Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GONJWA LISILO NA TIBA YA UHAKIKA...

Stori: waanDISHI WETU
Hatari! Ugonjwa usio na tiba ya uhakika unaojulikana kwa jina la Homa ya Dengu (Dangue Fever) umeibuka kuwa miongoni mwa magonjwa hatari kwa sasa nchini huku wataalam wakidai hauna tiba ya moja kwa moja na unaua maelfu ya watu. Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Seif Rashid. Taarifa zimeenea kuwa wagonjwa wengi wenye ugonjwa huo wapo kwenye hospitali mbalimbali za jijini Dar na kuna baadhi ya wauguzi nao...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ESHA BUHETI GONJWA GONJWA, TUMUOMBEENI

Stori: Shakoor Jongo
MUIGIZAJI aliyelamba tuzo ya Muigizaji Bora wa Kike katika Tamasha la Zanzibar Festival Film ‘ZIFF’ mwaka huu, Esha Salim Buheti hali yake siyo nzuri na anahitaji maombi ili apone kutokana na kusumbuliwa na tatizo la uvimbe kwenye kizazi. Mwigizaji, Esha Salim Buheti akiwa hoi kitandani. Akizungumza na Ijumaa lililokwenda kumjulia hali katika Hospitali ya TMJ iliyopo Mikocheni jijini Dar,...

 

9 years ago

StarTV

Ukosefu wa vifaa tiba hospitali wachangia watu kutumia tiba za jadi.

Ongezeko la ugonjwa wa Malaria na U.T.I kwa wananchi wanaoishi vijijini na idadi ndogo ya madaktari nchini ni baadhi ya sababu zinazochangia kwa kiasi kikubwa wagonjwa wengi kukimbilia kwa waganga wa tiba za jadi kupata matibabu licha ya magonjwa hayo kuwa na tiba za uhakika Hospitali na kwenye vituo vya Afya.

Tiba ya Asili ilipitishwa na Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2002 baada ya sheria namba 23 ya Tiba Mbadala kupitishwa.

Katika Kituo cha Afya cha Jamii Mjini Kahama,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Liberia kutangazwa taifa lisilo na Ebola

Shirika la afya duniani WHO linatarajiwa kuitangaza Liberia kuwa isiyo na ugonjwa wa ebola wakati litakapothibitisha kuwa nchi hiyo haina kisa chengine kipya kwa siku 42 zilizopita.

 

11 years ago

Mwananchi

TIBA MBADALA: Kunywa maji ya moto ni tiba ya magonjwa mengi

>Kuna tiba nyingi za kitabibu, zilizogawanyikaa katika makundi mbalimbali. Kuna zile za hospitali ambazo ni lazima zinunuliwe, lakini kuna tiba ambazo kwa ushauri wa daktari hata wewe unaweza kuziandaa bila kutumia gharama kubwa.

 

10 years ago

GPL

BARAZA LA TIBA ASILI, MBADALA LAPIGA MARUFUKU MATANGAZO NA VIPINDI VYA TIBA HIYO

Mwenyekiti wa Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala, Profesa Rogassian Mahunnah. Kutoka kushoto ni Kaimu Msajili wa tiba Asili Mboni Bakari, Mwenyekiti, Profesa Rogassian Mahunnah na Mfamasia Lucy Samweli. BARAZA hilo limesema halitambui vipindi na matangazo yote ya tiba asili na tiba mbadala yanayoendelea kwa sasa kwenye vyombo vya habari… ...

 

10 years ago

Mwananchi

TANZANIA NI MFANO WA JESHI LISILO LA WAUAJI, MAFISI NA WAHUNI

Nilikuwa nikisoma habari za majeshi duniani. Kila nchi imechambuliwa na kuorodheshwa. Idadi ya askari; wangapi wanaume, wangapi wanawake;  fedha zinazotumika, silaha zinakotoka, nk. Habari nzito. Zimekusanywa na wenyewe hawa Wazungu wakiongozwa na Shirika la Upelelezi  Marekani (CIA). 

 

10 years ago

Vijimambo

KANISA LISILO RASMI LA MCHUNGAJI JOSEPHAT GWAJIMA LAVUNJWA KAWE

Kanisa la lisilo rasmi la mchungaji Mchungaji Josephat Gwajima lililokuwa likiendesha shughuli zake kinyume na taratibu katika viwanja vya Tanganyika Packers Kawe,wilaya ya Kinondoni,jiji Dar limeamuriwa kuondoka mara moja na kuwacha eneo hilo wazi kwa ajili ya maendeleo ya watu wa kawe. Kanisa hilo ambalo kwa muda mrefu lemekuwa likiendesha shughuli zake kinyume na taratibu na kusababisha usumbufu na kero kubwa za makelele kwa wakazi wa maeneo hayo. Katika Barua iliosainiwa na Meneja...

 

5 years ago

BBCSwahili

Kwa nini kuna shimo lisilo la kawaida katika tabaka la ozoni?

Tukio kama hili ni la kawaida katika eneo la kusini zaidi la dunia la Antarctic wakati wa msimu wa joto, lakini katika eneo la baridi la kaskazini si la kawaida.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani