Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Harakati kuelekea matumizi ya vitabu vya mitandaoni

Kadri matumizi ya sayansi na teknolojia yanavyoshika kasi nchini, ndivyo wadau wa teknolojia wanavyokuna vichwa kufikiria namna bora ya kurahisha maisha ya Watanzania.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Harakati za kuupinga ugaidi mitandaoni

Mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani umebakisha miezi miwili kuwadia,lakini kuna harakati za kuupinga ugaidi .

 

10 years ago

Michuzi

MTUNZI MKONGWE WA VITABU ZANZIBAR AZINDUA VITABU VITATU VYA HADITHI ZA KALE

Mtunzi mkongwe wa vitabu Zanzibar Bi. Fatma Moh’d Salim (Jinja) akionyesha vitabu vya hadithi za kale alivyovitunga, katika sherehe za uzinduzi wa vitabu hivyo zilizofanyika nyumbani kwake Chukwani Zanzibar. Mwandishi wa Habari wa Redio Annur Fm Kasim Khamis akimuuliza suali Bi. Fatma Jinja kuhusiana na utunzi wa vitabu vyake alivyo vizindua. Baadhi ya waalikwa waliohudhuria sherehe za uzinduzi wa vitabu hivyo wakimskiliza Bi. Fatma Jinja (hayupo pichani) alipokuwa akitoa maelezo juu ya...

 

10 years ago

Michuzi

TIMU YA HARAKATI YA IMETOSHA KUELEKEA KANDA YA ZIWA KUTOA SOMO


Balozi Henry Mdimu akiongea na vyombo vya habari

Taasisi isiyo ya ki serikali ya Imetosha Foundation inayopinga unyanyapaa, ukatili na mauaji dhidi ya watu wenye ualbino kwa njia ya elimu, inatarajia kutuma ujumbe mzito kanda ya ziwa hapo kesho kwa maandalizi ya ujio wa timu nzima ya taasisi hiyo iliyojikita kwenye kubadilisha mtazamo (mind set) wa watu juu ya janga hili. Ujumbe huo utaongozwa na mwenyekiti wa taasisi hiyo Bw Masoud Kipanya, Balozi Henry Mdimu Mgaya na katibu Salome...

 

11 years ago

Mwananchi

Soka, vyama vya kifashisti ulaya na harakati za waafrika ...

Mashindano kuwania Kombe la Dunia la Soka yataanza juma lijalo.Timu shiriki zimekuwa zikicheza mechi za kirafiki kujipima, mara nyingi na mataifa ambayo hayatakuwepo ndani ya kichamchela hicho cha FIFA. Wiki iliyopita Ufaransa ilipambana na Norway na Paraguay.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona; Wakenya wajirusha mitandaoni kuonyesha matarajio yao

Hii ndio siku ambayo hatua ya kutotoka nje kuanzia saa moja usiku hadi kumi na moja asubuhi inafikia ukomo wake baada ya kuongeza kwa siku 21 zaidi mwezi uliopita.

 

10 years ago

Michuzi

Vitabu vya Shaaban Robert


Na Profesa Mbele
Jina la Shaaban Robert ni maarufu miongoni mwa wa-Tanzania na wengine wa nchi zingine wanaokijua ki-Swahili. Lakini, tujiulize ni wa-Tanzania wepi ambao wamesoma angalau vitabu vichache vya Shaaban Robert. 

Ni wangapi wamesoma au wanasoma mashairi yake, tenzi zake, insha zake, barua zake, na riwaya zake?
Ni wangapi wamesoma vitabu vyake vingine, kama vile Wasifu wa Siti Binti Saad, Maisha Yangu na Baada ya Miaka Hamsini, na tafsiri yake ya mashairi ya Omar Khayyam? Kama hatuna...

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria : Harakati za kijeshi za Uturuki mjini Idlib 'zinasubiri muda tu'

Kiongozi wa Uturuki ameionya Syria juu ya mashambulizi makubwa dhidi ya waasi katika jimbo la kaskazini.

 

11 years ago

Mwananchi

Tigo yasaidia vitabu vya Sh6mil

Kampuni ya Simu ya Tigo imetoa msaada wa vitabu vya wanafunzi wa darasa la nne na la saba katika Shule ya Msingi Kilimani vyenye thamani ya Sh6.1 milioni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani