Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mafisi mbaroni Dar

Wiki moja baada ya Rais John Magufuli kutangaza vita dhidi ya wauza dawa za kulevya huku akiomba wananchi kumuombea, Polisi wanamshikilia mtu mmoja kwa madai ya kujihusisha na biashara hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MADENTI MNAJILINDA, SISI MAANKO NI MAFISI!

Mambo aje maanko? Poleni sana kwa wale wa kidato cha nne ambao mmetoka kumaliza mitihani yenu, mnasikilizia matokeo hapo mwakani kama vipi, wale waliofanya vizuri waendelee na elimu ya juu zaidi. Nina uhakika wengi watafaulu kwa sababu walitumia muda wao mwingi katika kuhakikisha wanapiga kitabu kama hawana akili nzuri, enzi zetu tuliwaita akina John Kisomo! Tunakumbuka mara ya mwisho tulivyowasiliana, tulizungumza kuhusu mambo...

 

10 years ago

Mwananchi

TANZANIA NI MFANO WA JESHI LISILO LA WAUAJI, MAFISI NA WAHUNI

Nilikuwa nikisoma habari za majeshi duniani. Kila nchi imechambuliwa na kuorodheshwa. Idadi ya askari; wangapi wanaume, wangapi wanawake;  fedha zinazotumika, silaha zinakotoka, nk. Habari nzito. Zimekusanywa na wenyewe hawa Wazungu wakiongozwa na Shirika la Upelelezi  Marekani (CIA). 

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Majambazi 10 mbaroni Dar.



NA WILLIAM SHECHAMBOMAJAMBAZI 10 wanaounda mtandao hatari wa uhalifu nchini, wametiwa mbaroni wakati wa msako mkali uliofanikisha pia kukamatwa kwa silaha mbalimbali. Silaha hizo ni bunduki tisa zikiwemo SMG tatu, bastola mbili, short gun nne na risasi 15 zilikamatwa. Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, aliyasema hayo ofisini kwake kwenye mkutano na waandishi wa habari. Kova aliyataja majina ya wahalifu hao kuwa ni, Maulid Mbwate (23), Foibe Vicent (30), Vincent...

 

10 years ago

Mtanzania

Viongozi wa Chadema Dar mbaroni

Dk. Wilbrod Slaa

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod Slaa

Na Waandishi wetu

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam jana, liliwakamata  viongozi na wafuasi 11 wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Dar es Salaam.

Wafuasi hao walikamatwa jana asubuhi walipojaribu kufanya maandamano ya kuelekea ofisi  ya  Mkuu wa Mkoa, Said Meck Sadiki kwa nia ya kushinikiza kusitishwa kwa Bunge Maalum la Katiba linaloendelea na vikao vyake mjini Dodoma.

Wafuasi hao ambao walifika saa 12 asubuhi wakitokea...

 

9 years ago

Mtanzania

Watuhumiwa ujambazi 26 mbaroni Dar

kovaASIFIWE GEORGE NA LUGOLA CHITAGE (TUDARCO), DAR ES SALAAM

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashikila watu 26 wanaodaiwa kuwa majambazi wanaojihusisha na vitendo mbalimbali vikiwamo vya kuvamia vituo vya polisi.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishina Suleimani Kova, alisema watuhumiwa hao wamekamatwa katika operesheni maalumu iliyoanza Agosti, mwaka huu.

Alisema watuhumiwa hao, walikamatwa na silaha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanamke kinara wa ujambazi mbaroni Dar

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kukamata mtandao hatari wa majambazi kumi, mmoja akiwa ni mwanamke anayeshiriki kikamilifu wakati wa matukio ya ujambazi. Akizungumza na waandishi...

 

10 years ago

Habarileo

Wamachinga wafunga barabara Dar, 24 mbaroni

Polisi wa doria wakipita kando ya moto wa matairi uliowashwa na kundi la wafanyabiashara ndogo ‘machinga’ katika Barabara ya Nyerere eneo la Kamata Dar es Salaam jana baada ya kupambana na mgambo wa jiji wanaokamata bidhaa zao. (Picha na Mroki Mroki).WAFANYABIASHARA ndogo (machinga) wa Kariakoo jijini Dar es Salaam, jana walizua vurugu katika mitaa ya eneo hilo, kupinga operesheni ya kuwaondoa kufanya biashara katika maeneo yasiyoruhusiwa huku wakitaka walio katika maeneo ya barabarani ndiyo waondolewe.

 

10 years ago

CloudsFM

MBARONI WAKIHUSISHWA NA MAUAJI YA WANAWAKE DAR

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linawashikilia watu wawili wanaotuhumiwa kufanya vitendo vya utekaji, unyanyasaji wa kijinsia na mauaji ya wanawake.
Kamishna wa Polisi Kanda Maalumu, Suleiman Kova alisema hayo jana jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari.

Alisema watuhumiwa hao wamehusishwa na vitendo hivyo baada ya upelelezi wa kina na wa kitaalamu uliosaidia kuwakamata wahalifu hao wakiwa na vielelezo mbalimbali.

Kova aliwataja watuhumiwa hao kuwa ni...

 

9 years ago

Mwananchi

Watu 71 mbaroni Dar kwa ujambazi, madawa

Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam inawashikilia watu 71 kwa tuhuma mbalimbali ikiwamo ujambazi wa kutumia silaha na pikipiki aina ya Boxer.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani