Pombe kupigwa marufuku Bihar, India
Waziri mkuu wa jimbo la Bihar nchini India ,Nitish Kumar ametangaza mipango ya kupiga marufuku uuzaji na utumizi wa pombe katika jimbo hilo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 Sep
Mahakama yazuia marufuku ya pombe India
11 years ago
BBCSwahili14 May
Wito wa kupigwa marufuku waganga TZ
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Wapiga ramli kupigwa marufuku TZ
10 years ago
Bongo Movies26 Dec
UPDATE: PATCHO MWAMBA akanusha kufumaniwa na kupigwa. Adai ni pombe.
Habari tulizopzipata kupitia mtandao wa GPL zinsema, MWIGIZAJI na mwanamuziki wa Bendi ya FM Academia, Patcho Mwamba hivi punde ameibuka katika ofisi za mtandao huu na kukanusha vikali taarifa zilizozagaa katika mitandao ya kijamii kuwa amefumaniwa akiwa na mke wa mtu na kupokea kipigo.
Akiongea na mtandao huo, Patcho amesema picha iiliyozagaa mitandaoni aliipost mwenyewe juzi baada ya kupata aleji ya macho ambapo baadaye ilisambaa mitandaoni ikidaiwa kuwa kapigwa baada ya fumanizi.
9 years ago
BBCSwahili18 Nov
Vazi la Burqa kupigwa marufuku Senegal
11 years ago
BBCSwahili01 May
Nguruwe wanaorandaranda kupigwa risasi India
11 years ago
Michuzi13 Feb
JK APENDEKEZA KUPIGWA MARUFUKU YA BIASHARA YA MENO YA NDOVU NA PEMBE ZA FARU DUNIANI
11 years ago
Habarileo17 Feb
Marufuku kunywa pombe, kucheza pool saa za kazi - DC
MKUU wa Wilaya ya Lushoto, Majid Mwanga amepiga marufuku uuzaji na unywaji wa pombe na mchezo wa pool nyakati za asubuhi na muda wa kazi. Amesema hataki kuona vitendo vya starehe, vinavyofanywa na baadhi ya wananchi wakati wa saa kazi.
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Idhini ya daktari kunywa pombe India