JUST IN: Muda wa kujiandikisha Dar waongezwa
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Tanzania, Jaji Damian Lubuva.
Na Magreth Kinabo
Tume Taifa ua Uchaguzi(NEC) imeongeza siku nne zaidi kwa mkoa wa jiji la Dar es Salam kujiandikisha katika daftari la kudumu la kupiga kura ili kuwezesha wakazi wengi kujiandikisha .
Akizungumza na wandishi wa habari leo jijini Dares Salaam Mwenyekiti wa tume hiyo Jaji Mstaafu Damian Lubuva alisema uamuzi huo umetokana na kuwepo kwa mwamko mkubwa wa wananchi waliojitokeza kwa wingi isivyo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Jul
Muda wa uandikishaji BVR Dar waongezwa
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-mMDpQH1hNt8/Vc3vwR4ov6I/AAAAAAAABVc/GvLO53qt0I4/s72-c/MUDA%2BWA%2BNYONGEZA%2B-%2BKUHAKIKI%2BTAARIFA%2BZAO%2B%2BKATIKA%2BDAFTARI%2BLAKUDUMU%2BLA%2BMPIGA%2BKURA%2BJPG.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-VpQEjSa0VSI/Vbn-JGWzcDI/AAAAAAABS5w/JqIXLZiBRgk/s72-c/140131072218_tanzania_elections_512x288_afp.jpg)
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI (NEC) YAONGEZA MUDA WA KUJIANDIKISHA JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-VpQEjSa0VSI/Vbn-JGWzcDI/AAAAAAABS5w/JqIXLZiBRgk/s640/140131072218_tanzania_elections_512x288_afp.jpg)
10 years ago
BBCSwahili24 Nov
Muda wa mazungumzo na Iran waongezwa
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
Muda matumizi mashine za kodi waongezwa
SERIKALI imeongeza muda wa kutumia mashine za kodi za kielektroniki (EFDs) kwa wafanyabiashara hadi Februari mosi, 2014. Hatua hiyo imefikiwa baada ya kikao kilichohusisha chama cha wafanyabiashara, Waziri wa Viwanda...
11 years ago
Michuzi24 Apr
muda wa shindalo la waandishi wa filamu za Kiswahili la skripti za filamu ndefu waongezwa
Tafadhali tembelea tovuti ya ZIFF http://www.ziff.or.tz/2014/03/30/commissioning-feature-length-films-zuku-tvs-swahili-movies-chann/
Washindi 5 watapata zaidi ya Tsh 20millioni ili kutengeneza filamu zao baada ya kuchaguliwa na kupigwa msasa na magwiji...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SZo6Ey4n678/U_DFbM-Sx_I/AAAAAAAGARs/iGf960dRBCQ/s72-c/images.jpg)
TAARIFA KUTOKA TFF LEO: TFF KUREJESHA OFISI ZAKE KARUME, MUDA WA USAJILI WAONGEZWA KWA SIKU KUMI
![](http://4.bp.blogspot.com/-SZo6Ey4n678/U_DFbM-Sx_I/AAAAAAAGARs/iGf960dRBCQ/s1600/images.jpg)
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeamua kurejesha ofisi zake Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume kwa vile mipango ya uendelezaji wa eneo hilo bado haijakwenda kama ilivyopangwa awali. Uamuzi huo ni moja ya maazimio yaliyofikiwa kati ya Kamati ya Utendaji ya TFF na ujumbe wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) uliokuwepo nchini kwa wiki nzima kwa ajili ya kufanya mapitio (review) ya uendeshaji wa TFF. Akizungumza Dar es Salaam leo (Agosti 17 mwaka huu), kiongozi wa ujumbe...
10 years ago
Mwananchi31 Jul
NEC yaongeza siku za kujiandikisha Dar
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xHFjE9ec50s/VbsPNqJtxgI/AAAAAAAHs3w/AGeFs7wIlyc/s72-c/image.jpeg)
NEC YAONGEZA SIKU NNE ZA KUJIANDIKISHA KWA WAKAZI WA JIJI LA DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-xHFjE9ec50s/VbsPNqJtxgI/AAAAAAAHs3w/AGeFs7wIlyc/s640/image.jpeg)
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema kuwa imeongeza muda wa siku nne wa kuandikisha wapiga kura kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam. Hii inamaanisha kuwa zoezi hilo ambalo lilikuwa linaisha leo ijumaa ya julai 31, litaendelea hadi jumanne agosti 4.
Akiongea na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Damian Lubuva amesema kuwa hataweza kuongeza muda wa zaidi ya siku nne kwa kuwa ratiba zitaingiliana.
Aidha, Jaji...