Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona; Wakenya wajirusha mitandaoni kuonyesha matarajio yao

Hii ndio siku ambayo hatua ya kutotoka nje kuanzia saa moja usiku hadi kumi na moja asubuhi inafikia ukomo wake baada ya kuongeza kwa siku 21 zaidi mwezi uliopita.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mbinu ya kuwalaza wagonjwa wa corona kifudifudi inavyookoa maisha yao

Kwanini baadhi ya wagonjwa wanaougua Covid-19 hulazwa kifudifudi?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kwanini Wakenya wanamuomba Rais Kenyatta kuwapatia 'uhuru' ?

Karibu watu milioni1.2 wamepoteza ajira tangu janga la corona lilipokumba Kenya mwezi Machi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wakenya wabuni mbinu tofauti ya kufanya ibada nyumbani

Ibada ya roshani yaandaliwa nchini Kenya kama njia ya kujilinda na maambukizi ya virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Wakenya watishia kutoroka karantini, wagonjwa 9 zaidi wathibitishwa

Makumi ya watu waliokuwa katika karantini ya lazima nchini Kenya wamefanya mgomo na kutishia kutoroka katika kituo hicho katika mji mkuu wa Nairobi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Dhana potofu mitandaoni zina athari gani kwa watumiaji wa mitandao

Nadharia za uongo zimekuwa zikistawi kupitia mitandao ya kijamii hasa zinazohusu virusi vya corona - nyingi zimekuwa mitandaoni na kuleta athari za kiafya.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wakenya walaani ubaguzi wa rangi wanaodaiwa kufanyiwa wenzao Uchina

Baada ya Waafrika wanaoishi nchini Uchina kulalamika kuwa wanabaguliwa na kufurushwa kwenye nyumba na hoteli, serikali ya Uchina imesema kuwa inawachukulia wageni wote kwa usawa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Bunge la Kenya lafuta kikao, huku Wakenya wakionywa kuhusu wakati mgumu

Kikao cha bunge nchini Kenya kilichotarajiwa kufanyika siku ya Jumatano katika mji mkuu wa Nairobi kimefutiliwa mbali.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku

Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Rais na mawaziri wa Malawi kukatatwa 10% ya mishahara yao

Malawi imeripoti kisa cha kwanza cha mgonjwa mwenye virusi vya corona siku ya Alhamisi, na lilikuwa taifa la mwisho kutangaza kuwa na maambukizi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani