Muda matumizi mashine za kodi waongezwa
SERIKALI imeongeza muda wa kutumia mashine za kodi za kielektroniki (EFDs) kwa wafanyabiashara hadi Februari mosi, 2014. Hatua hiyo imefikiwa baada ya kikao kilichohusisha chama cha wafanyabiashara, Waziri wa Viwanda...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Nov
Muda wa mazungumzo na Iran waongezwa
10 years ago
Dewji Blog30 Jul
JUST IN: Muda wa kujiandikisha Dar waongezwa
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Tanzania, Jaji Damian Lubuva.
Na Magreth Kinabo
Tume Taifa ua Uchaguzi(NEC) imeongeza siku nne zaidi kwa mkoa wa jiji la Dar es Salam kujiandikisha katika daftari la kudumu la kupiga kura ili kuwezesha wakazi wengi kujiandikisha .
Akizungumza na wandishi wa habari leo jijini Dares Salaam Mwenyekiti wa tume hiyo Jaji Mstaafu Damian Lubuva alisema uamuzi huo umetokana na kuwepo kwa mwamko mkubwa wa wananchi waliojitokeza kwa wingi isivyo...
10 years ago
Mwananchi30 Jul
Muda wa uandikishaji BVR Dar waongezwa
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-mMDpQH1hNt8/Vc3vwR4ov6I/AAAAAAAABVc/GvLO53qt0I4/s72-c/MUDA%2BWA%2BNYONGEZA%2B-%2BKUHAKIKI%2BTAARIFA%2BZAO%2B%2BKATIKA%2BDAFTARI%2BLAKUDUMU%2BLA%2BMPIGA%2BKURA%2BJPG.png)
11 years ago
Michuzi24 Apr
muda wa shindalo la waandishi wa filamu za Kiswahili la skripti za filamu ndefu waongezwa
Tafadhali tembelea tovuti ya ZIFF http://www.ziff.or.tz/2014/03/30/commissioning-feature-length-films-zuku-tvs-swahili-movies-chann/
Washindi 5 watapata zaidi ya Tsh 20millioni ili kutengeneza filamu zao baada ya kuchaguliwa na kupigwa msasa na magwiji...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SZo6Ey4n678/U_DFbM-Sx_I/AAAAAAAGARs/iGf960dRBCQ/s72-c/images.jpg)
TAARIFA KUTOKA TFF LEO: TFF KUREJESHA OFISI ZAKE KARUME, MUDA WA USAJILI WAONGEZWA KWA SIKU KUMI
![](http://4.bp.blogspot.com/-SZo6Ey4n678/U_DFbM-Sx_I/AAAAAAAGARs/iGf960dRBCQ/s1600/images.jpg)
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeamua kurejesha ofisi zake Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume kwa vile mipango ya uendelezaji wa eneo hilo bado haijakwenda kama ilivyopangwa awali. Uamuzi huo ni moja ya maazimio yaliyofikiwa kati ya Kamati ya Utendaji ya TFF na ujumbe wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) uliokuwepo nchini kwa wiki nzima kwa ajili ya kufanya mapitio (review) ya uendeshaji wa TFF. Akizungumza Dar es Salaam leo (Agosti 17 mwaka huu), kiongozi wa ujumbe...
11 years ago
Habarileo23 Apr
JK amaliza ubishi mashine za kodi
RAIS Jakaya Kikwete amesisitiza msimamo wa Serikali, kwamba mashine za elektroniki za ukusanyaji kodi (EFDs), lazima ziendelee kutumika nchini. Alisema hayo jana wakati alipozungumza kwenye uzinduzi wa Ofisi za Mamlaka ya Bandari (TRA) mjini Karatu katika Mkoa wa Arusha, na kuongeza kuwa changamoto za mashine hizo zinajadilika.
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
‘Hatujakataza matumizi mashine za EFD’
UONGOZI wa Jumuiya ya Wafanyabiasha nchini (JWT) umesema haujawakataza wafanyabiashara kutumia mashine za kielektroniki za EFD bali wanachohitaji ni maboresho katika mashine hizo. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es...
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
MASHINE ZA EFD: Tulipe kodi, serikali iwajibike
SERIKALI zote duniani huendeshwa kwa mapato. Kama hazina mapato zinakuwa zimefilisika na kuingia kwenye orodha ya mataifa yaliyofilisika. Kufilisika kwa taifa huja kwa viashiria vingi sana, kwanza serikali kuwa na...