Virusi vya corona; Wakenya wajirusha mitandaoni kuonyesha matarajio yao
Hii ndio siku ambayo hatua ya kutotoka nje kuanzia saa moja usiku hadi kumi na moja asubuhi inafikia ukomo wake baada ya kuongeza kwa siku 21 zaidi mwezi uliopita.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili21 Apr
Virusi vya corona: Mbinu ya kuwalaza wagonjwa wa corona kifudifudi inavyookoa maisha yao
Kwanini baadhi ya wagonjwa wanaougua Covid-19 hulazwa kifudifudi?
5 years ago
BBCSwahili10 Jun
Virusi vya corona: Kwanini Wakenya wanamuomba Rais Kenyatta kuwapatia 'uhuru' ?
Karibu watu milioni1.2 wamepoteza ajira tangu janga la corona lilipokumba Kenya mwezi Machi.
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya corona: Wakenya wabuni mbinu tofauti ya kufanya ibada nyumbani
Ibada ya roshani yaandaliwa nchini Kenya kama njia ya kujilinda na maambukizi ya virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili15 Apr
Virusi vya Corona: Wakenya watishia kutoroka karantini, wagonjwa 9 zaidi wathibitishwa
Makumi ya watu waliokuwa katika karantini ya lazima nchini Kenya wamefanya mgomo na kutishia kutoroka katika kituo hicho katika mji mkuu wa Nairobi.
5 years ago
BBCSwahili29 May
Virusi vya corona: Dhana potofu mitandaoni zina athari gani kwa watumiaji wa mitandao
Nadharia za uongo zimekuwa zikistawi kupitia mitandao ya kijamii hasa zinazohusu virusi vya corona - nyingi zimekuwa mitandaoni na kuleta athari za kiafya.
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Virusi vya corona: Wakenya walaani ubaguzi wa rangi wanaodaiwa kufanyiwa wenzao Uchina
Baada ya Waafrika wanaoishi nchini Uchina kulalamika kuwa wanabaguliwa na kufurushwa kwenye nyumba na hoteli, serikali ya Uchina imesema kuwa inawachukulia wageni wote kwa usawa.
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Bunge la Kenya lafuta kikao, huku Wakenya wakionywa kuhusu wakati mgumu
Kikao cha bunge nchini Kenya kilichotarajiwa kufanyika siku ya Jumatano katika mji mkuu wa Nairobi kimefutiliwa mbali.
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.
5 years ago
BBCSwahili05 Apr
Virusi vya Corona: Rais na mawaziri wa Malawi kukatatwa 10% ya mishahara yao
Malawi imeripoti kisa cha kwanza cha mgonjwa mwenye virusi vya corona siku ya Alhamisi, na lilikuwa taifa la mwisho kutangaza kuwa na maambukizi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania