Virusi vya corona: Wakenya wabuni mbinu tofauti ya kufanya ibada nyumbani
Ibada ya roshani yaandaliwa nchini Kenya kama njia ya kujilinda na maambukizi ya virusi vya corona.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Virusi vya corona: Rais Yoweri Museveni awaonyesha Waganda jinsi ya kufanya mazoezi ya nyumbani kudhibiti maambukizi
Uganda imepiga marufuku kufanya mazoezi ya mwili ya umma kama njia ya ziada ya kudhibiti kusambaa kwa virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Virusi vya corona: Virusi vyawazuwia maelfu kuhudhuria ibada ya Mashahidi wa Uganda Namugongo
Maelfu ya waumini wa Kikirsito wanaofanya hija kila mwaka katika madhabahu ya mashahidi wa Uganda eneo la Namugongo wameshindwa kuhudhuria ibada ya mwaka huu kutokana na janga la COVID-19.
5 years ago
BBCSwahili21 Apr
Virusi vya corona: Mbinu ya kuwalaza wagonjwa wa corona kifudifudi inavyookoa maisha yao
Kwanini baadhi ya wagonjwa wanaougua Covid-19 hulazwa kifudifudi?
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Je corona itatulazimisha kufanyia kazi nyumbani daima?
Kampuni ya Twitter imewaambia wafanyakazi wake kwamba wanaweza kufanyia kazi nyumbani "daima" kama wanataka kufanya hivyo wakati ikitathmini hali ya baadae ya mtandao huo wa kijamii baada ya janga la virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili18 Apr
Virusi vya corona: Uganda kumrudisha nyumbani Mtanzania aliyeambukizwa corona
Hatua ya Uganda kuwarudisha makwao raia wa kigeni waliopatikana na ugonjwa wa corona yazua gumzo kali.
5 years ago
BBCSwahili04 Jun
Virusi vya corona: Wagonjwa wa corona Kenya kutibiwa nyumbani ili kupunguza msongamano hospitalini
Serikali ya Kenya inatenegeneza muongozo wa uangalizi salama wa wagonjwa wa virusi vya corona wakia nyumbani.
5 years ago
BBCSwahili04 Apr
Virusi vya corona: Je kuvua nguo zote unapoingia nyumbani na kusafisha vyakula ulivyonunua kunasaidia kukabiliana na virusi hivi?
Wakati huu virusi vya corona ni njia gani sahihi ya kuosha matunda, mbaogamboga na hata nguo?
5 years ago
BBCSwahili06 Jun
Virusi vya corona; Wakenya wajirusha mitandaoni kuonyesha matarajio yao
Hii ndio siku ambayo hatua ya kutotoka nje kuanzia saa moja usiku hadi kumi na moja asubuhi inafikia ukomo wake baada ya kuongeza kwa siku 21 zaidi mwezi uliopita.
5 years ago
BBCSwahili10 Jun
Virusi vya corona: Kwanini Wakenya wanamuomba Rais Kenyatta kuwapatia 'uhuru' ?
Karibu watu milioni1.2 wamepoteza ajira tangu janga la corona lilipokumba Kenya mwezi Machi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania