Virusi vya corona: Wakenya walaani ubaguzi wa rangi wanaodaiwa kufanyiwa wenzao Uchina
Baada ya Waafrika wanaoishi nchini Uchina kulalamika kuwa wanabaguliwa na kufurushwa kwenye nyumba na hoteli, serikali ya Uchina imesema kuwa inawachukulia wageni wote kwa usawa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
Virusi vya corona: Maji ya chumvi kufanyiwa utafiti wa tiba ya virusi
Utafiti wa awali ulionesha kwamba dawa za kutengenezwa nyumbani zinaweza kusaidia kupuguza makali ya dalili za virusi vya corona kama ilivyo kwa homa.
5 years ago
BBCSwahili21 Jun
Ubaguzi wa rangi Urusi: Hadithi kuhusu dhana potofu za ubaguzi wa rangi
Watu weusi nchin Urusi wameiambia BBC jinsi ubaguzi wa rangi ulivyoyaathiri maisha yao
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_1XoPYRReO0/XnBlRwomS2I/AAAAAAALkCQ/8eiunvCRAIsMh9UU52PkgBr7oTpEZHhygCLcBGAsYHQ/s72-c/_111277138_gettyimages-1154450279.jpg)
Mtu wa kwanza ajitolea kufanyiwa chanjo ya virusi vya corona Marekani
![](https://1.bp.blogspot.com/-_1XoPYRReO0/XnBlRwomS2I/AAAAAAALkCQ/8eiunvCRAIsMh9UU52PkgBr7oTpEZHhygCLcBGAsYHQ/s640/_111277138_gettyimages-1154450279.jpg)
Wagonjwa wanne walidungwa sindano ya virusi katika kituo cha utafiti Kaiser Permanente mjini Seattle, Washington, limeripoti shirika la habari la Associated Press.
Chanjo hiyo haiwezi kusababisha Covid-19 lakini ina jeni la virusi ambavyo vinaweza kusababisha ugonjwa.
Wataalamu wanasema itachukua miezi mingi kujua ikiwa chanjo hii, au utafiti mwingine,...
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Coronavirus: Mtu wa kwanza ajitolea kufanyiwa chanjo ya virusi vya corona Marekani
Kikundi cha vijana wenye afya nzuri mjini Seattle wamedungwa virusi kwa ajili ya kufanyiwa utafiti wa chanjo
5 years ago
BBCSwahili24 Apr
Virusi vya corona: Wanasayansi wa Uingereza wanataka chanjo yao kufanyiwa majaribio Kenya
Watafiti kutoka nchini Uingereza wanafikiria kufanyia majaribio chanjo ya virusi vya corona nchini Kenya ambapo kulingana na wao mlipuko wa ugonjwa huo unaongezeka.
5 years ago
BBCSwahili06 Jun
Virusi vya corona; Wakenya wajirusha mitandaoni kuonyesha matarajio yao
Hii ndio siku ambayo hatua ya kutotoka nje kuanzia saa moja usiku hadi kumi na moja asubuhi inafikia ukomo wake baada ya kuongeza kwa siku 21 zaidi mwezi uliopita.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XS0VdRDz2qA/U2NPpWh4jmI/AAAAAAAFe2A/IyWNMyNtB7c/s72-c/unnamed.png)
5 years ago
BBCSwahili10 Jun
Virusi vya corona: Kwanini Wakenya wanamuomba Rais Kenyatta kuwapatia 'uhuru' ?
Karibu watu milioni1.2 wamepoteza ajira tangu janga la corona lilipokumba Kenya mwezi Machi.
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya corona: Wakenya wabuni mbinu tofauti ya kufanya ibada nyumbani
Ibada ya roshani yaandaliwa nchini Kenya kama njia ya kujilinda na maambukizi ya virusi vya corona.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania