Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANZANIA NI MFANO WA JESHI LISILO LA WAUAJI, MAFISI NA WAHUNI

Nilikuwa nikisoma habari za majeshi duniani. Kila nchi imechambuliwa na kuorodheshwa. Idadi ya askari; wangapi wanaume, wangapi wanawake;  fedha zinazotumika, silaha zinakotoka, nk. Habari nzito. Zimekusanywa na wenyewe hawa Wazungu wakiongozwa na Shirika la Upelelezi  Marekani (CIA). 

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SHULE 30 ZAUNGANISHWA NA SHIRIKA LA KIMATAIFA LISILO LA KISERIKALI LA ACTIVISTA TANZANIA PAMOJA NA ACTION AID KUWEZA KUWAFAHAMISHA KUHUSU NGUVU YA KODI KWA VIJANA

Mgeni rasmi,Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Bw. Leornad Thadeo  akifungua bonanza la NGUVU YA KODI lililofanyika katika Viwanja vya chuo cha ustawi wa jamii katika siku ya kumbukumbu ya kuadhimisha miaka kumi na tano (15) tangu hayati  baba wa taifa Mwalimu Julius K Nyerere alipofariki  Dunia  Jijini Dar es Salaam. Tamasha hilo limemkumbuka Baba wa Taifa kwa kutoa Elimu na maelezo ya kutosha juu ya Kodi na Nguvu yake katika kuchangia maendeleo ya Taifa letu na Kukuza uchumi.

 

9 years ago

Mwananchi

Mafisi mbaroni Dar

Wiki moja baada ya Rais John Magufuli kutangaza vita dhidi ya wauza dawa za kulevya huku akiomba wananchi kumuombea, Polisi wanamshikilia mtu mmoja kwa madai ya kujihusisha na biashara hiyo.

 

10 years ago

GPL

MADENTI MNAJILINDA, SISI MAANKO NI MAFISI!

Mambo aje maanko? Poleni sana kwa wale wa kidato cha nne ambao mmetoka kumaliza mitihani yenu, mnasikilizia matokeo hapo mwakani kama vipi, wale waliofanya vizuri waendelee na elimu ya juu zaidi. Nina uhakika wengi watafaulu kwa sababu walitumia muda wao mwingi katika kuhakikisha wanapiga kitabu kama hawana akili nzuri, enzi zetu tuliwaita akina John Kisomo! Tunakumbuka mara ya mwisho tulivyowasiliana, tulizungumza kuhusu mambo...

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania yateuliwa kuwa eneo la mfano

Tanzania imeteuliwa kuwa miongoni mwa nchi sita duniani ambazo zitatumika kama eneo la mfano katika mpango mkakati ambao una lengo la kujadili na kupanua wigo wa vita dhidi ya malaria.

 

10 years ago

Michuzi

AMIRI JESHI MKUU NA RAIS WA TANZANIA DKT. JAKAYA KIKWETE AZINDUA MELI VITA ZA JESHI LA WANAMAJI


1Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa amri kuzindua rasmi meli vita mbili za doria bahari kuu TNS Msoga na TNS Mwitongo kwenye sherehe zilizofanyika Kamandi ya Jeshi la Maji Kigamboni jijini Dar es salaam leo April 28, 20152Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua mara baada ya kuzindua rasmi meli vita mbili za doria bahari kuu TNS Msoga na TNS Mwitongo kwenye sherehe zilizofanyika Kamandi ya Jeshi la Maji Kigamboni jijini Dar es salaam leo April 28, 201534Amiri Jeshi...

 

9 years ago

Michuzi

JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA LAANDAA SHEREHE ZA KUMUAGA AMIRI JESHI MKUU MHE. DKT KIKWETE

JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA

KURUGENZI YA HABARI NA UHUSIANO


Simu ya Upepo   : “N G O M E”        Makao Makuu ya Jeshi,

Simu ya Mdomo : DSM  22150463     Sanduku la Posta 9203,

Telex                     : 41051                      DAR ES SALAAM,  31 Agosti, 2015,

Tele Fax                : 2153426

Barua pepe               : ulinzimagazine@yahoo.co.uk

Tovuti                  : www.tpdf.mil.tz

                    


     Taarifa kwa Vyombo vya Habari          Vyombo vya Ulinzi na Usalama...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Muungano wa Tanzania mfano kwa nchi za EAC’

>Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliozaa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umeelezwa kuwa mfano halisi unaothibitisha uwezekano wa kuanzishwa na kudumu kwa Shirikisho la Afrika Mashariki (EAC).

 

11 years ago

GPL

GONJWA LISILO NA TIBA YA UHAKIKA...

Stori: waanDISHI WETU
Hatari! Ugonjwa usio na tiba ya uhakika unaojulikana kwa jina la Homa ya Dengu (Dangue Fever) umeibuka kuwa miongoni mwa magonjwa hatari kwa sasa nchini huku wataalam wakidai hauna tiba ya moja kwa moja na unaua maelfu ya watu. Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Seif Rashid. Taarifa zimeenea kuwa wagonjwa wengi wenye ugonjwa huo wapo kwenye hospitali mbalimbali za jijini Dar na kuna baadhi ya wauguzi nao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani