjini Bukoba. Bao hilo pekee lilipatikana katika dakika ya 52.
Yanga SC ilimaliza mchezo huo huku wakiwa pungufu, baada ya Nahodha wake, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 80 na mwamuzi Abdallah...
![](http://1.bp.blogspot.com/-6rrkNUm9klY/VFUnfAK5SCI/AAAAAAACSW4/zlCbv9IdWHg/s640/JUKWAA%2BLA%2BYANGA%2BPIX%2BNO%2B1.jpg)
Yanga SC ilimaliza mchezo huo huku wakiwa pungufu, baada ya Nahodha wake, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 80 na mwamuzi Abdallah...
9 years ago
BBCSwahili13 Sep
Je,ulaji wa zaidi ya ndizi 6 kwa mpigo unauwa?
Mara nyingine husemekana kwamba ulaji wa ndizi nyingi kupita kiasi kwa mpigo unaweza kuhataraisha maisha yako.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania